Mwaka jana nilipokua likizo nilishangazwa na ladha ya machungwa, karibu machungwa yote niliyoyanunua jijini Dar es salaam ladha yake haitafautiani na ile ya malimao.
Baada ya utafiti mdogo...
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanafikiria ni kwa namna gani tunaweza kuhakikisha tunavuna maji ya mvua kwa namna ambayo tunaweza kuyatumia kwenye shughuli zetu za kilimo hasa huko vijijini.
Ni...
Wakuu habari ya ijumaa samahani kama kuna vijana ambao ni mafighter tufanye kilimo cha uyoga hapa dsm nimefanya research inaonekana kinalipa sana ila wakulima ndio shida hivyo kama upo dsm...
Wakaazi wa wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi wanategemea zao la korosho kama zao kuu la biashara na kusahau mazao mengine yanayoweza kubadili maisha yao kiuchumi. Sababu kuu ni kukosa mafunzo na...
Habari! Kwa yeyote mwenye ushauri kuhusu kifaa tajwa hapo juu nakarisha,nahitaji hiko kifaa walau kile cha kuanzia mayai 300,brand ipi nzuri,automatic au manual,bei zake,za hapa bongo au nje ya...
Napenda kujua ni kwa nini kinyesi cha Binadamu hakitumiki kama mbolea?Maana sehemu nyingi ambazo uwa kuna mtitiriko wa kinyesi na kukawa na ulimaji Wa mboga mboga,uwa zinastawi sana.Sasa ni kwa...
Msaada wana JF.
Nahitaji kununua mayai yanayotumiwa kutotoresha broilers, nimejaribu kufanya internet search locally kwa hapa Tanzania sijaambulia information yoyote inayoweza nisaidia.
Kama...
Habari wana JF
Nahitaji partner ya kufuga nae kuku wa kisasa na kienyeji kibiashara anayepatikana mkoa wa Arusha hususani Arusha mjini....akiwa na mabanda na eneo la ufugaji itakuwa vema zaidi...
Na Dr khalfan 0752367114
Kuvimba macho huweza kusababishwa na vitu vikuu viwili
Maambukizi ya bacteria
Au upungufu wa vitamin A.kwenye chakula chako.
Utawezaje kutofautisha?????
Maambukizi ya...
Mimi ni mhitimu wa shahada ya Agronomia ( taaluma ya udongo na vipando/mimea ) kutoka chuo kikuu cha SUA mwaka 2017 kwa performance ya upper second class( Very good) .
Miongoni mwa maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.