Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mimi ni mkazi wa iringa. Nina mpango wakufuga kuku wa kienyeji lakini nahitaji kufahamu ukuaji wake, yani huchukuwa mda gani kwanzia kifaranga. Pia kama upo Iringa mjini na unakuku njoo DM...
4 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba kujua incubator ya mayai 30 inauzwa shilingi ngapi dukani na maduka gani yanayouza incubator?
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wapendwa wa mungu! Mimi nikijana niko Bariadi nataka kufanya biashara ya maharage sasa waungwana naomba kufahamishwa palipo na maharage kwa wingi na yanauzwaje?
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya; nimeona bora nianze kujikita kwenye swala la kilimo kabla ubongo wangu hujagundua suala la ajira sio kitu cha kukitegemea. Hivyo...
2 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wadau wenzangu katika kilimo. Napenda kuwapongeza A to Z kwa juhudi zao za kuinua kilimo nchini kwa uzalishaji wa bidhaa za kilimo hapa nchini. Binafsi nimefurahiswa na hawa jamaa kwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu tumekuwa tukishughudia wakulima wengi wa greenhouse wakipata hasara au kutokupata mavuno bora kama walivyotegemea, kuendelea kutumia madawa ya kuuwa wadudu kwa kiasi kikubwa kama...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa mahitaji ya kilimo cha kisasa na matokeo yaliyo bora. Yanapatikana kwenye mfumo wa kilimo cha umwagiliaji cha grrenhouse Kwa mahitaji ya greenhouse Call Us; 0623646674 Email;mooyasin97@gmail.com
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anatoa mapovu machoni, dawa yake nini ipi? Pia kuna kuku wanatagia sehemu moja unawatenganisha vipi ili kila kuku atagie sehemu yake. NB: Wanaishi banda moja
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nipo nyanda za Juu kusini (southern Highlands), nahitaji kulima mali mbichi kwa umwagiliaji wa drip mara baada ya msimu wa kuvuna mahindi ambayo yapo shambani kwa sasa. Naomba ushauri nipige zao...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama picha inavyojieleza yenyewe, hao jamaa wanawaingiza vifaranga wa samaki bwawani, ila naona nyaya kama za umeme zimetoka kwenye switch zikaingia bwawani na kuna kichwa kikubwa tu sijui nawaza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Shayiri nijamii flan iv ya ngano ambayo hutumika sana kutengenezea Pombe, zao hili lina uhitaji mkubwa sana apa nchini kwetu hasa kwa viwanda vya bia kama vile TBL and SBL, naomba mwenye uzoefu...
0 Reactions
37 Replies
21K Views
Mhitimu wa aquaculture anaruhusiwa kuomba kazi ya Afisa uvuvi Msaidizi
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika kuhakikisha lengo la kuongeza uzalishaji wa mazao bora ya Viungo, Mboga na Matunda yenye kuzingatia matumizi madogo ya pembejeo za kemikali, wataalam wa kili mo kupitia mradi wa Viungo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba yeyote anayejua kuhusu Maboga lishe, kuhusu bei ya mbegu, mahali zinapatikana hizi mbegu na masoko anijuze tafadhali. Nipo Mbeya
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari za majukumu ndugu zangu. Ninatafuta suluhisho la kudumu la miti midogo yenye miiba shambani. Hii mimea imekuwa kero kubwa kwangu kwani kila nikipanda shamba, hiyo miiba huchipua. Hata...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Natafuta mfugaji mwenye mayai ya kuku wa kisasa aliepo Dar, Mlandizi, Chalinze au Kibaha. Bei 7000 hadi 7300 ndo nnayo nunulia nnahitaji tray kuanzia 200 na kuendelea, mawasiliano 0625602775...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Kilimo cha kahawa kina faida kubwa kwani mavuno yake unalipwa kwa dola. Kwa mfano ekari moja ambayo unapanda Miche 800 na mche mmoja kununua na kuupanda gharama yake Tshs 500. kwa Miche 800 sawa...
3 Reactions
4 Replies
6K Views
Ndugu zanguni wakulima, hivi ni mbolea gani inafaa kuwekwa kwenye mpunga ili uweze kuzaa vizuri?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kulingana na bei ya mizinga ya kisasa kuwa ya gharama ya chini hapa Tanzania, nimeona bora ni-import toka China moja kwa moja. Kupitia Alibaba nimeona mizinga ya "Langstroths" ambayo ni bora kwa...
3 Reactions
100 Replies
28K Views
habari wanajamvi, Nataka kujua kama naweza kupanda maharage na mahindi kwa pamoja ndani ya shamba moja. Yaani kwa mfano, hapa nimepanda mhuindi na apa maharage sehemu moja aiwezi kuleta shida.
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom