Kampuni yetu ya KINASORU EAST AFRICA (T) LTD iliitwa kwa ajili ya kumshauri mheshimiwa mmoja ambaye alikuwa na wazo la kufuga kuku wa asili walioboreshwa kama sehemu ya kazi yake ya ziada. Alitaka...
Habari zenu wandugu?
Naomba kufahamishwa athari za kumwagilia mimea shambani wakati jua limeshakua kali, lets say kuanzia jua la saa tano na kuendelea. Au ni kwanini watu wanasema 'jua limeshakua...
Ndugu marafiki, mie ninafuga kuku wa nyama kloiler lakini chakula shida siunajua mahindi yamepanda n.k. Sasa nimesikia hydroponics zinapunguza gharama za chakula cha kuku kwa asilimia 50%. Je...
Yamekuwapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya wakulima wa pamba kulalamika kuwa viua dudu vya pamba tulivyopewa na serikali msimu huu haviui wadudu. Malalamiko haya hayana ukweli wowote. Ukweli ni...
Habar wana Jamvi nakuja tena Leo niombe tujadili kuhusu kilimo cha Umwagiliaji kwa njia zote Mifereji(furrow), basin irrigation (majaluba), drip irrigation, sprinkler irrigation Na nyinginezo...
Wanajukwaa habarini.
Kipindi hiki cha kuelekea mwezi wa nne na tano natarajia kulima shamba langu kwa matarajio ya kulima kwa umwagiliaji. Nimefanya utafiti wa eneo husika, mazao niliyoyataja hapo...
Wakuu amani kwenu, hii ni technology mpya ya kilimo (walau machoni pangu). Naomba kama kuna mdau yeyote mwenye ufahamu wa aina hii ya kilimo anifahamishe. Nahitaji kuwekeza kwenye aina hii ya...
Habari wana jamvi
Nauliza vyuo gani bora kwa kozi za kilimo kwa mwanafunzi anayetaka kusoma certificate ya general agriculture?
Pia namna gani rahisi ya kupata ufadhili wa serikali ukiangalia kwa...
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa yeyote mwenye ufahamu wa Kuku, naomba kujuzwa eneo zuri, ambalo lina ni wazi sana halina msongamano wa watu kwa ufugaji wa kuku kwa mikoa ya dar na...
Habari zenu,
Naomba kuuliza ni wapi kwa hapa Dar naweza kupata Hydroponic fodder
kwa anayefahamu au kama kuna mtu yoyote anahusika na hiyo issue naomba anicheck.
0712354526 Nipo Kimara Stopover
Habari zenu wajasiriamali na wahangaikaji wenzangu nakuiteni kwa ajili ya kubadilishana uzoefu katika utumiaji wa mashine za utotoleshaji vifaranga kwa matokeo mazuri nini na kipi mtumiaji wa...
Jinsi ya kutengeneza Incubator Isiyotumia Umeme.
Clay incubator
1.Tafuta chumba kisafi sehemu ya kona ya chumba.
2.tengeneza Frame ya Incubator pande mbili.
3.Tengeneza Tray itayobeba mayai tumia...
BROILER PARENTS STOCK
Mpaka sasa Ulimwenguni kote kuna kampuni 3 pekee zinazo zalisha parents stock wa Broiler hizi kampuni zina breeds tofauto tofauti za Broiler.
1. Aviagen
Hawa wanazalisha...
1. Miaka ya 1995 baadhi ya watu walianza kusema kuwa hizi hybrid seeds zinashambuliwa sana na magonja kuliko mbegu za asili.
2. Miaka ya hivi karibuni wadudu wanaoshambulia mazao wamekuwa tishio...
MDUDU KANTANGAZE ( Tuta absoluta) AZIDI KUUA KILIMO CHA NYANYA TANZANIA.
Leo nimeona habari iliyotolewa na ITV kuhusu zaidi za ekari mianane za Nyanya katika kijiji cha Ngarenanyuki wilaya ya...
Habari Wakuu,
Naomba wadau/wajumbe waliopo katika mikoa au sehemu mbalimbali ya Tanzania mtusaidie kujua bei ya mahindi kwa ndoo ya lita 20.
Angalizo: Ni yale mahindi yanayotoa unga mwingi.
Hello wadau na wakuu wa forum hii adimu ya JF!
mimi ni kijana wa umri wa miaka 26,
naishi mwanza mjini kabisa.
nimekuja mbele zenu hapa mnipatie msaada wa vifaa mbalimbali ili niweze kuingia...
Wakuu Salaam.
Hongereni kwa shughuli mbalimbali za ujenzi wa maisha binafsi na taifa kwa ujumla.
Naomba msaada wa mawazo. Ninafuga kuku wa mayai ya kisasa na machotara. Sasa for the past two...
Habari wazalendo wa nchi hii yaani wakulima,
Niona nifungue uzi huu kwa wale wakulima wa mazao ya muda mfupi, ili tufahamishane hali ya soko bei kupanda na kushuka, lakini pia tupeane taarifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.