Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Aina NI hausqavar Imetumika miezi mitatu Bei 1.5
1 Reactions
40 Replies
1K Views
Habari za muda huu naomba msaada ni tiba gani inafaa kwa kuku wanaofunga macho na kutoa uchafu km maji ya sabuni ya kipande ilio lowekwa. (Ulenda ulenda). Na huu ugonjwa unatokana na nini pia...
3 Reactions
16 Replies
44K Views
Habari wadau!! Kuna ukweli gani kuhusu utagaji wa hawa kuku chotara aina ya SASSO na Kuroiler! Inavyosemekana kuwa wanachelewa sana kutaga na hawatagi mayai mengi, kama ukitaka kufuga hawa...
3 Reactions
56 Replies
25K Views
Habari wanajamvi, Kuna jambo nimeona la kushangaza kidogo katika maonyesho haya ya sabasaba katika banda la Wizara ya Kilimo na Uvuvi, kuna sanamu ya huyu samaki anayeitwa coelacanth au silikanti...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba mtaalam wa kilimo Cha pesheni anae fahamu vitu vifuatavyo. Anaejua mbegu nzuri na bora sokoni? Anaejua vipimo Vya kilimo Kwa mche na mche Anaejua muda wa kukomaa tunda hilo na njia za...
1 Reactions
13 Replies
902 Views
Habari za wakati huu. Naomba kujua Tanzania hapa Kuna viwanda vya kusindika kuku?, msaada tafadhari.
1 Reactions
6 Replies
393 Views
Msimu wa Kupanda Miche ya Matunda Umefika! Farm Side Company Ltd, tunakuletea miche bora ya matunda kwa muda mfupi! Tunatoa: ✅ Embe (Tommy Artikin, Kent, Red Indian, Apple Mango, Dodo, Alphonso...
1 Reactions
1 Replies
347 Views
Hallo wakuu niko na mbwa jike hapa nyumbani nifanyeje asizae tena? Maana midume humfuata hapa nyumbani, Ushauri tafadhali
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Wakuu kheri ya mwaka mpya kwenu nyote, natumai mko poa. Hongereni pia kwa mapambano ya kilimo. Wakuu nahitaji muongozo kadhaa kuhusu kilimo Cha mahindi. Nahitaji kwenda kufanya kilimo cha mahindi...
5 Reactions
26 Replies
6K Views
Habarini za mwaka mpya wana Jf! Baada ya muda mrefu kuto post makala humu (nimekuwa busy kwenye media zingine kama instagram, utube,whatsap,telegram..),acha leo nichangie kidogo maana nimeona...
9 Reactions
65 Replies
15K Views
Nimefanikiwa kupata ardhi yenye ukubwa wa ekari 200. Ni eneo ambalo bado ni pori. Huenda halijawahi kulimwa tokea liwepo, pengine. Kwa kuwa ni eneo kubwa, ninakusudia kulifanyia kazi taratibu...
4 Reactions
3 Replies
779 Views
Napenda sana kufunga ndege wanaofugwa kama kasuku,mdau anayejua wanauzwa wapi anijulishe
1 Reactions
6 Replies
361 Views
Ndugu zangu habari za Leo!Ningependa kuwaauliza kuhusu biashara ta RED MERCURY(ZEBAKI NYEKUNDU). Nimepata taarifa kuwa hii kitu inatafutwa miaka nenda miaka rudi je ni kweli kitu kama hiii...
0 Reactions
49 Replies
26K Views
Salaams Wapendwa wangu,,....!! Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!! Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!! Mimi...
4 Reactions
283 Replies
30K Views
Habari zenu wana JF! Namshukuru Mungu kwa kunipa nasafasi hii ya kuongezeana maarifa na ujuzi ya kulijenga taifa letu. Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada. Mimi ni mwanafunzi lakini pia...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
1. Majogoo ya Mbegu. 2. Vifaranga wa Mwezi mmoja. 3. Vifaraga wa wiki tatu. 4. Vifaranga wa wiki mbili. 5. Vifaranga wa siku moja wanapatikana kwa order. Kuku wote wamechanjwa na bei...
3 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wakuu, Nahitaji majogoo wa kisasa ili wapande kuku wa kienyeji kupata vifaranga chotara. Kwa mwenye nao hasa maeneo ya Mwanza anijulishe tafadhali ili niweze kununua kutoka kwake.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo? Naombeni msaada wenu kama kuna mtu yoyote mwenye experience juu ya usafirishaji wa matunda nje ya nchi na vibali vyake..
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana janvi kichwa cha habari kinajieleza naombeni ushauri nina pesa hiyo,nipo kijijini nifanye biashara gani jamani, ninakuku hamsini sasa nilikuwa nataka ninunue incubator ili niee nanunua mayai...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Eneo la Posta Mpya ni kioo cha Jiji letu la Dar es salaam.Eneo hilo limegeuzwa eneo la biashara za Kijasilimali za kuuza Chapati maandazi supu mahindi ya kuchoma mitumba n.k.Nilitegemea wakati Wa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…