Wanakua na kufikia uzito wa kilo 4
UJASIRIAMALI ni jambo jema katika mapambano dhidi ya umasikini, lakini pia ili kuweza kuwa mjasiriamali, yanahitajika maarifa ya ziada, ikiwamo ubunifu katika...
Jamani wanajamiii ninavifaranga vya kuku wa kienyeji. Navifuga huu ni mwezi wapili tokea vitotolewe lakini sasa kunaugonjwa umejitokeza ndugu zanguni ugonjwa huu umewafanya wanakua kama wamekunywa...
Wadau nina changamoto ya jinsi ya kupima mbolea ili niweze kuhakikisha ubora wake ie kujua kama imeharibika au la. Nahitaji kupima mbolea ya NPK na UREA.
Msaada please.
Habarini wafugaji wenzangu natumai nyote ni wazima.
Kama mada inavyojieleza hapo juu,nia hasa nikupeana ushauri juu ya ufugaji wetu wa kuku,na kuambizana jinsi gani ya kupambana na maradhi...
WAHI OFA YAKO KABLA HAIJAISHA
Habari wana kikundi, sisi tunaitwa Tawa Water Proffesional ni wachimbaji wa visima vya maji iwe kwa ajili ya umwagiliaji mashambani au kwa matumizi ya kawaida...
Habari za wakati huu wajasiriamali,
Mimi ni mfugaji wa kuku wa mayai (Layers) . Kuku wangu wana mwaka na miezi miwili. Nataka mpaka sasa wanataga asilimia 80% tu. Nina mpango wa kuwaondoa kuku...
Vitu muhim vya kuzingatia kabla hujanunua vifaranga vya kuku
1)nunua vifaranga kutoka chanzo kinacho aminika. Kununua vifaranga holela mitaani ni hatari sana wengi unakuta wameambukizwa magonjwa...
Habari wakuu....... Itifaki imezingatiwa!
Rejea kichwa hapo juu!
Nianze na swali hili hivi ni biashara gani au kwa kiwango gani au kwa plan gani mfanyabiashara anaweza kurtengeneza pesa hiyo...
Jamani nina majunia 50 ya dengu naomba kujua soko linakopatikana na bei yake ya jumla,
Huo mzigo uko Mkoa wa Mara kwa hiyo kama unaupdate zozote nijjlishe
KIONGOZI SORRY KWA KUDELAY KUKUJIBU.
HIKI KITUNGUU SAUMU...SINA TAARIFA NACHO
NASKIA TU MTAANI WANASEMA KINALIPA, BEI NZURI ETC?/.. LAKINI WAPO WANAOSEMA NI KILIMO CHA KUCHOSHA SANA MAANA HASA...
MiMI nIpo Ndanda hapa hivi sasa Hakuna jipya kuhusu malipo ya korosho ya mnada wa kwanza 2017/2018, wewe uko kijijini gani wilayani Masasi na nini kinaendelea au viongozi wanasemaje kuhusu hilo?
Na Dr Khalfan, Farmas cntre
Ugonjwa huu hutokea mara kwa mara kwa kuku wa umri wowote. Ugonjwa huu husababisha vifo vingi ukiingia(flock motality) na vifo hivi hufikia hadi 100% ya kuku ulio nao ...
Na Dr Khalfan, Farmas cntre
Ugonjwa huu hutokea mara kwa mara kwa kuku wa umri wowote. Ugonjwa huu husababisha vifo vingi ukiingia(flock motality) na vifo hivi hufikia hadi 100% ya kuku ulio nao ...
Na Dr Khalfan 0752367114
Ugonjwa huu hutokea kwenye kuku wenye umri wowote.
Dalili
1)kuhara damu au kinyesi chenye rangi ya ugoro.
2)manyoya kutimka
3)kuku kuinamisha vichwa chini
4)vifo kwa kuku...
Habari wadau! Amani kwenu. Mimi ni mkulima mzuri wa nyanya na mwaka huu Nina kama ekari moja na nusu nililima nyanya tu sasa zimekubali vizur tatizo hakuna wateja. Naulizia njia nzuri ya kusindika...
Habari wana jf,nimekua msomaji wa mada mbalimbali hapa jukwaani na nimenufaika kwa kiwango kikubwa.kupitia elimu nilioipata jf nilianzisha mradi wa kufuga samaki bwawani.nina bwawa la sment ambalo...
Nimekwenda kwa shamba langu Leo jioni kutazama maendeleo ya zao langu niliyo yakuta ni hao viwavi, dawa gani nitumie?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shamba langu liko njia panda ya itende jijini Mbeya. Kwa sasa nafuga samaki aina ya sato na kambale. Mradi wangu umeanza miezi sita iliyopita.
Nimeanza kuuza samaki wa kubwa lakini pianauza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.