Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Karibuni farmas centre ilala Amana.kutana na doctor wa mifugo (veterinarian) kwa Ushauri bure kabisa njinsi ya ufagaji WA kuku aina zote. Utasikilizwa na utapewa Ushauri bure kabisa. Ukifika...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf Naomba niende kwenye ombi langu tupeane uzoefu namna ya kuzuia nyani shambani (njia rahisi) nimejalibu kutumia sum lakini mafanikio machache sana ,naombeni msaada tafadhali
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Tofauti na TADB inayohitaji vikundi vya muda mrefu kuanzia miaka mitatu kuvikopesha. Ni taasisi gani nyingine za kifedha zinazokopesha vikundi vya wakulima Tanzania? Mwenye kujua atufahamishe.
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Hi great thinkers Leo tangu asubuhi tunakurupushana na haka kajike ka ng'ombe hakataki kupandwa kanavunja miti tuliyoweka ili kapigwe dushelele.Tatizo nini?
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari wadau wa kilimo, Nina shamba langu sumbawanga kanondo ekari 7 kutokana na majumu kubana sitoweza kwenda kulilima hivyo kwa mwenye kuhitaji kulima tuwasiliane nimpe alime. Asante!!
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kwa wale wenzangu wa kusini na wakulima wa korosho a. k. a "makinikia ya kusini" kwa ujumla naomba tujumuike kujuzana changamoto mbalimbali katika msimu huu, ikiwemo upatikanaji wa...
2 Reactions
41 Replies
11K Views
Serikali imeombwa kuwekeza fedha katika utafiti wa mbegu za mafuta ikiwemo Alizeti na Ufuta, badala ya kuwategemea wafadhili ambao licha ya kugoma kuwekeza katika mazao hayo wamekuwa na masharti...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
kwa mfano mahindi ukilima kwenye kichuguu yanakubali sana hata bila kuweka mbolea. Kwa kupitia hilo nilienda kijiji kimoja hivi hapa tanzania nikakuta wanatumia udongo wa kwenye kichuguu kama...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta MTU wa kuweza kushirikiana tuanzishe kilimo cha umwagiliaji ,hususani kilimo cha matunda Na mbogamboga nataka MTU ambaye yuko makini Na anafahamu kilimo ili tufanye kilimo chenye tija.
7 Reactions
87 Replies
17K Views
Wakuu Mwenye uzoefu wa kilimo cha mahindi Dakawa kuanzia upatikanaji mashamba ya kukodi,kulima,mavuno na makadirio ya gharama kwa heka kuandaa shamba mpaka kuvuna. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wanakijiji naomba msaada kwa yeyote anayejua jinsi ya kusafisha kuku wa nyama wakishachinjwa na kuwakausha vizuri ili wasibakie na majimaji ya damu kabla ya kufungasha, kwani yale maji maji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu.Natumai mu wazima wa afyà,kama kichwa kinavyoeleza nahitaji kufahamu kuhusu mbegu bora inayostahimili magonjwa na kutoa mazao mengi ya muhogo. Mwezi nimeanda shamba la ekari 5 nataka...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakubwa habal ,naomba kupata mawazo juu ya kilimo cha biringanya pamoja na solo lakee
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HOFU INAVYO TUGHALIMU KWENYE SAFARI YA UJASIRIAMALI Wengi wetu tunapenda Mafanikio, tunapenda kufika mbali tunapenda kuwa kama Mengi siku moja. Tunavyokuwa tunaendelea kutamani kuwa kama wakina...
24 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu nataka kufanya kilimo cha bustani maeneo pwani huko, mazao yatakuwa Nyanya na Pilipili Hoho Nachohitaji kujua ni dawa gani naweza kutumia kuweka kwenye Vitalu au Viriba ili kuzuia miche...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau, Ninatafuta mtu aliyesajiri chuo cha uandishi wa Habari na Utangazaji NACTE au VETA naomba kuwa wakala wake mkoa wa Mbeya. Ina make profit sana. Naomba tuwasiliane kwa PM Nipo tayari muda...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu naombeni kujua kuhusu kilimo cha mahindi jinsi ya kuandaa shamba, kupanda, hadi kuvuna kwa heka 1 unaweza ukavuna kiasi gani[emoji122]
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimehitimu Diploma ya mifugo(DAHP) nnamtaji wa million 2.5 tu, nko njombe vijijin kuna kama kata NNE hakuna mtaalam kilimo/mifugo wala vet. centre na wananch nanafuga sana Nguruwe Kuku, mbuz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Naombe msaada wa namna/ hatua za kufuhata kuanza kuuza mazao kwenye super market baada ya kuvitoa sokoni, Je natakiwa nifuhate hatua zipi?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom