Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Karanga pori,asili yake ni Australia.Mti wa karanga pori unatokana na jamii ya mimea ya proteaceae,aina zote zinalika ambayo mimea yote miwili ni Macadamia intergrifolia na Macadamia tetraphllya...
3 Reactions
443 Replies
142K Views
Habari zenu wote humu jukwaan! Nmejikuta natamani kufanya uwekezaji wa kudumu kwa kujikita kwenye kilimo Cha kudumu nahitaji kuchagua kulima moja Kati ya minazi au korosho! Mazingra niliyopo...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu naomba kujua zaidi kuhusu kilimo cha muhogo na changamoto zake na aina bora ya mbegu
4 Reactions
8 Replies
759 Views
Salaam wadau, Mimi ni mgeni kwenye kilimo cha kahawa nimeamua nilime kahawa kama sehemu ya kujiwekeza kupitia kilimo.nauliza zipi changamoto za kilimo cha kahawa na zipi ni faida za kilimo cha...
3 Reactions
10 Replies
608 Views
Wadudu hawa wameniharibia ekari mbili za zao la mbazi tafadhali anaejua sumu ya wadudu hao anisaidie
2 Reactions
14 Replies
493 Views
Jf nimejifunza na kujua mengi. Kwa hili nililoliona nimependa pia kushiriki pamoja nanyi. Katika pitapita zangu za utafutaji kuna mahala nimekuta kilimo cha mahindi na maharagwe kinakubali haswa...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
TUNAUZA MICHE YA MIGOMBA/NDIZI ZA KISASA ILIYO TENGENEZWA MAABARA Migomba/Ndizi aina ya GRAND NAIN (G-9) hii ni mbegu ya kimataifa. Aina hii ya ndizi huboreshwa kwanjia za kisayansi maabara...
3 Reactions
5 Replies
757 Views
Fikiri mara mbili kabla hujaamua kufuga mbwa hawa nyumbani kwako. Airedale Terrier Airedale Terriers ni mbwa wanaopenda kujitegemea na kuwa huru. Ni mbwa wenye akili sana lakini ni wasumbufu...
9 Reactions
32 Replies
4K Views
Wilaya ya Mufindi Ina fursa ya kilimo Cha mazao mbalimbali hasa ya matunda kama vile peas, parachichi na apples, NJOO uwekeze uinue kipato chako, Mashamba yanapatikana Mawasiliano What's App...
6 Reactions
31 Replies
786 Views
Uzalishaji wa vyakula vya mifugo vilivyosindikwa viwandani umeongezeka kutoka tani 900,000 mwaka 2020 hadi tani 1,880,000 mwaka 2024. Aidha, ongezeko hili limetokana na Serikali kuendelea...
0 Reactions
17 Replies
473 Views
Huu ni Uzi maalum kwa wapenzi wa mbwa, wafugaji na wafanyabiashara wa mbwa, wauza madawa na tiba za mbwa, wauza vyakula vya mbwa, na wadau mbalimbali wa mbwa.
3 Reactions
28 Replies
856 Views
KWA MAHITAJI YA VIRUTUBISHO VYA MAX PIG PAMOJA NA VIFAA VYA NGURUWE KAMA VILE #EARTAG#TEETHCLIPPER#PIGNIPPLE#WEIGHTTAPE#MZANIWACHAKULA# ■WASILIANA NASI 0656 446 991 0774 608 608 ■DAR ES...
0 Reactions
0 Replies
204 Views
Loe nilipita Super Market ya Village Supermarket kununua maji tu ila nikazunguka zunguka hasa sehemu za vyakula, huwa mara nyingi nafanya hivyo. Kuna vitu vinasgangaza sana Bongo hii, Pale...
7 Reactions
20 Replies
690 Views
Kulima vitunguu maji wakati wa masika kunahitaji kuzingatia hali ya unyevunyevu na udhibiti wa magonjwa kutokana na mvua nyingi. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua: 1. Uchaguzi wa eneo Ardhi...
9 Reactions
6 Replies
2K Views
Msimu wa Kupanda Miche ya Matunda Umefika! Farm Side Company Ltd, tunakuletea miche bora ya matunda kwa muda mfupi! Tunatoa: ✅ Embe (Tommy Artikin, Kent, Red Indian, Apple Mango, Dodo, Alphonso...
0 Reactions
2 Replies
278 Views
Anayejua gharama za ulimaji mpaka uvunaji Shamba lako lipo wapi. Gharama zinatofautiana kutokana na eneo ulipo. Nitakupa gharama ninazofahamu mimi kwa mahali nilipo. 1: Natumaini shamba unalo...
0 Reactions
33 Replies
20K Views
Serikali Imeendelea Kuhamasisha ufugaji wa samaki kwa vizimba nchini. Kwa kipindi cha mwaka 2000 hadi 2024 Jumla ya vizimba 222 vilitolewa kwa wananchi 1,213 ambao wanatokana na vyama vya ushirika...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Watanzania wengi tumewekza sana kwenye biashara za kuigana mwanzo mwisho na tuna sahau kuna gap kwenye kilimo cha vyakula wanavyo tumia sana foregners wanao iahi Tanzania. Na kwenye Kilimo hata...
7 Reactions
2 Replies
849 Views
Kuna vitu ukivitaja unalima au unafanya watu wanaweza kukuona kama umechanganyikiwa jwa sababu kuu 1 tusha zoea yale mambo ya fuata mkumbo yale ya mass, yale mambo yanafanywa na wote.Kama ni...
1 Reactions
0 Replies
161 Views
Nahitaji rain gun yenye radius ya kurusha maji metres kuanzia 40 hadi 60. Inauzwa bei gani
1 Reactions
2 Replies
183 Views
Back
Top Bottom