Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari Wadau, naombeni msaada kwa hapa mwanza ninaweza tumia vipi huu mtaj mdogo niliokua nao,angalau nikabiliane na ugumu wa maisha, kwa kuzingatia bado ninasoma sheria hapa SAUT, naombeni mawazo...
0 Reactions
52 Replies
17K Views
Soko la matikiti maji linapatikana wapi?
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari wana Jf, Nimekua msomaji wa makala mbalimbali humu ila nimekua mchangiaji tu! Leo nakuja kwenu na uzi huu kwa mara ya kwanza naomba mnisaidie jinsi ya kulima ufuta, gharama, faida, hasara...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina zana za kilimo ila sina eneo la kulima kwa yeyote mwenye eneo tutafutane mm nitatoa trekta kwa ajili ya kulima tuchangie au anikodishie.. eneo liwe Arusha wilaya yeyote, manyara, na dodoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani mbona ufuta mwaka huu bei ndogo sana leo kilo imefikia 1500 hapa Mpanda na Sumbawanga. Kuna nini safari hii?
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Wana jukwa hamjambo, Naomba msaada wa kujua ni mda gani sahihi wa kuweka mbolea kwenye matikitimaji baada ya kuota. Asante
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za mchana wadau, nataka kuanzisha biashara ya mchele jumla na rejereja, nakwama kwenye swala la usafirishaji naombeni maoni yenu jamani.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
I have this great idea abt business and i believe in it 200% but the issue is it need a large capital like 100mills TSH.. therefore if kuna m2 anaweza kunipa ushauri vile naweza kupata mkopo wa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Zamani kama miaka 20 iliyoipita dagaa wa aina zote ikiwemo dagaa wa kigoma walikuwa ni chakula cha walalahoi watu masikini kabisa,na bei yake ilikuwa chini mno ilikuwa dagaa wanauzwa hawafiki...
5 Reactions
62 Replies
12K Views
Nauza kuku chotara wako 130. Wana umri wa miezi mnne, wanaelekea muda wa kuanza kutaga. Kuku wako mwanza na ninawauza haraka kwa sababu nahitaji kuhama Wanafaa kwa kufuga au kula, bei sh 15,000...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini wanajamii forum, Mimi ni kijana ninayetaka kujiajiri kwenye Kilimo na ufugaji. Ninaomba mnipe taarifa za mahali ninakoweza kupata shamba, na bei zake kwa heka.Ila kuwe na uhakika wa maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF, Ni imani yangu kuwa hapa tunakutana watu wa aina mbalimbali na wenye elimu na utaalamu mbalimbali. Nina mpango wa kufungua huduma za kutoa mikopo kuanzia mikopo midogo, ya kati na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watu wengi hujikuta wakiwa wanahangaika wataanzaje biashara bila kuwa na kiasi kikubwa cha pesa. Wakati huohuo, wengine wana pesa lakini hawana ujuzi wa msingi wa kuweza kupata zaidi ya kiasi...
19 Reactions
51 Replies
42K Views
wasalaaaam!! Mimi ni kijana wa miaka 24, muhitimu wa Shahada ya Elimu, na nimekulia katika mazingira ya ufugaji wa KUKU kwa kiwango cha kati! Nilitaka ushauri toka kwenu kuhusu kuanzisha...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wanajamii nielekezeni jinsi nitakapopata mafunzo yauzalishaji wa sausages, upatikanaji wa vitendea kazi vya pia kama unaushauri wowote kuhusu uzalishaji wa sausages kwa small scale.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Mm n kijana wa miaka 23,nasoma chuo kikuu.nina laki 4.nataka nianzishe mtaji au kitu kitakachoniingizia pesa huku nkiwa nasoma(yaani biashara ambayo haitahitaji mda wangy mwingi ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wasalam! Nataka nisafirishe viazi kutoka Mbeya kuja Tanga. vipi vinalipa wadau au mnanishaurije kuhusu hili?
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Nina mpango wa kuanza biashara ya mchele, nina million 30. Nilikua naomba ushauri wenu kuhusu biashara hii.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Baada ya Kutofanikiwa kwa mara ya kwanza Katika Network Marketing( Biashara ya Mtandao ) Nilikaa na kujifunza na kusoma kutoka kwa waliofanikiwa ni jinsi gani naweza kuwa na kipato cha ziada...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom