Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Naomba kufahamishwa kuhusu Kamisheni za Tigopesa na Airtel Money kwa miamala ya chini kabisa, Kwa yeyote mwenye kufahamu.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nahitaji hizo gari moja wapo kwa Tsh m4.5 tuu ikiwa na hali nzuriiii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza magodoro ya kutengenezea sofa sets n.k yasiyo na cover ...nimetarget eneo la keko hapa Dsm...naomba input mbili tatu kwa wenye uzoefu na hii...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
nina mambo nataka kusaidiwa kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji. 1.Kuku wangu wanataga mahali pamoja,je hawatanisumbua wakitaka kuatamia? 2.Nipeni uwiano wa Majogoo wangapi kwa majike,alafu mbona...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari, Naomba kuliza kuhusu jinsi yaku sitisha TIN number ya biashara iliyo filisika.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
napenda kuwashukuru wale wote walioweza kuniunga mkono kwa namna moja au nyingine juu ya Mashati ninayotengeneza kwa vitenge,Mungu awabariki!bado naendelea kupokea order mbalimbali na wengine...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Kuku anapo timiza mwaka mmoja tangu aanze kutaga, Utagaji huanza kushuka taratibu mpaka kufikia mwisho, na hapa kwa mfugaji alioko siriasi atakuwa na batch za kuku wa kuleplace kila baada ya Miezi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
wadau nina kaka yangu yupo makete anataka mashine ya kupasulia mbao mwenye taarifa zinakopatikana kwa mkoa wa mbeya au dar na bei zake
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Wakuu naombeni msaada wenu, ivi hii biashara ikoje? Namaanisha katika sekta zifuatazo; 1. Upatikanaje wake. Kwa waliofika Tabora na wenye ufahamu wa biashara hii ,je inapatikana kwa bei kiasi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
8-10M itaniwezesha kununua gari hii?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu Nataka kufanya biashara ya maini ya Tanzaniate hasa hasa yale yanayojulikana maarufu kama dizeli. Je bei yake inakuwaje kule machimboni kwa watu wanaofahamu haya mambo
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa yeyote anaehitaji kufuga kuku wa mayai ntamfundisha bure, mimi nafanya kazi ya kufuga kuku ninaumia sana ninapomuona mtu anaajira yake pesa anazo hana ujajanja wa kuingiza kipato kwa ufugaji...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Naomba msaada wa haraka, kuku wangu wawili tangu jana naona wamezubaaa, hawali hata kunywa maji Wanaonekana kuzubaa na sio wachangaanfu kama kawaida yao, huu ni ungonjwa gani?? Na niwatibu na...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Wakuu heshima, Kunazia wiki ijayo Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo yanaaza jijini Nairobi, kwa kweli haya ni moja ya maonyesho ambayo si ya kukosa kabisa, ni moja ya maonyesho yenye mvuto wa...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Miongoni mwa mambo yanayotusumbua sana wafugaji ni pamoja na suala zima la ulinzi. Mbwa ni mlinzi mwaminifu kwa karne nyingi na mahitaji ya mlinzi huyu yanaongezeka kila siku. Mbwa wanaopatikana...
2 Reactions
66 Replies
21K Views
Habari wandungu, mwenye kiwanja maeneo ya mbweni malindi au JKT na angependa kukisukuma ni-pm. tafadhali siulizi dalali hapa..!! naomba mtu aliye serious sio unakuja na mibei ya kununua ndege. At...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika harakati za kupambana na ugumu wa maisha nimenunua shamba maeneo ya rufiji ambako mhogo unalimwa,nimeishasafisha shamba nataka kulima mhogo kwenye msimu huu wa mwezi wa 11 (vuli).changamoto...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, Naomba msaada kwa wanaofahamu, malipo ya mfanyakazi wa saluni ya kike yanakuaje na utaratibu mzima unakwenda vipi?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ndugu ,mimi ni mfugaji wa kuku kwa muda nimekuwa nikiuza wakiwa wazima. kwa sasa nataka niongeze thamani ya kuku wangu nifungashe, niweke label, na kuuza. nzifahamu hatua zote za kupitia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anayejua soko la rozela, choya(hibiscus)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom