Dah simu yangu imekuwa slow sana mpaka muda mwingine natamani kuivunja xoz ukifungua mafaili inaload mda mrefu sana
Muda mwingine mpaka uizime mwanga wa screen af uwashe ndo ifanye kazi japo...
1. Habari za humu jf. Nani anambie vizuri kabisa kuhusu maana ya android version na software na nn kazi zake ktk divice husika?
2.kitu gani kinapelekea simu kupata moto(kuchemka)wakati data...
Wadau napata hili tatizo kila nikiunganisha simu na Pc... Nimejaribu simu tofauti tofauti pia cable tofauti napata matokeo Yale yale...
Huu ni mfano Wa maandishi inayotoa
Salamu wana wa jamvi hili.
Aise naomba msaada jinsi ya kupata tena local channels kwenye decoder ya Mediacom. Nilikuwa nazipata vizuri ila Leo naona zote zinazingua.
Shukrani.
-Jodeo-
Wadau naomba msaada kwa wajuzi, nifanye ili niwe naangalia ligi ya uingereza kupitia simu ya mkononi. Nimejaribu kila njia sijafanikiwa, sasa wajuzi hebu nipeni elimu maana mie husafiri sana...
Mambo vp wanajamvi...kuna jamaa angu kanipa haka kazawadi ka BEIN DECODER so nimejaribu mbinu zote za kumpata fundi wa kufunga imeshindikana...kama kuna mtu anafahamu ama yupo hapa tafadhali...
Wakuu nina monitor ya nchi kama 14 hivi nataka niiconnect na deki au king'amuzi niangalie burudani kupitia hiyo monitor iwe sasa kama tv hivi
1) Je inawezekana?
2) Kama inawezekana niwe na kitu...
Kila nikiingiza tu flash yangu kwenye computer naandikiwa "you neeed to format the disk in drive F before use it. Do you want to format." nikikubali inaleta tena message " the disk is write...
habari ya boxing day wakuu?
Nimeleta uzi kwenu ili tujadili na kutoa mawazo yetu ambayo yatatusaidia kuondokana na unyonge uliopo katika sector ya IT.
Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu nani...
Kwanza angalia hii snap
Hapa ni combine speed ya Airtel, Voda na Tigo
Sasa Introduce you the revolutionary software "Connectify Dispatch" Hii kitu ndo inafanya hio magic na pia kwa kitu...
Wanabodi.
Naomba msaada jinsi ya kuunganisha kifurushi cha DSTV cha juu kuliko kile cha Mwanzo bila kupiga Huduma kwa wateja. Mfano, Mwanzo ulilipia kifurushi cha Compact Tsh 82,500 kikaisha muda...
Nina ka tecno h5 kangu nakatumia kusikiliza mziki mana kanakaa na chaji,ila tatizo mziki hauishi kanajizima jamani,shida ni nini???
Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo[emoji30]....
cc...
Wanajamvi habar ya leo! Naomben msaada wa namna ya kufunga/kuondoa account yangu ya Facebook ikiwa nimesahau password yake, nasiitumii ila NAONA inatumika na mtu anapost PC zake kama vile yake ila...
Kama heading hapojuu naomba kufahamishwa jinsi ya kutengeza email address ya mfano wa 124ali@muuzamchicha.co.tz /124ali@muuzaduka.com
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.