Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Mwaka jana nilipokua likizo nilishangazwa na ladha ya machungwa, karibu machungwa yote niliyoyanunua jijini Dar es salaam ladha yake haitafautiani na ile ya malimao. Baada ya utafiti mdogo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanafikiria ni kwa namna gani tunaweza kuhakikisha tunavuna maji ya mvua kwa namna ambayo tunaweza kuyatumia kwenye shughuli zetu za kilimo hasa huko vijijini. Ni...
1 Reactions
0 Replies
672 Views
Wakuu habari ya ijumaa samahani kama kuna vijana ambao ni mafighter tufanye kilimo cha uyoga hapa dsm nimefanya research inaonekana kinalipa sana ila wakulima ndio shida hivyo kama upo dsm...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakaazi wa wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi wanategemea zao la korosho kama zao kuu la biashara na kusahau mazao mengine yanayoweza kubadili maisha yao kiuchumi. Sababu kuu ni kukosa mafunzo na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari! Kwa yeyote mwenye ushauri kuhusu kifaa tajwa hapo juu nakarisha,nahitaji hiko kifaa walau kile cha kuanzia mayai 300,brand ipi nzuri,automatic au manual,bei zake,za hapa bongo au nje ya...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Nahitaji kujua mbegu nzuri na inayozaa zaidi au mapato mazuri ya alizeti!!!
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Tunahitaji miche ya mirunda mizuri na iliyooteshwa kitaalamu. Kama unayo miche hiyo tuwasiliane.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Napenda kujua ni kwa nini kinyesi cha Binadamu hakitumiki kama mbolea?Maana sehemu nyingi ambazo uwa kuna mtitiriko wa kinyesi na kukawa na ulimaji Wa mboga mboga,uwa zinastawi sana.Sasa ni kwa...
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Jamani Nina mitende miwili kila mwaka zinaharibika sijui namna zinavyotengenezwa. Msaada Kwa mwenye ujuzi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Msaada wana JF. Nahitaji kununua mayai yanayotumiwa kutotoresha broilers, nimejaribu kufanya internet search locally kwa hapa Tanzania sijaambulia information yoyote inayoweza nisaidia. Kama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana JF Nahitaji partner ya kufuga nae kuku wa kisasa na kienyeji kibiashara anayepatikana mkoa wa Arusha hususani Arusha mjini....akiwa na mabanda na eneo la ufugaji itakuwa vema zaidi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari zenu wana JF Naomba kufahamishwa mti wa apple wa kisasa huanza kutoa matunda ukifika miaka mingapi??
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Wale wakulima wanaotarajia kuanza kilimo its high time we get together. Malila and co. mko wapi? Mkutano wa Tea Party wa tarehe 5, vipi?
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ni mkoa hapa Tz una uhaba wa samaki. Wanaojuwa naomba wanifahamishe
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wasalaam, Husika na kichwa cha habari hapo juu, aliye nazo au anajua ambae anazo ani-PM.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Na Dr khalfan 0752367114 Kuvimba macho huweza kusababishwa na vitu vikuu viwili Maambukizi ya bacteria Au upungufu wa vitamin A.kwenye chakula chako. Utawezaje kutofautisha????? Maambukizi ya...
3 Reactions
0 Replies
12K Views
Wadau naomba kujua Hivi kuna mdau anayevuna maji ya mvua kwa ajiri ya kilimo na ufugaji kwa upande wa bagamoyo au msata??
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kama upo Lindi au Mtwara na unayo miche ya zao la korosho ILIYOBEBESHWA nahitaji kununua mawasiliano 0683776379
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Mimi ni mhitimu wa shahada ya Agronomia ( taaluma ya udongo na vipando/mimea ) kutoka chuo kikuu cha SUA mwaka 2017 kwa performance ya upper second class( Very good) . Miongoni mwa maeneo ya...
7 Reactions
34 Replies
7K Views
kwa anaye juwa sehemu zinapo patikana mashine za mkono zinazotumika kuvuna mpunga
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Back
Top Bottom