Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Have you ever stopped to think that one of nature’s coolest superheroes might just be... a fly? No, not your typical picnic-ruining pest. I’m talking about the black soldier fly—a slick...
1 Reactions
3 Replies
199 Views
Itoshe kusema mko poa wakuu. Leo nimeona si vibaya ni share nanyi Kwa uchache japo aina4 za kuku wa kienyeji japo najua/mnajua Kuna aina nyingi sana za kuku Hawa. Mimi nitawajia Hizi aina 4...
13 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari za majukumu wanajamvi, Naomba kuuliza kwa mtaji wa laki sita nifuge kuku gani kati ya hao sasso au broiler nalenga kufuga kibiashara n.b banda tayari ninalo na vyombo vya chakula na maji...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimekaa hapa leo nikawa najiuliza ni kipi bora kati ya kilimo na ufugaji..nikawa nafikiria kufuga n'gombe wa kienyeji ambao kimsingi wana soko kubwa hapa nchini..changamoto kubwa kwa haraka haraka...
1 Reactions
14 Replies
10K Views
Nimechoka kuajiriwa, nina Mtaji wa Milioni 5 na nataka kujikomboa kupitia kilimo/Ufugaji. Naombeni Ushauri niingie kwenye kilimo/ufugaji gani kwa kuzingatia mtaji, uendeshaji na urahisi wa masoko...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sababu 10 Za Kuku Kupunguza Utagaji Mayai Na Nini Ufanye Kuongeza Uzalishaji Wa Mayai | Mshindo media. Kupungua kwa mayai yanayo zalishwa kwa siku katika shamba lako la kuku watagao mayai ni...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Wana JF, Nimeona mm pia nitoe testimonial kwa faida ya wajasiriamali wanaopenda kilimo na ufugaji. Ndoto yangu imekuwa kutafuta ujasiriamali utakaoniwezesha kuachana na ajira at 40 yrs. Baada ya...
81 Reactions
238 Replies
63K Views
Habari wakulima na Wafugaji Mimi ni mkulima Mdogo wa mazao ya Matunda kama machungwa na passion ila nimejaribu na kilimo cha papai naona kinakuja vizuri. Nimeanza na miche 1000 ya kisasa na...
3 Reactions
4 Replies
682 Views
Matunda ya Amarula tumeyala sana utotoni, ni matunda ndani yako kama ilivyo embe sema yana uchachu kwa mbali sana na pia yanalewesha ukila mengi hivyo yulikuwa tunakula kiasi tu. Ukiachana na...
8 Reactions
14 Replies
706 Views
Habari wana JF naomba kujua soko la samaki aina ya kambale msaada
1 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari Wadau wenzangu! Nina siku 15 (Wki 2 nasiku 1) tokea nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nilianza na Majike 15 na jogoo 1, nashukuru leo tarehe 21/09/2014 nimekamilisha trei moja la...
15 Reactions
144 Replies
26K Views
Natafuta sungura wakubwa kama uko mwanza tuwasiliane
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wakuu uyoga unapatikana hapa mbichi na mkavu karibuni sn
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu kwa anaefahamu vyema juu ya hawa viumbe atujuze! 1:Aina mbalimbali za sungura 2:Namna bora ya kuwafuga 3:Faida na hasara za zake 4:Mengineyo kuhusu hawa viumbe
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi na tumaini mko poa mimi ni kijana ambae nahitaji nitimize ndoto zangu kupitia kilimo. Nilikuwa natafuta mtu alie serious tuingie kwenye kilimo mkoa wowote ambao tutaona unafaa...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
JINSI VIJANA WA KAZI WANAVYO WEZA KUKUPIGA KWENYE KUKU WAKO. Ukiwa unafanyanufugaji wa simu ni lazima pia kujiandaa kwa majanga. 1. Kupitia mayai- Una kuku 300 wakutaga lakini kwa siku...
15 Reactions
30 Replies
6K Views
Tanzania ni nchi yenye walaji wa nyama wengi na kuku huliwa kwa kiasi kikubwa sana. Hata kama bei zinapanda, ulaji unaendelea kukua kila siku.Matokeo yake ni kwamba kufuga kuku inaweza ikawa...
11 Reactions
74 Replies
21K Views
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi? vigezo ninavyovitaka 1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200 2...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku...
10 Reactions
130 Replies
10K Views
Na Samwel Marwa (Mwandishi wa Habari na Mtaalam wa Mawasiliano ya Umma). "Naishauri serikali kuchukua hatua za pamoja na za haraka zaidi ili kukomesha vikundi hivi vya maharamia 'Mamayao' ili...
1 Reactions
1 Replies
203 Views
Back
Top Bottom