Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari ya uzima mkuu nimepata dell precision m6300 video card ni NVIDIA Quadro FX 1600M - 256 MB Hapa vip mkuu kwa game kama gta 5 na fifa 16 pia warcraft
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msaada wadau baada ya kufungwa torrents ni website gani naweza kudownload series. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ninatumia smartphone yenye android v4.4. ninapenda sana kujua nitumie app gani itakayoniwezesha kudownload latest movies.
1 Reactions
43 Replies
12K Views
Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi mimi natumia simu tecno j8 lkn nikitumia kwa muda mrefu labda kwa siku hata masaa matatu kichwa kinauma sana na macho yana vuta sana kuna wakati nasikia...
0 Reactions
3 Replies
924 Views
Hi! Kila nikiwa nataka ku log in instagram inaleta ujumbe huo kwenye picha...nimejaribu ku uninstall na ku reinstall bado inaleta huo ujumbe...nini shida hapo jamani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
WanaJF, I would appreciate input on possible options for a remote non-forensic SMS collection. We have 20-22 custodians from whom we would like to collect SMS messages. These are the type of...
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema mm natengeneza circuit zifuatazo za kielectronic: 1:security system which will switch on the buzzer when it sense the presence of human 2:automatic night light...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wakuu naomba mnijuze gharama za kutengeneza na kumiliki website? ni hatua gani za kufuata? kuna usajili unahitajika? ni website ambayo itakuwa na taarifa ya vitu kama 2,000 na watu watakuwa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
During the height of the Cold War, a few US spy satellites changed our view of the Universe forever. In 1963, a year after the Cuban Missile Crisis nearly plunged the world into nuclear war, the...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
vp wale mnaotumia king'amuzi cha digitek vp kina channel ngap??? vp ubora wa sauti na picha?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wanajamvi. Tangu niliponunua hii simu mwaka 2015 nilikuwa napata tabu kuaccess PlayStation App maana nilikuwa naambiwa hii huduma haipatikani nchini kwangu. Nilijaribu kuwasiliana na Sony...
0 Reactions
4 Replies
653 Views
Unlocking huawei 4g modem of any network is not easy it need a high technology and most of time it need the money for buying the unlock code, why do the people sells the unlock code? and did they...
1 Reactions
6 Replies
963 Views
Hivi nitajuaje laptop feki. Na laptop nzuri ni zipi? Naomben msaada
0 Reactions
3 Replies
792 Views
Wadau natanguliza salamu,,, naombeni kusaidiwa nawezaje kupata key za kuactivate window 8. 1pro
0 Reactions
12 Replies
1K Views
POLISI TANZANIA WAMFANYA TUNDU LISSU KUWA MTU MASHUHURI DUNIANI APATA HITS MILLIONI 82 KATIKA SEARCH ENGINE YA GOOGLE NYINGI KUTOKA AUSTRALIA, MAREKANI NA ULAYA WAKITAFUTA (SEARCH) NENO TUNDU...
6 Reactions
37 Replies
7K Views
Msaada itel 1501 imegoma kusoma mafaili pdf , picha nikipiga haionekani kwenye gallery, video Niki download haziingii kwenye gallery na hazioneshi.
0 Reactions
2 Replies
744 Views
Mwanafunzi wa Darasa la 12 nchini Namibia ametengeneza simu isiyokuwa na sim card na wala haitumii muda wa maongezi kupiga simu. Kwa mujibu wa New Era report, Simon Petrus mwanafunzi wa Abraham...
16 Reactions
69 Replies
8K Views
Naombeni msaada namna ya kuset custom domain kwenye blogger baada ya kuregister domain mpyaa.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za sasa hizi waJF mimi nakaribia kuhitimu chuo wiki ijayo nimekaa nikaona ni bora nitafute ulaji kidogo. Nimewaza bora nifungue play station mtaani kwetu. Je nitapata wapi hivyo vifaa kwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu habari za wakati kwanza nianze kwa kusema natambua uwepo wa google kama helpfull search engine ya vitu pamoja na tutorials video ktk youtube sasa usiniambie niulize au kutazama google, wakuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom