NBS Television @nbstv
Lockdown yapunguzwa makali.
1. Uganda kuzuia madereva wa magar ya mizigo kutokushuka kwenye gar pale waingiapo uganda. Watoto wa kike wa kiganda waonywa kutembea na...
Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa COVID19 nchini humo na idadi ya visa imefikia 89. Mgonjwa mpya ni dereva, raia wa Kenya aliyegundulika baada ya sampuli 2,729 za...
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa watatu wa corona na kufanya idadi ya maambukizi ya jumla ua corona Uganda kufikia 88, wagonjwa wapya ni Dereva wa Lori MKenya na wa Burundi...
Huku idadi ya wagonjwa waliopona Corona kufikia28 baada ya wagonjwa wengine 6 kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali leo hii.
Rais Museveni wa Uganda amesema kuwa“Nawapongeza madaktari na wahudumu...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa...
Uganda has confirmed 4 new COVID_19 cases out of 1,989 samples tested on Sunday 26th April. All patients are Tanzanian truck drivers who arrived via Mutukula border, Ministry ofHealth says. 411...
Baada ya mafanikio makubwa kukabili maambukizi ya corona Uganda , waziri Jane Ruth Aceng amepeleka team ya waatalamu mitaaani kutathmini hali halisi na hatimaye kuundosha lockdown kwa awamu...
President Yoweri Museveni has assured Ugandans that government in conjunction with the regional leaders is exploring ways of dealing with the continued imported cases of COVID-19 as a result of...
Ugandan Police spokes person Fred Enanga: Ghana tried to ease the restrictions on Coronavirus two days back only to record 271 new cases and one death in 24 hours. Coronavirus is very...
Wizara ya Afya Uganda imesema wagonjwa wengine 11 wa corona wameongezeka na kufanya visa kufikia 74 nchini humo, kati ya wagonjwa hao wapya sita ni Watanzania (Madereva wa Malori) walioingia...
Madreva 2 zaidi wa magari ya mizigo kutoka Tanzania kuelekea Kampala nchini Uganda wamekutwa na virusi vya corona baada ya vipimo mpakani imese taarifa ya wizara ya afya ya Uganda.
=====
Uganda...
Six Chinese nationals arrested in Uganda after escaping quarantine
Six Chinese nationals who had arrived at Entebbe Airport aboard Ethiopian Airlines after they had flown in from Guangzhou in...
Wanasayansi wa Uganda wafanya utafiti wa kutengeneza chanjo dhidi ya virusi vya Corona
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema wanasayansi nchini humo wanajitahidi kufanya utafiti utakaosaidia...
Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa corona na kufanya idadi ya visa vya corona kufikia 56 nchini humo, mgonjwa mpya ni mkimbizi wa Burundi mwenye umri wa miaka 46 ambaye...
Mbunge Francis Zaake amekamatwa na Polisi akidaiwa kutoa msaada wa chakula kwa wananchi wenye uhitaji jimboni kwake, jambo ambalo ni kinyume na maagizo ya Rais Yoweri Museveni ambaye hapo awali...
Katika hili janga la Corona Mh Museven aneonyesha nini maana halisi ya kua kiongozi na kusimamia usalama wa wananchi wake... Na kutoa miongozo ya changamoto mbalimbali yenye tija kwa nchi.
Sina...
Kutokana na sheria zilizopo ukiwa na mgonjwa unaita ambulance. Now ambuulance beii zake hazishikiki kabisa.
Watu wanakufa kila kona kwakukosa usafiri. Angalia mh Rais hili kama mtu hana hela...
*Waziri afya Uganda amelaumu kuwa baadhi ya watu waliowekwa karantini wameanzisha mahusiano ya kimapenzi*
_Hii africa jamani imejaa kila aina ya vituko 😀😀😀_
---
Ministry of Health permanent...
STAY HOME FOR MORE 21 DAYS -- President Museveni.
Government has resolved to keep a 3weeks StayHome decision starting tomorrow the 15th April 2020 up to may 5th, out of 5600 tested only 54...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.