Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kama kichwa cha habari hapo juu nimekaa na na kuwaza bila jibu ni nini kimewafanya watengenezaji wa cm za tecno kwenda kufanya usinduzi wa simu zao Dubai. Je ni kutangaza masoko au ni teknolijia...
1 Reactions
3 Replies
916 Views
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500... Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Closed
Njia gani rahisi ya ku hack FB account, msaada jamani.
0 Reactions
21 Replies
21K Views
wadau naomba msaada kwa anayejua bei ya betri mpya ya laptop aina ya dell... Betri yangu imekufa na nahitaji kununua nyingine ... Ansanten.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Learn more http://www.dmxzone.com/go/22300/dmxzone-security-provider-php/
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Habari zenu bandugu. Mwenye utaalamu wa ku-upgrade simu yenye uwezo wa 3G kwenda 4G anisaidie.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
.
1 Reactions
15 Replies
6K Views
za jumapili nyote. naomba msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua changamoto hii. nimeinstall bluestack na baada ya hapo nikainstall application tofauti na mojawapo ni tubemate. sasa...
0 Reactions
2 Replies
712 Views
Salaams, Kama kichwa kinavyo jieleza, natamani kuanzisha online radio hapa bongo. Naomna kwa mwenye kujua 1. Vifaa 2. Uendeshaji 3.Faida 4. Hasara za kuwa na Online radio 5. Usikivu na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu habari . Kama kichwa kisemavyo, nina shida ya kutaka kuifanya account yangu ya Youtube kuendelea kuchuma mapato tena kwani awali walinifungia kwa siku 90 na kunitaka nifute video zote...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Msaada jaman,mi navoonekana ni mtoto wa mjini muda mrefu na nalijua hilo Ushamba wangu Sijui kutumia au kuchat Snapchat[emoji28][emoji28][emoji28] Naweza kuitumia kujichukua video na picha tu lkn...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu nimerudi naomba msaada. Mi nilibadili font ya simu kwa kutumia app ya IFont, sasa Hii font nimechoka nataka kubadili tena, cha ajabu hats app yenyewe ya I font imepotea, nimeingia play store...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu nisaidien huawei y6 pro yangu nashindwa kuhamisha documents toka phone memory kwenda kwenye pc kwa kutumia usb cable. Nimejaribu hata bluetooth imekwama japo simu na pc zimepair. Nifanye nini
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kuna app nyingi za ku-unfollow watu ambao hawakufollow ig. mfano ni crowdfire na instafollowers. lakin hizi app zimeanza kuzingua, kwa wale mnaotumia hiz app mmeshaelewa nachomaanisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu wapendwa wa humu JF? Jamani leo nimekuja na wazo ,nahitaji kufungua blog ila sijui wapi kwa kuanzia ,naombeni michango yenu tafadhari Karibuni ****hance...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuna mtu alinishauri niapdate sim yangu, lakini nilipoiapdate imepoteza ufanisi hata ktk picha inapiga low quality, nifanyeje maana nimeapdate version imefikia 4.4.2 Msaada tafadhali
0 Reactions
13 Replies
1K Views
3
1 Reactions
6 Replies
757 Views
Hello, Naomba kujua gharama za kutengeneza mobile application ,kuna application nataka itenegnezwe ni ya maswala ya kilimo sasa natafuta wanao tengeneza hizo applications za mobile hasa hizi android.
0 Reactions
4 Replies
911 Views
PesaApp ni app ya simu ambayo itahusika kusaidia ubadilishaji wa aina za fedha online kupitia simu ya mkononi nchini Tanzania na A.M kwa ujumla. Wazo hili limeingia katika shndano la EQUITY...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote Naomba mwenye uelewa wa application ninayoweza kuweka katika simu yangu iniwezeshe wakati nimepigiwa simu inaita niwe na uwezo wa kuendelea na nilichokuwa...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Back
Top Bottom