Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

SHADENET GREENHOUSE: NJIA SAHIHI KATIKA MAFANIKIO YA KILIMO CHA MBOGAMBOGA NA MATUNDA •Ni shamba lililozungushiwa uzio wa net juu na pembeni. •Ni jengo maalum ambalo ndani yake ni mahususi kwa...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Habari wana jf Mimi no mjasiriamali ninaemiliki ka daladala kamoja hapa jijini. Katika harakati zangu za kuongeza mtaji nilipata kipeperushi cha hiyo kampuni tajwa hapo juu kwamba wanatoa mikopo...
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Habari za Leo wadau na wajasiriamali wenzangu, Nauza mayai ya kisasa,tray TZS 6500.Kwa yeyote anayetaka tunaweza kuongea na kukubaliana bei nzuri zaidi,Nina uwezo wa kukupa au kukuletea ulipo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi, Natumaini wazima wa afya nategemea kulima mboga mboga Bagamoyo na kusambaza mjini Dar mwenye uzoefu wa kilimo hiki na changamoto. Naomba msaada aiseeh!
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Wadau katika pita pita zangu nimekuwa nikisikia juu ya ongezeko la kodi kwenye maeneo mbalimbali ya uchumi. Aidha watu wengi wamekuwa wakilalamika juu ya ongezeko la kodi kwenye vinywaji vya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada ofisi gani nahitaji kupita ili niweze kupata kibali cha kupaki chakula cha binadamu?? Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau wa jf. Kumekua na shida ya watu kadhaa kuhitaji kufanya ufugaji wa samaki ila wanakosa mtaalamu wa kusimamia mradi mwenye uelewa wa ufugaji huo.hivyo kwa yoyote mwenye uhitaji wa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wanajf,nimekuwa na ndoto kubwa juu ya kilimo hasa cha umwagiliaji,na nimekuwa nikiamini kuwa kilimo ni moja kati ya miradi ambayo itaniwezesha kuzifikia ndoto zangu. Mazao ambayo nahitaji...
0 Reactions
7 Replies
11K Views
Habari zenu wandugu Baada ya kuwa nimepitia thread mbalimbali hapa jukwaani hasahasa zinazohusiana na masuala ya ujasiriamali, zaidi nilijikita sana katika zile zinazohusiana na biashara ya vifaa...
7 Reactions
52 Replies
6K Views
Hii ilikuwa ndoto na hitaji la walio wengi - Kupata sehemu ya kufundishwa ujasiriamali, biashara na fani mbalimbali kwa muda mfupi na muda mrefu kwa gharama nafuu na muda ambao mtu yeyote anaweza...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Halow wana jf Naamini humu kuna mabinti kama mimi yani 22-25.....nina wazo la biashara ila wasiwe waajiriwa nataka tuwe group la watu watano Sifa 1.Usiwe mvivu 2.Usiwe muoga (yani tukipanga deal...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wana jamvi, Kama nilivyo tanguliza maombi hapo juu kuhusu kufungua kampuni ya mechanical maintenance & services. Binafsi ni mechanical engineer na ninauzoefu wa kazi viwandani, kitambo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wanaohusika!! Nilikua naongea na business partner wangu kuhusu kuwa official kibiashara nikamwambia tusajili kampuni,yeye akasema kwa nn tusisajili jina la biashara?? Sasa nashindwa...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu ngazi ya degree, nina uzoefu wa uhasibu wa miaka miwili katika kampuni binafsi hapa Geita. Nina lengo la kuanza biashara ya kuwasaidia wafanya biashara wadogo wadogo...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
RuVu wameshindwaaaa kazi cjui nimeoda vifaranga ila hata awarespond chochote nimewafata waanaandila oda.wanakwambia nenda tutakujulisha ukiwapigia wanakuwa kama awaijui oda yako..... Chosha...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
mimi nimebahatika kupata Tsh millioni 5 na nimeplan kufanya biashara ya uwakala wa kutuma na kupokea pesa kwa njia ya mitandao ya simu tigo pesa,m.pesa, na airtel money,je ni changamoto zipi...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Salamu waungwana, Kuna mdogo wangu kapata kazi kwenye NGO moja, kwa nature ya kazi zake muda mwingi hua yuko free just sitting in the office wasting much of his especially on different social...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari za asubuhi?,Naomba mwenye namba ya simu ya kampuni inayozalisha mbegu za nyanya aina ya Edeni F1,na Rio Grande anisaidie.Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Backyard poultry, ni washirika wa wajasiriamali hasa wafugaji katika uzalishaji na uuzaji wa vifaranga wa kuku wa kienyeji pamoja na chotara kwa gharama nafuu. Vifaranga wetu wa siku moja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Natarajia kufungua company itayojihusisha na events kama wedding, matamasha N.k... Naomba kujua gharama na upatikanaji wa Tents, hasa zile za kufanyia open events. Natanguliza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom