Tuangalie mambo ya maendeleo sio kila siku tamthilia na movie hope mtajifunza kitu hasa kwa wazee wa fursa
ARAB QATARI COMPANY FOR POULTRY PRODUCTION - YouTube
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi
ambayo imekomaa na eidha
imekauka ama bado (ikiwa
haijavunwa pia). Naomba kwa
yeyote anayefahamu inapopatikana
ama kama ni mkulima anijuze.
Salaam jamaa wote.
Naomba mwenye kujua gharama za kuandaa chupa ya maji ya 1Lt toka usafishaji wake mpaka packing ikiwa na lebo na vibali vyote husika.
Natanguliza shukrani zangu.
Mimi ni mtanzania nilieamuwa kujikita kwenye shughuli za maharusi. Tuna wedding dresses wapendwaa..High quality.good price.
Nitafuteee for more information. Tupo fb kwa jina la East Africa wedding...
Dear Friend, Deogratius Kilawe here, following up about our next High Performance Leadership conference this June here in Dar Es Salaam, Tanzania and Lagos, Nigeria. I wanted to check-in and...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu...
KILIMO CHA MBOGA MBOGA
SOMO LA KWANZA:
KILIMO BORA CHA ZAO LA NYANYA.
I. MUHTASARI.
Nyanya ni mojawapo ya mazao makuu ya kilimo cha mbogamboga ulimwenguni na hushika nafasi ya 2 baada ya...
Wana JF,
Kwa mara nyingine naomba mnijuze soko la Komamanga na Njugu. Mimi ni mkulima kwa sassa nina njugu za kutosha lakini pia natarajia kuwa na kilimo kikubwa cha Komamanga mwakani...
Nimeipata hii kitu kumuhusu huyu founder wa facebook Marck Zuckerberg jinsi alivyoanza facebook na mpaka kuja kuwa multi-billionaire. Fungua hii link na ujisomee mwenyewe. inaweza badili fikra...
Contacts:
+255 785 365285
A Home Business Where Real People Make Real Money
Ever thought of the simplest and the most definite way to achieve FINANCIAL SUCCESS?
If your answer is NO, then you...
Dears wajasiliamali naomba kuuliza kuna mtu humu analima kilimo cha greenhouse...faida zake...hasara je?
Please n please naomba kueleweshwa vizuriii kabisa na gharama zake za kufunga na kila...
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
Wapendwa wangu mimi ni mjasiriamali,natengeneza mashati ya vitenge, bazee, na batic. Kiu yangu kubwa ni kuhakikisha vazi hili la Africa linatamba.
Naomba ushauri wenu. Nataka niwe najumlisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.