Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Wizara ya Afya imetangaza visa vipya 18 vilivyothibitishwa baada ya sampuli 1,086 kufanyiwa vipimo jana, maambukizi nchini humo yamefikia 507. Kwenye sampuli 1,086 zilizopimwa, 774 ni kutoka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wizara ya Afya imesema watumishi 7 wa sekta ya afya nchini humo wamethibitishwa kupata maambukizi ya COVID19 Waliopata Virusi hivyo ni manesi 3, madaktari 2, na wafanyakazi 2 wa ngazi ya juu. Kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Madereva 5 wa magari ya mizigo wamekataliwa kuingia Uganda baada ya kukutwa na maambukizi ya #CoronaVirus. Sampuli za watu 655 zilipimwa mpakani na madereva hao wakakutwa, na kukabidhiwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wizara ya Afya nchini humo imetangaza ongezeko la Wagonjwa wengine 28 na kufanya jumla ya visa vya #CoronaVirus Nchini humo kufikia 281 Wagonjwa 21 ni madereva wa malori walioingia Uganda kupitia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253 Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
The number of COVID-19 cases in the country has risen to 274 after 10 people tested positive for the disease on Wednesday. Out of the 10 cases, nine are truck drivers while one case is a contact...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lumumba msikilize Museveni anavyoongea kuhusu corona nchini mwake mfanye ulinganisho. Najua mtanipiga madongo, lkn nawaomba mlinganishe hotuba za Mbowe, Museveni Na Mh Rais. ====== All...
10 Reactions
76 Replies
9K Views
Leo katika kupitia pitia katika mitandao ya kijamii nimekuta kuna video inasambaa katika facebook ikionyesha mwanamke mmoja ambaye inasemekana ni muhadhiri katika chuo kimoja nchini Uganda...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la Wagonjwa 21 wote wakiwa raia wa Uganda na wamepatikana baada ya sampuli 1,071 kupimwa katika mipaka ya nchi hiyo Wagonjwa hao wamepatikana katika...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Visa ya #COVID19 nchini Uganda vimefikia 160 baada ya visa vipya 21 kutangazwa jana kufuatia sampuli 1,896 kupimwa hapo jana Kati ya sampuli hizo, 1,593 ni madereva wa malori na 303 ni sampuli...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Arua, Uganda | THE INDEPENDENT | Five Tanzanian truck drivers who tested positive for COVID-19 have been discharged from Arua Regional Referral Hospital. They include four drivers who were...
0 Reactions
0 Replies
712 Views
Serikali ya Uganda imeanza kutumia mashine za GeneXpert mipakani, ili kuwapima madereva wa magari ya mizigo kabla ya kuingia nchini humo Taarifa kutoka Wizara ya Afya imesema kumekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uwendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona. Ameliambia shirika la habari la Uganda NBS kwamba mipango ya...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakati Kenya ikilalamika kwamba Tanzania ndio chimbuko la virusi, waganda wanaiona Kenya ndio nchi yenye kuingiza virusi kwa wingi nchini mwao. Tanzania haijachukua hatua Kali kama kuwauwa raia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizara ya Afya imesema dereva mmoja amekutwa na maambukizi baada ya sampuli 2,168 za madereva kufanyiwa vipimo. Dereva huyo ni raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 27 na aliingia Uganda kupitia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika hali ya kushangaza, kutia aibu na kusikitisha, Raisi Museveni ameitisha maombi ya nyumbani, ambapo yeye akiwa na mkewe wameonekana wakiongozwa maombi na muombaji ambaye aliomba kuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BREAKING: ministry of healthy of uganda has reported again today 13 truck drivers test positive for coronavirus in Uganda [emoji3532]Results of samples tested on 8 May, 2020 confirmed 13 new...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama ambavyo tumekuwa tunashauri, maisha hayawezi kusimama kabisa. Ni kweli lipo janga lakini tujikinge wakati mambo mengine yanaendelea. Tulisema kuwa baadhi ya nchi nyingi zili over react, of...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa idadi ya wagonjwa wa corona nchini humo imefikia 101 kutoka wagonjwa 100. Idadi hiyo imepanda baada ya Mtanzania mmoja ambaye ni Dereva wa Lori kutoka nchini...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom