Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nilikua nataka kufaham km mil 1.5 inaweza ikatosha km mtaji wa kuanza kufuga broiler na chotara mana mi ndo kwnz nataka nianze hii biashara. Na je na kama haitoshi ni kiasi gani kinahitajika...
1 Reactions
3 Replies
322 Views
Wapendwa Habari zenu Poleni na majukumu ya kulijenga Taifa. Lengo la huu uzi ningeomba kwa wale waliowai kulima nyanya Mkoani Mbeya tupeane ushauri msimu gani wa kulima na vitu gani vya...
1 Reactions
0 Replies
178 Views
Za jioni wandugu, Nimetembelea mkoa wa Iringa, niweza kujionea maajabu na fursa nilizozikuta. “Kweli tembea ujione”. Tenga la nyanya, ambalo linatoa mbaka ndoo kubwa tatu, linauzwa 15,000 ...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Jf salaam Huwa nashangaa sana mtu kuanza kuinadi hii miti ya kisasa akiiponda ya kienyeji (asili). Ukweli ni kwamba miti ya matunda ya asili inazaa sana iwapo itatunzwa kidogo tu! Na daima ni...
8 Reactions
53 Replies
2K Views
Kumekuwa na uwekezaji mkubwa wa ufugaji wa samaki hasa katika Ziwa Victoria. Hili ni jambo la kupongeza sana na mpaka Wachina wamejenga kiwanda cha vyakula vya hawa samaki. Juzi nimepita...
8 Reactions
16 Replies
861 Views
Habari wakuu, Hembu wazoefu wa kilimo,nipeni ushauri huu. Kwanza angalizo la mwazo:- Miti hiyo ni kama decoration,badala ya kuwa na mauwa kwenye Nyumba,nimeamua iwe ni Royal Fruits House of my...
3 Reactions
53 Replies
28K Views
Ni kwa namna gani Hawa Wawekezaji wa kigeni katika zao la parachichi wameweza kuwa shawishi vijana kuingia katika kilimo hicho?
1 Reactions
5 Replies
289 Views
■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati...
4 Reactions
9 Replies
478 Views
Naomba kujuzwa kuhusu kilimo Cha kokoa na wataalamu wa kilimo hiki
0 Reactions
3 Replies
256 Views
Mahindi na karanga ni mojawapo ya mazao muhimu ya chakula. Mazao hayo huweza kushambuliwa na fangasi wanaozalisha sumukuvu ambayo huathiri usalama wa chakula. Sumukuvu ni nini? Sumukuvu ni sumu...
5 Reactions
8 Replies
461 Views
Kheri kwenu wapendwa nimeamini kila kitu ni nia na kujituma. Mwezi wa saba nilinunua tetea 30 na jogoo 3 wanaotetea mwezi wa nane nikapata vifaranga 280 na mwezi huu wa tisa 220. Na bado...
60 Reactions
126 Replies
7K Views
Natamani kufuga sangara ila vifaranga vya sangara sijui nitawapatia wapi? yeyote wakunieleza nakaribisha kwa moyo wote. Na kama hakuna anae uza kwanini mtu asianze utafiti na kuzalisha vifaranga...
2 Reactions
56 Replies
1K Views
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid. Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na...
4 Reactions
129 Replies
51K Views
Nchini Indonesia, mbinu ya kale hutumiwa ambayo inachanganya mashamba ya mpunga na mabwawa ya samaki. Samaki husaidia kudhibiti wadudu kwa kuwala wadudu hao na kuchangia kurutubisha udongo kwa...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Baada ya kumaliza degree yangu ya pili na kuona kuwa ajira kama ajira haiwezi kuwa mkombozi wangu kiuchumi niliamua nifatilie mawazo mbalimbali ya ujasiriamali. Nikafikiria ujasiriamali wa...
76 Reactions
352 Replies
80K Views
Kazi ya tekinolojia ni kutatua changamoto za kijamii,hasa zile zinazokumba shughuri za uzalishaji mali. Najua kuna changamoto umesha wahi kukutana nayo,na ukatamani uwepo wa kifaa flani kutatua...
3 Reactions
9 Replies
394 Views
Kahawa imekuwa zao muhimu la biashara nchini Tanzania kwa zaidi ya karne moja, ikichangia kwa kiwango kikubwa uchumi wa taifa na ustawi wa wakulima wadogo. Hata hivyo, katika miaka ya hivi...
4 Reactions
15 Replies
799 Views
Heri ya mwaka mpya . Leo katika pita pita zangu mitandaoni nilikuwa naangalia mambo ya uvuvi swali langu Kwa wavuvi kwanini wazungu akishika wavu akarusha kwenye mto,ziwa ,bahari...
2 Reactions
5 Replies
350 Views
Kama ambavyo kichwa Cha habari kinaeleza, Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji toka singida singidani Nina deal na Hawa kuku na hakika nmeona ni wastahimilivu sana wa magonjwa endapo wataanza...
5 Reactions
28 Replies
5K Views
Ninaomba msaada mashine yangu ya kutotoleshea vifaaranga vya kuku imezima kwenye controll(cumputer) ghafula ila feni inazunguka nifanyeje
0 Reactions
3 Replies
232 Views
Back
Top Bottom