Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Hakikisha unatumia vidokezo hivi vya Android ili upate mengi zaidi kutoka kwenye kifaa chako. Idadi kubwa ya mbinu na vidokezo vyenye manufaa vilivyofichwa ndani ya vifaa vya Android ni sehemu...
4 Reactions
4 Replies
30K Views
Niaje wananzengo? Direct to the point. Kwa wale waumini wa apps ambazo zinahitajika kufanya manunuzi ili upate baadhi ya huduma, karibuni sana hapa. Utapakua apps unazozitaka na hata games...
4 Reactions
82 Replies
9K Views
Habari WanaJF, Nimeandaa hii tutorial kuwasaidia watu wenye ofisi ndogo ndogo na watu binafsi ambao wanataka kuwa na website kwa ajili ya biashara zao au matumizi binafsi lakini kutokana na...
44 Reactions
114 Replies
61K Views
Habari wadau, Matangazo kwangu mimi yamekuwa kero kubwa sana. Yaani huwezi fanya jambo bila kukutana na adds, apps ambazo haina adds ni Whatsapp, Insta na X. Zingine kufungua kabla hujafanya...
2 Reactions
7 Replies
642 Views
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar -...
7 Reactions
101 Replies
25K Views
Mwenye swala lolote katika maswali ya AI ili tuweze kushare knowledge
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Posta inakwama wapi?? Katika pita yangu mtandaoni mwezi wa 3 mwishoni nikadownload App ya posta ukweli huduma za posta nazihitaji na hapo awali nilikuwa nikitumia sanduku la rafiki yangu katika...
1 Reactions
2 Replies
353 Views
Hii router inahitajika. Mwenye nayo ajitokeze.
1 Reactions
4 Replies
390 Views
Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia...
2 Reactions
5 Replies
814 Views
Habari za mida, Naomba kusaidiwa router gani ni nzuri kwa matumizi ya taasisi ambayo inakuwa na watumiaji 500 kwa mara Moja wakiwa connected kwa wired na wireless? Na kipi natakiwa kukiangalia...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Mambo vipi bloggers Kwa miaka kadhaa nimekuwa na blogs ninazoziandikia kimombo, sasa najikuta natamani kumiliki blog ya kiswahili. Lengo langu nipate visitors 2M kwa mwezi kupitia SEO mana bongo...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu nilipata wazo la kutafuta Cv za watu maarufu duniani na kutengeneza blog ili baadae nije niiunganishe na adsense . Blog yenyewe ni hii hapa www.worldfamousresumes.blogspot.com nimetafuta...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari zenyuu,, Hivi karibuni nimekuwa nikiexperience kufutika kwa Namba za Simu nilizokuwa nimesave kwa Truecaller, kila ukisave upya badae hukuti jina ukibahatika unakuta namba tupu kwenye chati...
0 Reactions
3 Replies
409 Views
Wakuu! Wazee wa kutafuta vichaka vya kujifichia sasa tumefikiwa. Nimekua nikitumia linux kama primary kernel kwenye laptop yangu kazi Moja ya sababu ni usalama, kupinguza attack, virus etc...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
KUJAZA TASK NA SUB-TASK. Watumishi wote wanaingilia kwenye mshare WA kwanza kushoto. Then mshare WA kwanza kulia anaingia supervisorkuset performance indicator, tarting date na ending date...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu salama? Mimi ningependa kufahamu kwa wajuzi kuwa kati ya Blogu au tovuti na YouTube ipi ukiunganiswa na Google Adsence inalipa vizuri? Yaani wapi unaweza earn Pesa kubwa kati ya YouTube na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Wanajamvi, Ninaomba Kuelimishwa Juu Ya Submeters Zile Zinazokuwezesha Kutumia Umeme Wako Tu Mwenyewe ukitenganisha na Wale mnaoshare Meter Moja. Je Unit Siku Zikiisha Main Meter...
3 Reactions
5 Replies
736 Views
kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji developer anayejua kudesign website nitayefanya nae kazi zangu tafadhali nicheki inbox chap
2 Reactions
5 Replies
444 Views
Habari zenu wakuu, kila kazi zinaushirikiano. Hivyo ningependa kuwa na ushirikiano na mafundi wezangu kwa kila kitu. Hapa tunaweza kushare Firmware, Au Tricks mbalimbali za kutatua matatizo ya...
1 Reactions
8 Replies
586 Views
Back
Top Bottom