Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari. Katika shughuli zangu za kiujasiriamali nilihitaji kwenda kununua dollar 20 ktk bureau de change moja hapa mjini Dar. Wakanipa dollar 20 ambayo baada ya kufika home nikagundua kuwa ilikuwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nipo mkoani na hiyo ndo idea yangu, nina mil. 5,aliyetayari tufanye biashara niwe supplier.
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wadau naombeni msaada wa mahali ninakoweza kupata sodium nitrate n calcium cabonate. Hizini materials muhimu katika uzalishaji wa mkaa wabriquette. Nisaidieni jamani nijikwamue maana maisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba kusaidiwa contact za mtu yeyote anaweza kunipatie miche ya apple. Zote za kienyeji na zile za south africa. Na bei yake tafadhali. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu humu. Naamini mkopoa kabisa. Sasa wakuu wa kaya. Kijana wenu kutokana na maisha yanvyo zidi kupanda na kikazi changu cha bank ambacho mshahara wote unaisha kabla ya tarehe kukutana na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hes on k24, citizen tv on dstv akitueleza sisi vijana wa east afrika karibu tusikilize mzee anavyosema kuhusu ujasiliamali
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Nahitaji kununua kuku wa kienyeji wa kufuga, at least mwenye umriwa miezi 4. Aina yeyote(Malawi, chotara....). Nita furahi niipata muuzaji aliepo Mkoani MWANZA ili iwe rahisi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
  • Closed
Je umekuwa ukihangaika katika mawazo yako na maswali mengi kuhusu greenhouse? Je umekuwa ukipata stress (msongo wa mawazo) kutokana na kutopata maelezo na mafunzo sahihi ya jinsi ya kufanya kilimo...
8 Reactions
92 Replies
14K Views
Naomba mtu anijuze vigezo vya kuanzisha hii kitu na faida zake please.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari zenu wana JF Mimi kama mjasiriamali nilitaka kujua kuhusu faida gani nazipata nikiwa mwanachama wa vikoba na riba kiasi gani pamoja na muda wa marejesho
0 Reactions
4 Replies
7K Views
ndugu zangu baada ya kutafiti soko la bamia,nimeamua kufanya kilimo chake,nmepata shamba pembezoni mwa mto maeneo ya dakawa.sasa naomba kujua aina ya mbegu ambayo ni nzuri, magonjwa yanayosumbua...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hii wanajamiii Wajasiliamali wenzanguu.. Nina shida kidogo hapa kwa wale wanaofuga kuku wa kienyeji.... Nina Kuku wangu wanataga mayai ila awatotoi na kama wakitotoa ni kifaranga kamoja Kimoja...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Eti wana JF wapi naweza kuuza asali ya nyuki wakubwa kwa jumla kwa DAR ES SALAAM? Na je naweza kuuza kwa bei gani? Natanguliza shukrani zangu kwa wale watakaonisaidia
0 Reactions
9 Replies
5K Views
I am looking for business partner(s) that we can enter into supply business. I am located in Mbeya, Tanzania. I am thinking to export food stuffs (like onions, rice, maize, garlic, carrot, soya...
0 Reactions
0 Replies
802 Views
Habar wakuu samahan nataka kununua shamba ambalo halijawahi limwa hata mara moja ambalo ni pori naanza kufyeka naomba kujunzwa maeneo ambayo nitapata kununua kwa bei poa na taratibu za kufuata...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Sina nia ya kuwaharibia hawa jamaa biashara, ila natoa angalizo kwa mtu ambaye bado hajaingia kwenye huu mkenge wa kununua mashine yao ....apige hesabu Nzuri. Kwanza kabisa napongeza jitihada...
7 Reactions
24 Replies
31K Views
Naweza fanya biashara gani kwa mtaji wa milioni moja
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili, Naomba kufahamishwa kwa anayefahamu kuhusu virutubisho vinavyopatikana katika Uduvi kama ni sawa na vile vinavyo patikana katika Dagaa, Samaki.
0 Reactions
8 Replies
14K Views
Mimi ni kijana mtanzania,natafuta business partner tudesign na kufanya biashara....mtaji tutashea. Mwenye wazo kama langu anipm tuyajenge.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF habari zenu, Ni mwaka sasa toka nimemaliza shahada yangu na sijafanikiwa kupata kazi ya kuajiriwa moja kwa moja, binafsi ninaona muda si rafiki kwangu kutokana na malengo yangu.Hivyo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom