Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wataalamu wenzangu na wajasiriamali wa kiteknolojia,ambao mnajihusisha na uundaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya ndege. bila shaka mtakuwa mnatambua ulazima wa ufungaji kifaa kinacho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau nihiv kwa mwenye soko au uhitaji wa mayai kwa ajili ya kuangulishia mitamuzia kwa bei ya jumla itakayo mpa faida kama ataamua kuuza rejareja anichuki kupitia 0717209059/0765347508 bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napenda kutembelea wafugaji wa kuku, nguruwe na mbuzi walioko Mwanza , so kama wewe ni mfugaji na unaweza nikaribisha nikutembelee naomba contact zako ili tuwasiliane Asanteni
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau naamini hamjambo! Kuna Kampuni inajishughulisha na ukopeshaji wa Solar system kwa masharti nafuu sana. Utakopeshwa mtambo huo kwa masharti nafuu na utarejesha baada ya miaka mitatu baada...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Awe na vivid example hata sample images
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Je mjasiriamali anazaliwa au anajengwa?wana jf saidieni hapa
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Example of Hypothesis title; Wanafunzi wanaosoma usiku wana faulu zaidi mitihani yao kuliko wanafunzi wanaosoma mchana, nitakuwa na (Null Hypothesis (Ho) (P<0.001, P<0.01,P<0.05)) na (Alternative...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua bei ya vitunguu mikoani hususani Tanga, Same, Morogoro,Singida na kwingineko. Nataka ile bei ya mkulima sio ya mtu wa kati au mchuuzi/mlanguzi Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema na harakati za kusukuma gurudumu la maisha. Wakuu mimi nina pesa lakini sina idea nzuri ya biashara na kuna watu wengine humu jamiiforums wana...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Nataka kufungua biashara ya chips nahitaji kuwa na kiasi gani na nifanyie maeneo gani Ushauri wakuu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za muda wana JF,Mimi ni mjasiriamali mdogo sana wa kuku wa kienyeji..Ila kwa sasa nategemea kukua kibiashara na kuanza kufuga kuku wa mayai na hivyo ninahitaji kujenga mabanda ya kuku wa...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Help me on that
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Chagua upendayo mali kutoka oman..+255716121313
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwale wanaotaga wanapatikana kwa Sh.10,000. Kwa watakaohitaji wanitafute kwa namba hii: 0753249862. Mimi nipo Dar. Karibuni Sana
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Nashukuru kuwa ufugaji wa kware unaendelea kupata wapenzi wengi kutokana na faida kama chakula bora kwa ndege huyu ila kumekuwa na taarifa nyingi na hasa faida ya kifedha ambayo inaweza...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Unahitaji gauni la harusi..High classic na bei rahisi kabisa? Tunayo karibu sana. Tupo Arusha ila mikoani huduma yetu itakufikia. Page yetu ya Fb Emmanuel bridal shop, pia East Africa wedding...
0 Reactions
3 Replies
17K Views
Naomba kujua zinakopatikana mashine za kutengenezea mkaa wa kisasa.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nauza unga wa lishe, 1500jumla kuanzia mifuko mitano na rejareja 2000 karibuni sana wapendwa mawasiliano- 0766121403
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Habari za Jumapili wanaJF. Kichwa cha habari hapo juu cha husika. Ningependa kufahamu juu ya kilimo cha hili tunda la tikiti maji hasa yale ambayo yapo kama kijani na mistari myeupe namaanisha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom