Wakubwa habari za mida tena, nahitaji ku jenga Gaming PC, kwa kutumia parts kutoka AliExpress. Mimi sina uzoefu na kazi hii na sijawai kufanya jambo hili nataka, kwanzia mwezi wa 12, nianze...
Kutokana na shughuli zangu za mashine mbalimbali za kuchakata mazao.Nilifungiwa umeme wa 3 phase.Ambao kwa wakati mmoja unaweza kuendesha mashina tatu mashine moja ya alizeti ina mota yenye...
Habarini wakuu,
Ukiacha advertising platform kama facebook , instagram na twitter nani yupo familiar na google ads namaanisha vitu kama gharama, namna ya kudeliver na vitu vingine muhimu
Maana...
Application hii nimeitengeneza ikiwa ni sehemu ya mazoezi ya kujifunza programming.
Kwa watu wenye idea ya mambo ya cryptology watanielewa zaidi.Cipher ni maandishi ambayo yamebadilishwa ili...
US imepitisha sheria kuwa Tik Tok ijiuze kwa kiampuni za Marekani ndani ya mwaka mmoja au ifunge biashara US. Kwa nini bunge limepitisha sheria hii nzito?
Habari za wakati wadau;
Kwa ambao wamewahi kutumia huduma za TTC internet kwa upande wa Copper Cable connection naomba mnipe mrejesho juu ya utendaji wake ukoje katika speed na kadhalika...
Umeshawahi kusikia maneno credit cards na debit cards? Inawezekana umekutana nayo katika mitandao ya kijamii, umesikia rafiki/ndugu wakiyatamka au kuyasikia kwenye movie, hasa movie za Marekani...
Habari zenu wadau, mimi ni kijana, natamani siku moja niwekeze katika teknolojia, kwa muda kidogo nimekuwa nikijifunza programu kwa kujipambania mwenyewe.
Nimejifunza kwenye simu kidogo kidogo...
Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old...
Mashine yangu aina ya CANON IR 2204 inatoa copy za namna hyo.
Nimejaribu kubadili drum, roller na hata blade lakini hali bado ndo hyo mnaiona hapo chini.
Nifanye nini wadau? Nakufa njaa...
Habari wadau,
Nataka kununua hizi camera zenye muonekano wa bulb (taa) ili nizitumie kama CCTV kwaajili ya ulinzi nyumbani kwangu na eneo la biashara.
Naombeni ushauri wadau kuhusu ubora,uimara...
Hivi ipi simu bomba kati ya hizi, nahitaji yenye speed ya internet, camera nzuri na uhifadhi wa moto mzuri, kwa kiwango changu nahitaji za viwango hizi
1. Samsung S 10
2. Redme note 12 c
4. Aquas...
Wakuu habari zenu?
Naomba kujua endapo kuna mtu huwa anafanya malipo yake kwenye POS machines kwa kutumia simu ambayo tayari ina support matumizi ya NFC(Near Field Communication) Technology.
Kwa...
wakuu kwema
hapa nina changamoto moja hivi nahitaji home internet ila option yangu ni kati ya vodacom na airtel
ambayo wote wana vifurushi vya unlimited kwa mwezi vya 5G
wakuu naombeni msaada...
Habari wanabodi,
Shida ya hii forum unaweza kuomba ushauti mijitu inakutazama tu[emoji706]
Twende kwenye Mada
TZ na dunia nzima wafanyabiashara na wanunuzi wanakutana na barrier ya uaminifu.Hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.