Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wakuu Natumai Mko Poa. Ninaomba msaada wa kufahamishwa hili zao la hoho mbegu bora mahitaji na soko zuri n kwa wakati upi wa mwaka? Msaada wenu wa mawazo ndyo mtaji wangu nataka nijimwage na hoho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu natarajia kujenga josho kwa ajili ya kuogeshea mifugo yangu ipatayo Ng’ombe 300 na mbuzi 600.hivyo naomba mwenye ramani pamojana mahitaji ya ujenzi ili niweze kuitimiza ndoto...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Nataka kujua ni mkoa gani unajihusisha na kilimo cha zao la Mpira? au kampuni gani ninajihusisha na zao la mpira?
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Wana bodi saalam! Sekta ya kilimo ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi yetu,lakini kwa bahati MBAYA sana serikali ya Tanzania imeitupilia mbali. Panahitaji mageuzi ya dhati na makubwa ktk sekta hii...
4 Reactions
3 Replies
872 Views
Tanzania ni nchi yenye walaji wa nyama wengi na kuku huliwa kwa kiasi kikubwa sana. Hata kama bei zinapanda, ulaji unaendelea kukua. Matokeo yake ni kwamba kufuga kuku inaweza ikawa biashara...
12 Reactions
17 Replies
44K Views
Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu. - JamiiForums Hata kama ni kuosha vyombo, niko tayari. Nahitaji kazi yoyote ile nitakayo imudu. Sent using Jamii...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu habari ya asubuhi, napenda mtu mwenye nia ya kufanya kilimo Cha canola tuwasiliane. Nimekaa nikatafakari nikaona canola inaweza kuwa mbadala wa alizeti sehemu ambazo alizeti haifanyi vizuri...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Ida si kubwa ya wa-Tanzania wanaishi kijijini, Hii ni takribani 70% ya wa-Tanzania. Hawa wanategemea kilimo ili kuendesha maisha yao. Bado jembe la mkono ndiyo nyenzo kubwa ya kutendeackazi...
10 Reactions
49 Replies
6K Views
Jamani wa ndugu habarini? Naomba kujuwa zao la cocoa kwamaana ya eka moja inapandwa miche mingapi inakuwa. Utavuna baada ya muda gani, mavuno yapoje kwa mti, na bei ipoje sokoni kwa kg. Sent...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania na Brazil zimeingia makubaliano ya kuinua kilimo cha Pamba ili kiwe na tija kwa wakulima nchini. Makubaliano hayo yamejili wakati ambapo Brazil ipo katika hatua kubwa za kimageuzi ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za muda huu wanabodi Naomba kufahamishwa gharama (ijumuishe mtaji, vifaranga, chakula na dawa) za kufuga kuku hawa kwa kuanzia na kuku mia natakiwa kuandaa kias gani Nimejaribu kusoma...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za asubuhi ndugu zangu Nina kuku chotara wakubwa na wanataga mayai. Lakini ndani ya wiki wameanza kuvimba miguu kwenye ankle. Alafu naona kama wanaambukizana. I je, huu ni ugonjwa gani, na...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
habari ya leo.. Binafsi ninamiliki shamba dogo maeneo ya Ksarawe kwa DC JOKETI lakini halinisaidii chochote kwani sifugi wala sililimi kutokana na ukame ulioikumba ukanda wa pwani wa Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sisi kama Wafugaji Wanyama ndio tegemeo letu kubwa katika kuinua hali zetu za kiuchumi, Vile vile Wanyama ni viumbe wenye Matumizi Mengi kwa binadamu kuanzia Chakula mpaka Urembo. Kwa namna...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wanajamii leo napenda kushare na Jamii pamoja na taasisi mbali mbali ili kuthibitisha na kufanya utafiti zaidi kuhusiana na Ugonjwa wa GUmboro kwa Kuku. Nikiwa mgeni katika sekta ya...
19 Reactions
75 Replies
29K Views
Habari wakuu? Nina uhitaji wa formula ya usagaji wa chakula cha kuku wa Broiler na Layers..
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Naitaji kujuzwa ufugaji Wa bata kibiashara Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Message…habari wana jamii mm ni mfugaji mdogo nafuga kuku wa kienyeji .kuku ninao wachache tu c wengi.hivi juzi nimeanza kuona wanaumwa ugonjwa kama kukohoa hivi.nilipochunguza nikagundua vitu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe leo tarehe 21 Machi, 2019 amezindua rasmi mtaala wa Kilimo uliohuishwa baada ya ule wa zamani uliofahamika kama mtaala wa kilimo mseto...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wanaotaka kujua kuhusu kilimo cha njegere WAkuu mwenye uzoefu tunaomba tuelekezane juu ya kilimo cha zao hili. ----- Ndugu zangu naombeni msaada kuhusu kilimo cha njegere, upatikanaji wa...
0 Reactions
24 Replies
25K Views
Back
Top Bottom