Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kusini mwaka wetu wa kuchekelea ndo huu biashara zitasimama bei ya kilo ya korosho ni 4000 ndo habari ya dunia kwa sasa. Achana na wamakonde kuwanywesha soda mbuzi..huko Mbinga nako kahawa safi...
4 Reactions
17 Replies
821 Views
1. Afya ya udongo ni nini? Afya ya udongo ni uwezo wa udongo kukidhi mahitaji ya ukuaji na uzalishaji wa mimea kama vile: virutubisho, maji, hewa pamoja na uwezo wa udongo kushikilia mmea 2.0...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
6 Reactions
32 Replies
1K Views
TUNAUZA MASHINE YA KUCHIMBA MASHIMO KWAJILI YA KUPANDA MAZAO MBALIMBALI KAMA MITI, MIGOMBA NK Bei ni 650,000Tsh Call/Text/WhatsApp: +255 714 636 375 joackcompany @mifugo_tz @kilimo_tz...
1 Reactions
3 Replies
539 Views
Habari natafuta mfugaji wa kuku wa layers nahitaji mayai ya kisasa kwa wingi alieko dar au pwani tuwasiliane kwa no 0685104688 au 0627345358
2 Reactions
15 Replies
819 Views
Nina ngombe wa maziwa anasumbuliwa sana na reccurent mastitis. anakamuliwa kama lita 15 a day! tatizo ni nini na tiba yake ni nini? Nilimfanyia drycow therapy, lakini baada ya kuzaa tu, mastitis...
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Nawasalimu wote wana jukwaa, Moja kwa moja kwenye hoja. Nakusudia kuanzisha ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi na Kuku. Naomba kwa wenye uzoefu mnipe maoni yenu, hususani juu ya: 1. Mikoa sahihi kwa...
7 Reactions
99 Replies
9K Views
Yoyote anichek upande huu wa kanda ya ziwa nitampa deteils. Majembe moko ponchi
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Wakuu habari Aliwahi kulima kilimo Cha bamia , naomba uzoefu 1. Mbegu nzuri yenye kukua Kwa haraka 2. Mbolea gani nzuri na dawa za kuulia wadudu 3. Upande wa sokoni 4.Kwa heka moja naweza...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Dawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga. Mtaji ni kuku 15 niliowakuta hapahapa kwa...
37 Reactions
209 Replies
21K Views
Habarini wana jamvi wote. Natumai wote tupo poa, tunajenga taifa. Naomba niende kwenye maada moja kwa moja. Mimi ni mkulima wa mazao ya muda mrefu na mfupi. Sasa mwaka jana nilifanikiwa kulima...
1 Reactions
13 Replies
754 Views
Msaada kwenye tuta. Wakuu ni dawa gani nzuri zaidi kwa ajili ya kuua wadudu wakiwemo mchwa, mende, kunguni na wote wanaotambaa na kuruka.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi,mm nauliza dawa nzuri yakuua nyasi kwenye shamba la kahawa bila kuathiri Miche ya kahawa.naomba kwa walionauzoefu au utaalam juu ya hili suala wanisaidie.nawasilisha
1 Reactions
2 Replies
240 Views
Watanzania tuchangamkie fursa. Malawi na Zambia zimeruhusu toka mwaka juzi na mwaka jana, kilimo cha bangi Kwa matumizi ya viwandani. Bangi hiyo unalima Kwa kupewa kibali maalumu na serikali...
5 Reactions
13 Replies
686 Views
Habari wakuu, Nataraji mko wazima licha ya majukumu mengi ya ujenzi wa taifa. Zote tumeshudia bei ya juu sana ya mafuta ya kula, Na kwa wale hawajui mafuta ya kula inatokana na hizi bidhaa...
4 Reactions
34 Replies
7K Views
Wakuu Kama ilivo ada na utamaduni wetu Toa kitu upate kitu. Siku ya nane nane mwanza niliona nguruwe wazuri Large white na wengine wa kisasa ila sikupata wazo la kuchukua no . So kama kuna mtu...
1 Reactions
4 Replies
403 Views
Habari zenu wakuu. Natak nifanya kilimo Biashara lakini nahitaji eneo kubwa Sana. Je, mnanishauri nianzie wapi kwa wazoefu au wenye uelewa. Nahitaji ekari Zaidi ya 50.
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Mm nimfugaji wa kuku na Bata ila napata changamoto ya kunguru kula vifaranga na mayai bandani wakimuona kuku katoka kutaga wao wanaingia yani ni mwendo wa kuviziana tu niwahi mm Yai au kunguru...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari wana Jamii Nahitaji msaada nataka kusafirisha viazi mbatata kwenda nje ya nchi ila ni dnani ya afrika mashariki, naomba msaada wa kujuzwa utaratibu. Usafiri ninaotaka kutumia ni ndege...
1 Reactions
2 Replies
520 Views
Wakuu baada ya kutafakari mda mrefu Mara baada ya kufiwa na makuku yangu matetea 10 licha ya kuwapa madawa nimepata wazo la mbuzi.... Vipi wazoefu wa mfugo huu
5 Reactions
54 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…