Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo) Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa? Msaada kwa anayeelewa. #commred Chichimizi
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau, Kama mada husika hapo nina shamba kubwa la mihogo changamoto kubwa niliyonayo ni nguruwe usiku wanafanya uharibufu. Naomba mawazo na maarifa ya kuwadhibiti Ahsanteni
0 Reactions
76 Replies
16K Views
Serikali ingilieni kati, Mbolea imekuwa na masharti magumu kununua, sasa hivi hakuna kupima kwa kilo, kila mkulima analazimika kununua mfuko wa Kilo 50 ambao bei yake ni sh 50,000-55,000 wengine...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba nitoe wito kwa wanasiasa, watuache sisi wakulima wadogo wadogo tuendelee na maisha yetu haya ndio maisha yetu, tunaomba wasituhamishe kufanya kitu kingine ambacho hatujakiona, miaka yote ma...
1 Reactions
3 Replies
891 Views
The Minister of State in the Prime Minister's Office (Policy, Parliamentary Affairs, Labour, Employment, Youth and the Disabled), Ms Jenista Mhagama said that the project will closely involve...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu.. Mie ni mkulima napatikana Kilosa Rudewa, najihusisha na kilimo cha Ngogwe ali maarufu kama Nyanyachungu.... Kama picha inavyo onyesha nimejarbu panda Bilinganya shamban...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau naomba msaada kwa wanao jua chochote kuhusu kilimo cha Bilinganya hasa masoko Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Wadau naomba msaada kwa wanao jua chochote kuhusu kilimo cha Bilinganya hasa masoko Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Korogwe Tanga
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba msaada mwenye kufahamu njia rahisi ya kuwaondoa nyuki waliojenga pembeni ya paa la nyumba. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Heshima mbele, Kuna eka 4 nilianda shamba Pwani ,nataka kuchanganya mazao karibia manne . Hamna source ya maji so nataka kucheza na hizi mvua. Naomba msaada na ushauri niweke mazao gani hasa yale...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Health facts Of Snail Snail contains Omega-3 fatty acids 218mg, Total Omega-6 fatty 17.0mg. American Heart Association (AHA) has recommended that a person must meet 5-10 percent of daily...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawaletea mpango mkakati huu ili tupambane na umasikini.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habarini wakuu, Nataka kulima Pilipili kibiashara kwa kilimo cha umwagiliaji. Sina taarifa za masoko kwa ukanda wetu wa Pwani esp Dar es Salaam. Naomba kujua pilipili zipi ambazo zina soko zuri...
2 Reactions
24 Replies
17K Views
Habari wakulima, Kama kuna ambae huwa analima na kuuza tikiti masoko ya dar es salaam naomba aniunganishe na dalali wake ambae ni mwaminifu ili niwe namtumia kumpelekea mzigo wangu ukiiva. Nina...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wadau.. Natafuta mtaalamu wa kunivutia nyuki shambani kwangu. Kama kuna mwenye mawasiliano naomba msaada. Shamba liko Mkuranga na malipo nitafanya baada ya nyuki kuhamia kwenye mizinga...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, nimechimba kisima cha mkono cha futi kama 35 hv (10.666 meter) na nataka ninunue mashine kwa ajili ya kumwagilia, swali langu ni je 1. Nikichukua zile za kudumbukiza kwenye maji...
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Wadau, baada ya kusoma sana mada mbalimbali zinazohusu tikiti na kuelewa, nilijipanga na kumtafuta mtaalamu atakaeweza kunisimamia na kilimo cha tikiti, Mungu ni mwema nilimpata na mwezi wa 9...
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari, Baada ya Hali kuwa ngumu hapa Mjini Dsm nimefikiri naweza a nzia shambani kwa kuwa Dsm na Morogoro ni karibu hivyo naomba kufahamisha mambo kadhaa 1. Naomba kujua sehem Nzuri nayoweza Lima...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Back
Top Bottom