Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai.
Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia...
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500...
Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the...
za jumapili nyote. naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua changamoto hii.
nimeinstall bluestack na baada ya hapo nikainstall application tofauti na mojawapo ni tubemate. sasa...
Salaams,
Kama kichwa kinavyo jieleza, natamani kuanzisha online radio hapa bongo. Naomna kwa mwenye kujua
1. Vifaa
2. Uendeshaji
3.Faida
4. Hasara za kuwa na Online radio
5. Usikivu na...
wakuu habari .
Kama kichwa kisemavyo, nina shida ya kutaka kuifanya account yangu ya Youtube kuendelea kuchuma mapato tena kwani awali walinifungia kwa siku 90 na kunitaka nifute video zote...
Msaada jaman,mi navoonekana ni mtoto wa mjini muda mrefu na nalijua hilo
Ushamba wangu Sijui kutumia au kuchat Snapchat[emoji28][emoji28][emoji28]
Naweza kuitumia kujichukua video na picha tu lkn...
Wakuu nimerudi naomba msaada.
Mi nilibadili font ya simu kwa kutumia app ya IFont, sasa Hii font nimechoka nataka kubadili tena, cha ajabu hats app yenyewe ya I font imepotea, nimeingia play store...
Wakuu nisaidien huawei y6 pro yangu nashindwa kuhamisha documents toka phone memory kwenda kwenye pc kwa kutumia usb cable. Nimejaribu hata bluetooth imekwama japo simu na pc zimepair. Nifanye nini
kuna app nyingi za ku-unfollow watu ambao hawakufollow ig. mfano ni crowdfire na instafollowers. lakin hizi app zimeanza kuzingua, kwa wale mnaotumia hiz app mmeshaelewa nachomaanisha...
Habari ndugu zangu wapendwa wa humu JF?
Jamani leo nimekuja na wazo ,nahitaji kufungua blog ila sijui wapi kwa kuanzia ,naombeni michango yenu tafadhari
Karibuni
****hance...
Kuna mtu alinishauri niapdate sim yangu, lakini nilipoiapdate imepoteza ufanisi hata ktk picha inapiga low quality, nifanyeje maana nimeapdate version imefikia 4.4.2
Msaada tafadhali
Hello, Naomba kujua gharama za kutengeneza mobile application ,kuna application nataka itenegnezwe ni ya maswala ya kilimo sasa natafuta wanao tengeneza hizo applications za mobile hasa hizi android.
PesaApp ni app ya simu ambayo itahusika kusaidia ubadilishaji wa aina za fedha online kupitia simu ya mkononi nchini Tanzania na A.M kwa ujumla.
Wazo hili limeingia katika shndano la EQUITY...
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote
Naomba mwenye uelewa wa application ninayoweza kuweka katika simu yangu iniwezeshe wakati nimepigiwa simu inaita niwe na uwezo wa kuendelea na nilichokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.