Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nataka kujua yafuatayo:
1.Uwezo wa laptop husika kucheza games kubwa na nzito.
2.Specification za laptop husika.
3.Majina ya ma games unayocheza.
Yale...
Ninapoiwasha ina activate window, alafu inaniandikia low storage wakati kuna zaid ya GB 200 ziko free nashindwa kuielewa
Window ni 8 pro
Sent using Jamii Forums mobile app
Almost everyone nowadays likes to become a YouTuber, both the people that owns a blog/site and those who don't have. Recently, online job seems to be the most suitable and easiest way to make...
Habarini ndugu. ..
Leo nawaletea ujanja/somo namna ya kukwapia picha iliyoko kwenye whatsap status ya mtu, bila ya kumfwata inbox.... Kumuomba akutumie picha au video aliyo iweka kwenye whasap...
Wakuu kama mada inavyojieleza hapo juu, nina simu yangu aina ya Htc one M8 nilikuwa naitumia kama kawaida. Mara ghafla ikawa haisomi line ukiweka line inasema "No Simcard". Nikapeleka kwa fundi...
Shallom / Assalam Aleykum Wanaboard.
Husika na kichwa cha thread hapo juu.
Naomba mnieleweshe naweza vp kuweka whatsapp accounts 2 kwenye iphone/ios 10 kwenye android i used to use ile app ya "...
kama kichwa cha habari kinavyojieieza majina yamefutika baada ya kufanya fomati ya simu yangu,majina nilikuwa nayahifadhi kwenye yahoo email.Aina ya simu ni Y-4 Techno
Ninatanguliza shukrani.
Wakuu, kwenye instagram huwa wanakushauri (suggestion) akaunti za kufollow, huwa wanakwambia fulani ni mmoja kati ya contacts zako lkn kwa kawaida majina ya contacts na majina ya akaunti za insta...
Nimejaibu kutumia account yangu ya master card kila details yakwenye card yangu niliyoingiza imenitambua na kuniandika hadi jina kabsa adi location ila katika kumalizia inagoma tatizo ni nini apo...
1# kubadilisha window nakupata latest window
2# ku update with latest drivers
3# kama unaitaji softwere yoyote ile kwa matumizi ya shule,office, kazi
4# ku root smartphone kukuwekea any softwere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.