Habari wana jamvi
Ni ukweli usiopingika wafugaji walio wengi wanagawana faida na maduka ya vyakula vya mifugo..Nataka kutoa changamoto zilizokuwa zinanikabili kwenye chakula cha mifugo yangu na...
Poleni na mizunguko ya kila siku, mimi ni mwanafunzi wa chuo...
Nmeamua kulima mpunga, sababu napenda kuinvest katika kilimo,, ila bado nakosa hints za kutosha kwa kilimo Cha mpunga, KWA CHOCHOTE...
Wataalamu naomba msaada wenu nina kuku wangu aina ya kuchi anaumwa anasinzia na kuharisha kinyesi kama cheupe ni dawa gani inaweza kumtibu kuku wangu naomba msaada Maana nilimnunua bei kubwa sana...
yoyote mwenye ufahamu mzuri kuhusu soko la kuku wa kienyeji lenye tija
Nahitaji kufahamu bei ya kuku ya sasa mtetea na jogoo?
pia sehemu nayoweza pata soko la kuku hawa?
##Giftedhand..
email...
Hivi serikali inapotaka kuchukua eneo na kunamazao ya kudumu, je kwa zao kama katani unalipwa sh ngapi kwa shina? Je mazao mengine kama embe, miti ya mbao, korosho,chungwa etc. Naomba wazoefu...
UTUMIAJI WA SHUBIRI MWITU KWA KUKU
zipo dawa tofauti za asili zinazopatikana kirahisi kwenye mazingira yetu ambazo zina uwezo wa kutibu magonjwa ya Kuku katika page hii tutajifunza baadhi ya hayo...
Kwanza Tambua kwamba F1 au First generation hutoka kwenye Parents stock pekee.
Parents stock ndo huzaa F1.na parents stock huagizwa nje na parents stock hutoka kwenye Grand Parents.
Grands...
Wengi tunakuwa na malengo mazuri ya kimaendeleo hasa ya kulima mazao fulani, lakini tunakwamishwa na shughuli mbadala ambazo nyingi ya hizo ni zile za ofisini..kwa kuona hilo CHALAJI COMPANY...
Habari wana Jf....
CHAKULA CHA KUKU
MALIGHAFI
1.MAHINDI YALIYOPARAZWA KILO 25
2.PUMBA YA MAHINDI KILO 10.
3.MASHUDU YA PAMBA KILO 5
4.MASHUDU YA ALIZETI KILO 5
5.DAGAA KILO 5
6. CHOKAA KILO 1...
Habarini Wakuu,
Tafadhali naomba mtaalamu anayejua namna ya kutengeneza chakula cha kukuza kuku haraka (Grower mash) aweze kunielekeza.
Ni vitu gani huwa vinahitajika ili kuchanganya mpaka...
Kilimo ni sekta ya uzalishaji ambayo huchangia kukuza pato na kuimarisha uchumi la taifa. Tanzania ikiwa ni nchi inayotegemea kilimo kama uti wa mgongo wa uchumi wake, mipango na mikakati...
Wakuu ningependa kuchukua taarifa hii kuwatakia siku njema pia ningeomba msaada kidogo kuhusu biashara yakufanya mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu sasa nina ela ya mtaji 250, 000 je nifanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.