Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wakuu habari. Wakuu hapa nilipo nilianzisha greenhouse japo haikufanya vizuri. Mtaalamu wangu akashauri nitafute udongo wa aina fulani uliokuwa unapatikana mkoa wa pili so nikakodi gari kwenda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wanajanvi, nahitaji kufanya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji, naomba mwenye habari za kilimo hicho ikiwa ni pamoja na jinsi ya kupata mashamba, gharama za ukodishaji, gharama za kilimo na...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada kwa mwenyeji wa mkoa tajwa hapo juu. Mimi ni kijana niliyemaliza chuo CBE dar es salaam. Kutokana na ajira Kuwa ngumu nimeamua bora nijihusishe na kilimo cha karanga...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini wana Jf. Naomba msaada kwa anayejua namna ya kuhifadhi vitunguu.Nahitaji kuhifadhi peto kama 10 hivi kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu hivi. Natanguliza Shukrani.
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Maisha ni changamoto sana. Ukiwa mfugaji wa kuku nyumbani kwako unakaribisha panya kwa kasi sana kupitia vyakula vya kuku kama pumba, paraza ,uduvi , dagaa n.k ! Ukishaona tu kuna panya nyumbani...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Habari wadau, Nahitaji kufuga kuku wa mayai yaani Layers, Naomba kupata ushauri wa kitaalamu namna ya kuwatunza kuanzia siku ya kuwapokea.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari wana Jamvi, Naomba mnisaidie, matunda ya mipapai yangu yamepungua utamu (sukari) sijui ni kitu gani naomba anyefahamu tatizo tafadhali anijulishe. Ni mbeu ya Malkia F1
0 Reactions
4 Replies
3K Views
mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji naomba msada kwa anae jua dawa ya mafua ya kuku.
0 Reactions
14 Replies
23K Views
Habari ndugu zangu? Poleni na majukumu ya kila siku, mimi nina swali naomba mwenye kufahamu utatuzi sahihi anisaidie hapa. Tatizo la mizizi kuoza katika kilimo cha green beans naitaji kufahamu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu?. Samahanini kwa usumbufu....ninaomba mnisaidie kujua ni eneo gani (kitongoji/wilaya/mkoa) zinapopatikana ndizi za kuiva kwa wingi...na itapendeza zaidi kama nikasaidiwa kujua...
1 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari zenu wadau. Poleni na majukumu. Nna trekta nakaribia kukamilisha ununuzi wake rasmi kwa ajili ya kuchapa kazi na mpango wangu ni kulikodisha kwa wadau wataolima kwa kutumia trekta naomba...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Baada ya wafanya biashara kugoma kununua korosho kwa bei ya zaidi ya shilingi 3000 hatimaye Serikali yaamua kijitosa katika hili na kuamua kununua kwa bei ya sh. 3300 kwa kilo. Hii ni moja ya kazi...
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Habari wadau humu ndani. Nina shamba lenye ukubwa wa eka 30 Wilaya ya Mkuranga ndani ndani huko. Mipango yangu ni kupanda mazao ya kudumu eka 20 kati ya hizo 30 msimu wa masika yajayo. Naomba...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna video ina trend, twitter inamuonesha ofisa mmoja wa serikali akiwa na waandishi wa habari kwenye ofisi ya kampuni inayomilikiwa na mama wa kizungu mmoja wakijibizana kwa madai kuwa kampuni...
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau, naomba msaada wa kupata elimu zaidi juu ya utengenezaji wa funza kama chakula cha kuku. na pia naomba kufahamu kama hawa funza kwa hapa Tanzania wanauzwa, basi naomba kufahamu ni wapi...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Wakuu hili swala la Kujitengenezea mwenyewe Chakula Cha Kuku si swala la Kitoto hata Kidogo, Ni kazi Moja ngumu kabisa, kuliko hata Kufuga kwenyewe, na that is why watu wengi wanaona ni Bora...
2 Reactions
28 Replies
25K Views
Naitwa goya mnanda ni mkulima wa mpunga nafanya shughul zangu mkoa wa morogoro kilombelo ni mkukima wa kat katika shughul zangu kule shamba nakutana na changamoto mbalimbali aswa matumiz ya dawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
naomba ushauri kwa anaejua kuhusu mafuta ya ubuyu nitumie kilo ngapi za mbegu il nipate lita moja ya mafuta ya ubuyu naomba msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari.. Natumaini mu wazima Lengo la uzi wangu ni kutaka kujua kiundani kuhusu kilimo cha karangaa.... 1.Mkoa mzuri unaofaa kwa kilimo hicho 2.mahitaji kwa ajili ya kilimo 3.Total cost...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nawasilisha wanaJf ..kwa yeyote anayejua soko la watu wanaonunua ufuta au nnaweza kupata vipi wanunuzi tafadhali naomb niambiw.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom