Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Salaam nyote. Kwa wenye kuhitaji kuku wa nyama wanapatikana na wako na kilo nzuri kabisa na ni wazito pia wana umri wa wiki 5. Idadi kwa anayetaka kwa sasa wapo kuku mia nane (800) na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata kuku wa kienyeje wakubwa na wenye Afya na uzito wa kutosha kwa thamani ya shilingi 16,000/= na 17,000/=. Ninapatikana Arusha maeneo ya Usa-River. Wanaohitaji kwa order pia watapata huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu wa jamvi hili,Naomba mwenye contact namba za Mrimba Rubi anisaidie.Shukrani za dhati.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada, Kwa anaejua VICOBA SACCOS kwanza ni kweli hii SACCOS hipo na inatoa mkopo on line (kwenye mtandao) kwa mtu aliye mkoani
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba mtu wakahama anijuze yafuatayo, 1)bei za mashamba yasiyo mbali na mjini kama km 4-10 toka mjini 2)upatikanaji wa maji katika maeneo hayo, 3)nimaeneo yanayo faa kwa kilimo cha bustani...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari ndugu wana jamvi, Nina jambo hapa ambalo nataka tupeane uzoefu kidogo.Nashindwa kuelewa utaalamu ambao mtu kaupata kwa gharama na muda mwingi aumnufaishi ipasavyo. Pamoja kwamba bwana au...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari zenu! mimi nipo dar es salaam nafanya shughuli ya ku-supply samaki sato wa Mwanza kilo sh 7,500/= nina supply kuanzia kilo 100 na kuendelea sio chini ya hapo. Kwa maziwa fresh ya ng'ombe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
What man can do woman can do better!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania imejaliwa vyanzo mbalimbali vya rasilimali moja wapo ni mito.maziwa na bahari. lakini kwa sasa changamoto mbalimbali ikiwemo uvuvi haramu,mabadiliko ya tabififa ya nchi na ongezeko la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shamba la Mananasi linauzwa lipo Kiwangwa -Bagamoyo umbali wa Km 3 tu kutoka barabara kuu ya lami iendayo Msata. Lina ukubwa wa Ekari 40, pia lina minazi. Lina vibanda 5 vya kudumu vya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu za saa hizi, Nna wazo la kufanya packaging nzuri ya hizi bidhaa ndogo kama karanga, korosho, naomba kwa yoyote anayefahamu packaging nzuri au tuseme sehemu wanatengeneza mifuko mizuri...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF Ningependa kufahamu upatikanaji wa Zana mbalimbali za kilimo na usindikaji wa mazoa; matumizi, bei yake, picha (kama inapatikana) na mahali inapopatikana (zile ambazo zinapatikana hapa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Una mayai ya kuku wa kizungu? nipe bei na unapopatikana nipo vingunguti... 0714 045 080.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu, natafuta kuku wa Burundi walioanza kutaga kwa wafugaji wa mwanza. Mwenye Hao kuku anitafute kwa namba 0757756948
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau, nimevutiwa sn na kilimo cha vitunguu maji pale kiroka morogoro, je kwa wale wazoefu wa mazingira ya kiroka, vp maeneo yenye mito yapo? na mito hiyo ni ya msimu au Mwaka mzima? pia kiroka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wadau Naomba nisaidiwe nahitaji kuanzisha mradi wa kufuga ng'ombe wa maziwa wa kisasa nahitaji kujua wapi wanapatikana, bei yake na aina gani ingawa mimi sijui aina zake natanguliza...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanajamvi habari zenu, Ni wapi hapa Dar ninaweza kupata vifaranga vya kuku aina ya kuroiler? Naomba kujuzwa au contact za muuzaji please.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Nipe bei na unapo patikana nipo vingunguti 0714045080..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mfukoni nina kama laki na nusu nataka kuanzisha biashara ya duka kubwa la kuuza jumlajumla. What to do here ?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nataka kujaribu kufanya busniess ya dagaa ila sijui soko lake likoje.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom