Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kwamba wanasayansi nchini humo wamepiga hatua kubwa sana katika kupata tiba dhidi ya Corona.
Katika hotuba kwa taifa jana jumapili, Museveni amesema kwamba...
Maafisa polisi katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda, leo wamewakamata wasafiri 23 waliowasili katika uwanja huo wakiwa na vyeti bandia vinavyoonesha kwamba hawana maambukizi ya virusi...
Wizara ya Afya ya Uganda imefanyia marekebisho muongozo wake wa kukabiliana na corona ambayo itawafanya wagonjwa wa Covid-19 wasioonesha dalili ya maambukizi kutolewa hospitali bila kufanyiwa tena...
Uamuzi wa serikali ya Uganda kuza watu ada ya kufanyiwa kwa hiari vipimo vya Covid-19 huenda vikaathiri usafiri kurejelewa kwa shughuli za utalii na biashar kwa
Hatua hiyo pia huenda ikawaathiri...
Uganda imeamua kutumia wanajeshi kuzuia muingiliano na Watanzania mpakani, maana watu wanaotokea Tanzania kila wakipimwa wanakutwa na kirusi, kwa sasa hamna cha undugu tena mpakani. Kule Tanzania...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameruhusu waendesha boda boda na texi kuwabeba abiria kwa masharti kwamba lazima wavae barakoa kuzingatia muongozi wa kuzua maambukizi ya corona.
Rais pia...
Ama kweli mchele ni mmoja mengine ni mambo ya mapishi tu.
Kama ilivyokuwa kwetu, mganda naye anaelekea tuliko fika: yaani a Corona free country:
COVID-19: Victory in Uganda as the Country...
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya 11 baada ya kupima sampuli 2,575 na jumla ya walioambukizwa Virusi hivyo nchini humo imefikia 2,040
Aidha, nchi hiyo pia imewarudisha madereva wa malori 27...
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya 19 vya CoronaVirus baada ya kupima sampuli 2,170 na maambukizi ya nchi hiyo yamefikia 889.
Katika visa vilivyotangazwa leo, 11 walisafiri kutoka...
Ikumbukwe hapa kuwa ni Rais Magufuli pekee barani Afrika aliyekataa kuwafungia wananchi ndani yaani lockdown licha ya shinikizo kubwa kutoka kwa Chadema na ACT wazalendo.
Rais Museveni wa Uganda...
Wizara ya Afya imethibitisha ongezeko la visa vipya 9 vya COVID19 na jumla ya maambukizi nchini humo hivi sasa ni 741
Wagonjwa wapya wote ni Waganda, 4 ni madereva wa malori waliotokea Kenya (2)...
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amewaagiza mawaziri wote kupima COVID-19 kabla ya kuhudhuria kikao cha baraza la mawaziri kila Jumatatu.
---
“My test results turned out negative on Saturday...
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya vya #COVID19 na maambukizi yamefikia 705 huku idadi ya waliopona ikiwa 299
Katika visa hivyo, watano aliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari...
Rais Museveni amesema baadhi ya majibu ya vipimo vya COVID-19 yalisemwa watu wanaumwa ingawa hawakuwa na ugonjwa huo. Rais amesema makosa hayo yametokana na uzembe katika maabara ya Chuo Kikuu cha...
Wizara ya Afya imethibitisha Wagonjwa wapya 8 baada ya sampuli 2,423 kupimwa Juni 09, 2020 na kufanya jumla ya Visa nchini humo kufikia 665. Wagonjwa wote wapya ni Waganda
Kati ya Wagonjwa, wanne...
Wizara ya Afya imetangaza Wagonjwa wapya 07 wa #COVID19 baada ya sampuli 2,532 kupimwa jana. Wagonjwa wote ni Waganda na jumla ya maambukizi imefikia 686
Wagonjwa 3 wamepatika katika sampuli...
Wizara ya Afya nchini humo imetangaza ongezeko la Wagonjwa 30 baada ya sampuli 3,758 kufanyiwa vipimo kwa siku ya jana. Idadi ya maambukizi nchini humo imefikia 646
Katika sampuli hizo 3,758...
Wizara ya Afya imesema visa vipya 35 vimethibitishwa nchini humo baada ya sampuli 2,267 kufanyiwa vipimo. Kati ya sampuli hizo 1,412 ni kutoka mipakani na 855 ni za wananchi wa kawaida
Vilevile...
Wizara ya Afya yarekodi visa vipya 40 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 457, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda.
23 kati yao ni madereva wa malori waliotokea Sudan...
UPDATE: Uganda confirm 15 new #COVID19 cases. The total confirmed cases are now 522.
• 4 are truck drivers who arrived from Tanzania via Mutukula
• 2 are truck drivers from Busia
• 9 are among...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.