Habar wana jf.
Neimekua nikitafta maarifa ya agribusiness kwa muda mrefu..nikakutana na greenhouse ambayo gharama zake ni ghari.
Nmekutana na hii Drip agriculture.
Gharama zake kwa heka...
Emtech ni procts kwa ajili ya kilimo na ufugaji, nimeitumia kwa kuku imeonyesha matunda mema. Kama kuna anayetumia hizo prd, tubadilishane uzoefu. Kwa waliokko mwanza mnaweza kutembea ofisini...
Kwa anayehitaji kufungua nyumba ya kulala wageni, vitanda vinapatikana vilikuwa vikitumika kwa shughuli hiyo ila mfanyabiashara amepata wazo jingine na anahama hilo eneo.
Vipo vya size tofauti...
Habari wana jf. Ninaomba kufahamu kwa yeyote anayejua gharama za kusafisha pori hadi kupata ardhi inayofaa kupanda mazao ni kiasi gani kwa heka moja. Nimennua eneo pwani kibiti na ninatarajia...
Mayai ya kisasa kwa bei ya jumla yanahitajika, bei isizidi tsh 5,500/= kwa trei na yawe makubwa.
Mteja yuko Dar es Salaam na anahitaji trei 50 kila week
Ongea na mteja kwa number hii 0654 163...
Salaam,
Natafuta soko la vitunguu popote East Africa, Niko tayari kuuza gunia kwa Tsh 95,000/= kama order ni kubwa sana mpaka Tsh 120,000/=. ( Bei inaweza kuongezeka yote yanategemea na uko wapi...
Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana niliyehitimu chuo fani ya ugavi na manunuzi, kutokana na ugumu Wa ajira niliamua kubuni wazo la Biashara ili nisipoteze muda. Nilifikiria kuanzisha Biashara ya...
Habari za leo wana jamiiforums. Nataka kulima kisasa lakini sina ujuzi wa kutosha katika masuala ya kilimo. Nina mtaji kiasi. Nataka nianzishe kampuni yangu ya kilimo cha mboga mboga. Natafuta...
Habari wana JF
Naishi USA nimepata order ya copper, mnunuzi anahitaji 20 au 40ft container.
Wadau mlio serious ni biashara hii wekeni contact zenu, unatuma container likifika ndio malipo...
Nataka kufanya biashara hiyo hapo juu huku ninakoishi.
Kwa wazoefu;
Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani?
Vitu gani vingine vinahitajika?
Asanteni kwa mawazo yenu.
wadau nataka niwe nafanya biashara ya rim msimu wa shule zinapofungua..wakati huo nakuwa nimeshapitia mashule kadhaa na kujihakikishia soko kabla shule hazjafunga..ivo nisaidien ambapo naweza pata...
Naombeni nifahamishwe kuhusu gharama za kusafirisha mbao toka Mafinga kuja Dar es salaam. Je,unafata mtiririko upi ? Je, pia kwa mkoa wa Iringa biashara ya mitumba inalipa?
habari wanajamii wezangu,
ninahitaji kujua ni sehemu gani wanauza mashine za kuranda mbao na ni kwa bei gani Jijiji Dar, uwezo wake na ipi ni bora zaid kwa kuanzia biashara hii!
matumizi yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.