Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kwenye kilimo cha mpunga hipi ni njia sahihi ya kupanda mpunga Kumwaga kienyeji Kupanda kwa punje Kupandikiza Naomba kujua maana nipo shamba sasa 0716671919
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba kupata faida katika kilimo kwa kufanya kilimo biashara kuna hitaji mambo mengi sana lakini katika vitu muhimu zaidi ni timing ya soko kwa zao husika.Wakulima wengi...
4 Reactions
25 Replies
9K Views
Ndugu zangu nataka kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya kwa kutumia Greenhouse. Anayefahamu gharama za kuandaa mwanzo mpaka mwisho anisadie kwa upande wa Morogoro. Asanteni
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Nataka kuingia kuanza ufugaji wa Kuku aina ya kroila ila tayari nina Kuku wa kienyeji kama 15 na kanga 22.Swali 1. Kuna madhara gani ya kuchanganya Kuku wa kroila na wa kienyeji? 2. Kuna mafhara...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari zenu. Mimi nafikiria kuwekeza kwenye kilimo. Natarajia kuwa mwekezaji wa kati, sio mkubwa kama azam au mdogo kabisa, ila wa kati. Nachotaka kufahamu ni kwamba, kilimo kinalipa tz sana sana...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
Habari jf. Jamani nina changamoto ya fivo vya vifaranga kila ninapo jaribu kupiga hatua ya ufugaji wa kuku wa kienyeji, kanuni zote muhimu za ufugaji nazifwata, sasa sijui nakosea wapi?
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Mtaalam nimerudi tena, naipenda kazi yangu kwa kuwa inagusa maisha ya watu wengi na Furaha kubwa ni pale unapoona utaalamu wako unasaidia wengine Leo naomba nidokeze kidogo kuhusu uvunaji wa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Ninazo kilo 60 za kinyesi cha popo sasa maelekezo ya matumizi yake kama mbolea shamba la mahindi yamekua mengi mno tofautitofauti mwenye uelewa sahh anisaidie
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Anayejua kilimo cha ufuta hatua kwa hatua msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za jioni wakuu, Mimi naamini katika kilimo katika kuufikia uhuru wa kipato. Nimekuwa na ndoto ya kuwa miongoni mwa wakulima mwenye mafanikio makubwa. Changamoto pekee inayonikabili mpaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani huko vijijini watu wamekuwa wakitumia ulimbo kuwategea ndege wadogo mashambani au sehemu za vichaka ndege wengi wanapotua. Huo ulimbo unatokana na utomvu mzito wa miti fulani ambao...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Heshima kwenu wana JF, Mimi ni mfugaji mdogo Wa kuku Wa kienyeji kwa ajili ya mboga nyumbani, ufugaji huo nimeanza mwezi Wa nane mwaka huu. Lakini wiki iliyoisha kuku wameanza kuugua na wengine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani Kwaanaejua gharama Za kuijenga green house. Naomba anisaidie coz napenda Sana kufanya kilimo cha green house
3 Reactions
5 Replies
7K Views
Mimi ni mfugaji wa kuku na kuna tatizo la kukosekana kwa chanjo ya Gumboro sokoni, wafugaji wenzangu nyie mnalimudu vipi swala hili?
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Wakuu habar zenu, nina vifaranga vyangu vya kuchi vimetotolewa jana,kuna mtu alinipa dawa za kuwapa ila nimeshindwa kujua namna gani ya kuwachanganyia. Amenipa Neoxychick kanambia niwachanganyie...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Naombeni mwenye uelewa wa jinsi wa kuanza mradi simple tu wa kufuga samaki. Kama ni eneo tiari ninalo.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Sumbawanga gunia sh 35,000-40,000. Subira yavuta kheri. Dar imefika bei gani?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nimekuwa mfugaji wa kuku wa nyama kwa miaka kadhaa na nimefikia wakati nimenotice soko la kuku kutokuwa zuri hususani kuelekea...
5 Reactions
56 Replies
15K Views
Wadau hongereni kwa ujasiliamali.... Naomba ushauri nina 3M nataka nianze ufugaji wa kuku wa kisasa. 1. Naomba kujua ukubwa na sifa kwa ujumla wa banda lake 2. Kuku wa mayai au nyama yupi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanaohakiki Korosho wanawaambia wakulima waonyeshe mashamba + hati za umiliki wa mashamba hayo, wakishindwa kufanya hivyo korosho zinachukuliwa na Serikali na hawalipwi hata senti Hiv huko...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom