Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nauza kuku wa kienyeji wenye umri tofauti tofauti. Kwa mahitaji ya kula na kufuga/mayai. Bei ni kuanzia 9000 mpaka 15000. Karibuni wote. Tuwasiliane kupitia Pm
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Namshukuru Mungu kwa kunipa jicho la kuiona fursa ya biashara ya mtandao ambayo ni biashara inayofanywa na watu wa karne ya 21 na inakubalika hata kwa watu mashuhuri mfano Bilgates alisema "If I...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari ndg zangu wana jf? Mimi ni mkulima mdogo lakini pia ninafanya biashara tofauti tofauti,katika kujipanua zaidi nina mpango wa kuanza biashara ya kununua mahindi kutoka kwa wakulima na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nauza uyoga nalima mwenyewe situmii dawa. Pact ya gram 200 kwa sh 2000tu. Ukichukua kuanzia tano unaletewa ulipo. Call or whatsapp no 0718412041
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu wana JF... wadau mimi ni mjasiriamali ninauza uyoga (oyster mushroom). nipo dar es salaaam.,nina uwezo wa kusupply uyoga wa kutosha kwa kila siku. kwa yeyote anayehitaji anaweza...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
On September 18th Excel Management and Outsourcing hosted a lunch meeting for the top C.E.O of 50 corporates in Tanzania [Market leaders/Captains] at Serena hotel in Dar es Salaam. One of the key...
0 Reactions
0 Replies
842 Views
Kwa anayehitaji mayai ya Kuku weusi chotara yanauzwa piga namba 0713694820 kwa kuagiza tupo dar, utaletewa hapo ulipo kwa wakazi wa dar. Yanafaa kwa kukutotolesha pia. Kwa wale watotoleshaji...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bado siamini kilichotokea. Huyu jamaa nilishawahi kufanya naye biashara kama mwaka umepita. Kama miezi mitatu imepita alikuja kaka yangu akaona ile mifugo niliyoagiza kwa huyu jamaa akatamani naye...
2 Reactions
134 Replies
13K Views
Miaka ya hivi karibuni watu wengi wanaona kilimo ni sehemu salama ya kutupa chini pesa zao ili zitoe faida kubwa. Je huu ni mwanzo wa mapinduzi makubwa ya kilimo cha Tanzania. Ukweli ni kwamba...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau kwa wanaofahamu vizuri mkoa wa Kigoma kuna fursa zipi ambazo naweza kuwekeza na zikaleta return nzuri,nahitaji kujua ili nianze utekelezaji haraka.Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nilipata kutembelea bonde la Kilombero(Ifakara) wakati fulani. Wakati wa msimu wa kilimo,kuna uhitaji mkubwa sana wa matrekta. Unakuta mtu mmoja ana oda ya kazi mpaka anachemsha. Yaani trekta...
6 Reactions
11 Replies
6K Views
Ndio kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa kutumia makaratasi amnayo umekua mkiyatupa yanaweza yakawa chanzo cha nishati ya kupikia kama mkaa. Kwa maelezo zaidi pamoja na mwongozo wa step kwa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mkurugenzi Mkuu wa CBE, Prof. Emmanuel Mjema Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kimepanua wigo wa elimu ya biashara kwa nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika kwa kuongeza idadi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwenu wanajamvi.naamini mu wazima.Ninatamani kujua jinsi ya kutengeneza mikunjo ya vikoi vya batiki kwa pembeni sbb huwa ninaona nyuzi nyuzi lkn sijajua jinsi zinavyotengenezwa. Naomba mwenye...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Wakuu natafuta members ili tuanzishe project kubwa ya kilimo RUVU,nimeplani kilimo cha matikiti maji na natarajia kuwekeza mtaji wa kuanzia 5-10million. Kwa aliyetayari aniwekee PM ili tuongee...
4 Reactions
73 Replies
17K Views
Habari,wadau kuku wangu anaumwa ametaga mayai2 tu leo anaumwa Kapooza,anaharisha hata mayai yake kwa nje ya gamba kuna damu Nisaidieni nimpatie dawa gani Sent from my BlackBerry 8520 using...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini great thinkers, Ninahitaji line tajwa lakini kama mjuavyo urasimu uliopo kwenye mchakato mzima wa kuzipata kutoka kwenye makampuni ya simu nimefikiria kuzinunua kwa mtu aliyetumia na sasa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa wale wa sirari na tarime naomba kujua kama kuna uwezekano wa kuwapata hawa kuku aina ya kenbro kutoka kenya au hata mayai yake
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jamii jukwaa hili limekuwa kisima cha mambo mengi nawashukuru wote unaochangia kwa ustarabu nafikiri tukiendelea kuweka mambo vizuri tutafika mbali napenda kujua hizi title za humu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuanzia tarehe 1/10/12 mpaka 10/10/12 kutakuwa na maonyesho ya ufugaji wa nyuki pale uwanja wa Nyerere Dar es Salaam. Haya maonyesho yana maana gani kwetu? Mimi naona ni fursa nzuri ya...
7 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom