Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

We prepare books of accounts, financial statements, VAT returns and business at affordable cost. call 0757 568 523 or 0674 579 575
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Wapendwa naombeni kujuzwa nahitaji kufanya biashara ya vitenge wp nitapata vitenge kwajumla bila kuchakachuliwa nina mtaji wa mil 1 nataka niwe naviuza kwenye minada, naomba kujua changamoto zaizi...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Pata container la 20ft used clothing kwa $10,000 shipping included mpk Tanzania. Unapata mabelo 220. Serious buyers ni PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za majukumu wadau wote, Ndugu zangu nina ushawishi mkubwa sana wa kutaka kulima zao la Shayiri kibiashara, hivyo basi naomba nifahamishwe mazingira halisi ya ukuaji wa zao hilo. Mimi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninayombolea nzuri sana inayotengenezwa na wataalamu wa kilimo. Inafanya kazi zaidi ya booster. Lima mazao yoyote yale kisha tumia mbolea hii utapata faida kubwa sana. KARIBU SANA TUJENGE UCHUMI...
0 Reactions
7 Replies
13K Views
Nataka kununua Noah, naona naziona nyingi mjini Dar es salaam. Kwa wanaojua hesabu zake kwa hapa mjini Dar es salaam tusaidieni mawazo..
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Salamu iwe kwenu ndugu Naomba kuzwa tu kwa wale ambao wanajua eneo zuri tanga la kulima mihogo ndugu zangu Sana eneo la Tanga Jipe anayejua anijuze tafadhali Asanteni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta sehemu ya kujifunza ujasiriamali wowote.,kwa mtu aliyejiajiri katika ujasiriamali.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Heshima mbele wakuu, Mimi na marafiki zangu wawili tunataka kuanzisha kampuni na tunataka Memorandum and articles of association, Je, itatucost shilingi ngapi kwa wenye uzoefu au kama kuna...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta supplier wa samaki aina ya Sato na Sangara. Mimi niko DSM. If interested please nicheck by whatsapp kwa namba hii: +255769141105.
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu habari.. Mimi ni mjasiriamali. Ninataka nikasome hiyo kozi hapo juu UDSM kwa manufaa yangu binafsi kama mjasiriamali. Je, kuna ajira huwa zinatoka kwa cheti cha hiyo PGDEE? Binafsi...
0 Reactions
3 Replies
973 Views
Niko Dodoma karibu na chuo nataka kufungua saloon ya kike na msimamizi mzuri nitamleta. Nataka nipate uzoefu kwa waliofanya hii biashara ya saloon ukilinganisha na duka la cosmetics mauzo yake kwa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kwa wanafuga kuku dawa bora ya kukinga na kutibu kideli. Ng'ombe, mbuzi, nguruwe, na mifugo mingine yote zipo dawa za minyoo. Tibu mifugo yako. Tuwasiliane wandugu 0763797853
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Natumai wewe kama mfugaji ulisha kutana na ugonjwa huu gomboro kuku kushusha mabawa na kukonda ya pili kideri kuku hushusha mabawa na kukonda zingatia chanjo hizi wakati wakiwa vifaranga hutaona...
2 Reactions
14 Replies
18K Views
Jaman nahitaji wasichana watatu jobles na wenye elimu ya kidato ca nne kushuka chini. Nategemea kufungua migahawa miwili hapa dar hivyo naowahitaji ni kwa ajili ya uhudumu!! 0755957515 sms or...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za usiku wana JF naomba msaada kwa mtu yeyote ambae anaweza kujua ni kampuni gani inayo uza farmer's kit kwa bei nafuu. Natanguliza shukrani zangu za dhati
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Tangazo hili linamhusu mwenye mtaji na nia ya kufanya biashara ya stationary maeneo ya Moro town. Ofisi iko eneo zuri kibiashara na inalipa kwa kweli. Kwa upande wangu usimamizi umezingua baada...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Mfano wewe unaishi Dar es Salaam, na umewekeza shamba labda Morogoro au Iringa au Singida au Shinyanga, hii iko sawa au mpaka uwe na shamba lililo karibu na wewe?? Kuna baadhi ya marafiki zangu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya kumaliza chuo niliamua kufungua biashara kutokana na changamoto za ajira,nikafungua biashara ya duka dogo kwa mtaji wa laki 3,nilianza na vitu vichache sana lakini muhimu kwa wateja kama...
15 Reactions
29 Replies
10K Views
Kwa mahitaji yako ya viranga vya sato tafadhali wasiliana nasi kupitia namba hii 0717314500. Tupo Dar es Salaam Cheka, njia ya kwenda Kimbiji Kilomita 24 kutoka Kigamboni Ferry. Vifaranga vipo vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…