Polisi wamezuia watu kugawa chakula kwa wasiojiweza kipindi hiki cha ‘Lockdown’ kwa kuwa wanakiuka miongozo ya Afya ya Kudhibiti maambukizi ya #COVID19
Wanaotaka kugawa chakula wametakiwa...
Polisi nchini Uganda inawashikilia wahudumu wawili wa afya kwa madai ya kuhusika kuwachoma takriban watu 800 chanjo feki za corona mwezi uliopita.
Mtu mmoja, ambaye ni daktari, anatafutwa na...
Mkazi wa Kalaki katika kaunti ya Ogwolo nchini Uganda amemnyonga mtoto wake wa miezi 9 baada ya kutopokea hela za serikali wanazopewa watu wasiojiweza kipindi hiki cha COVID19.
Mkuu wa Wilaya ya...
Mamlaka ya Dawa ya Uganda(NDA) imethibitisha matumizi ya COVIDEX kama dawa ya asili ya kupambana na maambukizi a #COVID19
Mkurugenzi Mtendaji wa NDA amesema dawa hiyo sio tiba ya COVID-19 bali...
Ugandans who violate the Covid pandemic control restrictions may go to jail for up to two months.
According to new rules released by the health ministry in a statutory document, those found...
ABOUT THE FOOTAGE below:-
In Uganda, people of Kasese almost killed health officials following their illicit move of burying an empty coffin which they claimed to be carrying the Covid-19 dead...
Wabunge na wahudumu wa bunge waliopatikana na corona wameshauriwa kujitengaImage caption: Wabunge na wahudumu wa bunge waliopatikana na corona wameshauriwa kujitenga
Taarifa iliyotolewa na Bunge...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametanga siku ya mapumziko leo Ijumaa kwa ajili ya kuwaombea wahudumu wa afya pamoja na familia zilizoathiriwa na virusi vya corona.
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki...
The death of 234 Ugandans due to Covid-19 in the last one month has forced President Museveni to declare a total lockdown in Uganda, six months after the state had made pronouncements of a...
Habari wadau!
Jana nimefuatilia habari kwenye chombo kimoja hapa TZ kimereport upungufu wa mitungi ya oxygen katika hospital kuu za Uganda kutokana na wimbi kubwa la wagonjwa wa Uviko 19.
Je...
Uganda will receive its second batch of Covid-19 vaccine doses today.
A total of 175,200 doses of AstraZaneca vaccines were donated by the French embassy under the COVAX programme.
Officials...
Uganda records over 10,000 Covid-19 cases in 10 days
MONDAY JUNE 14 2021
A health worker in Uganda takes a sample from a resident for Covid-19 testing. Up to 69 per cent of the 15,248 new...
The United Arab Emirates (UAE) will suspend entry for travellers coming from Zambia, the Democratic Republic of Congo and Uganda starting June 11, as part of efforts to contain the spread of the...
Uganda's President Yoweri Museveni has shut down schools and suspended public gatherings as the country faces a surge of infections in a second Covid-19 wave.
Public transport between districts...
Rais Yoweri Museveni ametoa wito kwa Wananchi waliokidhi kupata Chanjo dhidi ya Virusi vya Corona kutembelea Vituo vya Afya ili waweze kuipata
Ameeleza hayo baada ya yeye na Mke wake, Janet...
Serikali ya Uganda imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Covid 19 kama mataifa mengine duniani.
Mwaka jana Rais Yoweri Museveni alisema wanasayansi wa Uganda wanajaribu kufanya utafiti kuanza...
Museveni asema Uganda watatengeneza Chanjo yao wenyewe ya Corona awagomea wazungu kuendelea kuwataka kuimport chanjo zaidi ya walioleta.
Asema walimwambia kazi ya Africa ni ku import sio...
Wizara ya afya nchini Uganda imesitisha matumizi ya vitamin C katika kutibu virusi vya Covid-19 kutokana na matumizi mabaya ya wagonjwa.
Vitamni C ndiyo moja ya dawa zilizokuwa zinatumiwa kWa...
Waziri wa Afya Nchini humo, Dkt. Jane Ruth Aceng amesema Rais Yoweri Museveni na watu wake wa karibu hawajapatiwa chanjo dhidi ya Virusi vya Corona
Wizara ya Afya imetoa kauli hiyo ikakanusha...
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amezinduwa tiba ya majaribio ya kutibu virusi vya corona katika hospitali kuu ya taifa ya Mulago mjini Kampala kwa kutumia dawa asilia kutoka nchini humo.
Majaribio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.