Utotoleshaji wa vifaranga kwa haraka haraka utaona ni biashara inayo lipa sana na ukipigiwa mahesabu unaweza hata kutoa notce kazini ya 24 hours ukaanze biashara kwa kununua Mashine yaani...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili.
Ninahitaji kusafirisha Dagaa nje ya nchi katika nchi jirani. Sasa kumekuwa na kamta kamata kila kona kuanzia huko kwa wavuvi mpaka mipakani, wote wanadai vibali...
Kama we mkulima wa matunda aina yeyote njoo PM Tuzungumze kampuni inachukua matunda mbali mbali na kuyapack kwa ajili ya Export.Napenda tufanye mazungumzo na mkulima direct Sio Dalali maana...
Habari zenu ndugu zangu. Nahitaji ushauri wenu. Nina Incubator ya 500W ninasumbuka sana na namna umeme unavyokatakata kiasi kwamba inaniharibia na kutoa hatching rate mbovu. Na nina Generator lkn...
Ndugu zangu wakulima hii jamii ya watu wanajiita wafugaji hasa wa kabila la kimasai wamekuwa ni kero sana kwan mara nyingi wamekuwa na tabia zisizo za kiungwana mara nyingi huingiza mifugo yao...
Wakuu habarini za asubuhi kama kichwa cha habari kinavypjionesha hapo juu ningeomba kupata msaada kuhusu ni wapi naweza kupata mashine ya kubangua karanga na gharama zake.
Natanguliza shukrani zangu.
Kama wewe ni mfugaji au una mpango wa kuanza mradi wa ufugaji samaki ,sasa unaweza kupata vifaranga vya samaki aina ya kambale kwa bei poaa kabisa ya sh 400. Pia tunatoa elimu ya ufugaji wa samaki...
Ni aibu!aibu!aibu!mtu kapokea milion 25 kama faida ya jasho lake la ukulima na kisha miezi minne mbele anasema kwa sauti pana kijiweni.....'SINA HELAAA DAH'....sasa unataka upewe nin...
Hallo,
Guys kama mmnakumbuka nilikuwa nikitafuta mashamba tangu mwaka jana November hatimaye Week iliyopita nimepata viji heka vitano maeneo ya msolwa ukitoka chalinze kama unaelekea morogoro...
Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Nmekutana na post hii huyu mzaz alipost wapo ikulu
naomben mniambie wanafugwaje?
na ni ruhusa mtu yeyote kuw naye nchini ama had uwe na license?
sielewi kitu mnijuze
UGONJWA WA KUHARA DAM
(Coccidiosis) KWA KUKU:
Na Dr Khalfan 0752367114
Ugonjwa huu husababishwa na vimelea aina ya Protozoa na hushambulia kuku wote wakubwa na
wadogo ila huathiri zaidi kuku...
Hatuna presha wala hofu asbh tukiamka kazi kubwa kufungua tu mlango kuku hao wanasepa zao jioni wakishaingia tunafunga,hatujui kinga wala tiba hatujawahi kununua chochote dukani kwa ajili ya kuku...
Niko mkoani Dodoma kama mjasiliamali wa kilimo ila kuna fursa mbili nimezichungulia.
1:Blue kopa: tani moja hap wanauza laki 1
2:Madini chuma(mawe haya yana naswa na sumaku)
Kwa yeyote ambay...
Nakuja tena kwenu nikawasihi wale wote wanaaogopa kuanza kilimo hasa Kwa kipind hiki ambacho tunatarajia kuanza msimu wa masika, wataalamu wapo kwa ajili ya kukusaidia na kupunguza adha za...
Nchini china wametengeneza mfumo wa ufatiliaji maendeleo ya kuku kupitia blockchain. Mfumo utasaidia wateja kutouziwa kuku waliokufa au waliokwisha muda wao wa kukaa sokoni na badala yake mnunuzi...
Hi,Am leaving here in Sinza -DSM
Am looking for some people who are ready for Farming business especially Fish Farming to work together for easy achievement,As we know team work is better and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.