Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Utotoleshaji wa vifaranga kwa haraka haraka utaona ni biashara inayo lipa sana na ukipigiwa mahesabu unaweza hata kutoa notce kazini ya 24 hours ukaanze biashara kwa kununua Mashine yaani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. Ninahitaji kusafirisha Dagaa nje ya nchi katika nchi jirani. Sasa kumekuwa na kamta kamata kila kona kuanzia huko kwa wavuvi mpaka mipakani, wote wanadai vibali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama we mkulima wa matunda aina yeyote njoo PM Tuzungumze kampuni inachukua matunda mbali mbali na kuyapack kwa ajili ya Export.Napenda tufanye mazungumzo na mkulima direct Sio Dalali maana...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu zangu. Nahitaji ushauri wenu. Nina Incubator ya 500W ninasumbuka sana na namna umeme unavyokatakata kiasi kwamba inaniharibia na kutoa hatching rate mbovu. Na nina Generator lkn...
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Ndugu zangu wakulima hii jamii ya watu wanajiita wafugaji hasa wa kabila la kimasai wamekuwa ni kero sana kwan mara nyingi wamekuwa na tabia zisizo za kiungwana mara nyingi huingiza mifugo yao...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Hi members wa Dodoma najua kuna kilimo cha Tende dates mnafanyaje mpaka zinafikia hatua ya kuliwa?
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habarini za asubuhi kama kichwa cha habari kinavypjionesha hapo juu ningeomba kupata msaada kuhusu ni wapi naweza kupata mashine ya kubangua karanga na gharama zake. Natanguliza shukrani zangu.
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Kama wewe ni mfugaji au una mpango wa kuanza mradi wa ufugaji samaki ,sasa unaweza kupata vifaranga vya samaki aina ya kambale kwa bei poaa kabisa ya sh 400. Pia tunatoa elimu ya ufugaji wa samaki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni aibu!aibu!aibu!mtu kapokea milion 25 kama faida ya jasho lake la ukulima na kisha miezi minne mbele anasema kwa sauti pana kijiweni.....'SINA HELAAA DAH'....sasa unataka upewe nin...
3 Reactions
1 Replies
923 Views
Nina mbwa wa kizungu aina ya maltese hivyo natafuta dalali wa kunitafutia soko nichek kwa number hii kwa mawasikiano zaidi 0719708708 whatsup.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hallo, Guys kama mmnakumbuka nilikuwa nikitafuta mashamba tangu mwaka jana November hatimaye Week iliyopita nimepata viji heka vitano maeneo ya msolwa ukitoka chalinze kama unaelekea morogoro...
4 Reactions
48 Replies
9K Views
Hbari ndugu, Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
0 Reactions
48 Replies
20K Views
Nmekutana na post hii huyu mzaz alipost wapo ikulu naomben mniambie wanafugwaje? na ni ruhusa mtu yeyote kuw naye nchini ama had uwe na license? sielewi kitu mnijuze
0 Reactions
3 Replies
4K Views
UGONJWA WA KUHARA DAM (Coccidiosis) KWA KUKU: Na Dr Khalfan 0752367114 Ugonjwa huu husababishwa na vimelea aina ya Protozoa na hushambulia kuku wote wakubwa na wadogo ila huathiri zaidi kuku...
1 Reactions
47 Replies
20K Views
Hatuna presha wala hofu asbh tukiamka kazi kubwa kufungua tu mlango kuku hao wanasepa zao jioni wakishaingia tunafunga,hatujui kinga wala tiba hatujawahi kununua chochote dukani kwa ajili ya kuku...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niko mkoani Dodoma kama mjasiliamali wa kilimo ila kuna fursa mbili nimezichungulia. 1:Blue kopa: tani moja hap wanauza laki 1 2:Madini chuma(mawe haya yana naswa na sumaku) Kwa yeyote ambay...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nakuja tena kwenu nikawasihi wale wote wanaaogopa kuanza kilimo hasa Kwa kipind hiki ambacho tunatarajia kuanza msimu wa masika, wataalamu wapo kwa ajili ya kukusaidia na kupunguza adha za...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nchini china wametengeneza mfumo wa ufatiliaji maendeleo ya kuku kupitia blockchain. Mfumo utasaidia wateja kutouziwa kuku waliokufa au waliokwisha muda wao wa kukaa sokoni na badala yake mnunuzi...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Hi,Am leaving here in Sinza -DSM Am looking for some people who are ready for Farming business especially Fish Farming to work together for easy achievement,As we know team work is better and...
1 Reactions
6 Replies
775 Views
Nimemwaga mpunga trh 03/01 ila majan yanaota kabla ya mpunga nahitaji kufaham dawa ya kuua majani bila ya madhara kwa mpunga.
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Back
Top Bottom