Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari wana JF, Nafuga kuku wa mayai na wana miezi miwili sasa, tatizo limekuja kwamba wanaanza kupoteza mawasiliano baina ya viungo vyao!! Shingo inapinda na miguu inalegea yaani kiujumla...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ninategemea hivi karibuni nianze kufanya kilimo cha tikiti maji hapo Mlandizi ecari 15. Kwa ajili ya ugeni wangu kwenye hii biashara nilikua nataka ushauri wa soko na ikibidi hata kupata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni msaada Nimeona kinyesi cha kuku kwenye banda langu la kuku kinyesi chenye kama vile alama ya damu, sijui ni ugonjwa ama ni just lishe
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini za jioni ndugu......jamani nataka nianze biashara ya kununua mayai kwa wafugaji na kudzu,tafadhali kwa yoyote mwenye idea tuwasiliane na kwale wakulima pia tafadhali to was I liase no...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wafugaji waliopo maeneo ya Bunju, Mapinga, Kerege na Zinga ninaweza kuwaunganisha kupata pumba za kulisha mifugo kwa wingi. Bei ni 21000/- kwa gunia la debe saba. Tuma ujumbe ukionesha kiasi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wadau nampango wa kufungua kastudio kadogo kwaajili ya kusafisha picha za digital na film, je ni vifaa gani natakiwa kuwa navya na wapi ntavipata. Asanteni
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Wana jamii nisaidieni hivi ni kweli hawa jamaa wapo hapa dar na wanatoa mikopo ya kifedha? Tafadhali tujuzane kwa kina.
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Elisha Chuma ameandaa mpango kabambe wa ushauri wa biashara kwa wafanyabiashara wadogo wa kati na wakubwa na wale wanaotaka kuanzisha biashara ili kuwawezesha kuwa wafanyabiashara wakubwa na...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
10 commandments for a youth to be successful 1. Do not depend on Ur parents' wealth. Someone may come tomorrow to dupe you and you will lose everything. Learn to do things on ur own. 2. God has...
20 Reactions
56 Replies
6K Views
Nauza majogoo makubwa yaliyo changanywa na KUCHI... Yana kilo 4..nimeyatoa kwa wasukuma... Jogoo moja elfu 35...Nipo ubungo kona vituo viwili mbele kutoka ubungo stendi...my number is 0717578551
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi ni sahihi kumfungulia bihashara mpenz wako ambae bado hamjaoana? Na kama ni sahihi unafikiri kwa mtaji wa sh. milioni moja unaeza kumfungulia bihashara gani? Samahani kwa kulileta huku...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF nauza kiwanja chenye nyumba ya vyumba viwili kimefikia linta. Kina ukubwa wa mita za mraba mia saba. Kipo nyuma ya Marian Boys. Mita mian na ishirini toka Bagamoyo Rd. Bei mil ishirini na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila idea nayojaribu kubuni inani'cost zaidi ya 500,000/= mfano biashara ya kununua kuku toka Singida na kuwauza kwenye migahawa. Naombeni mawazo yenu wadau niweze kujikwamua, nifanye nn kwa hii...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Here is the link.... Get your Home Based Job Guranteed Today and earn upto 9000$ Weekly - InternetDuty.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aina ya vifaranga ni chotara(malawi) rangi ni kanga nyeusi/brown na nyeupe uzito ni kg3-5 wanapofikia miezi 3 na kuendelea, wamekwisha pata chanjo zote,vitamins pamoja na antibiotics...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ninatafuta mnunuzi/soko la mtama mweupe..nina tani 150. Ni pm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Njooni tujifunze kwa bakhresa! 1.ANZA MAPEMA, Acha kukawia (Show up early) Fanya kile unachodhani unaweza kufanya, fanya mapema iwezekanavyo, acha kukawia. Usisubiri hadi muda wa kila kitu kuwa...
3 Reactions
5 Replies
5K Views
GARI inauzwaaaa....! Toyota Starlety...Engine c.c 1331, year of manufacture 1997. seating capacity 4 passangers....price TSH 4,200,000/- pekee +255713780010 pia kuna bei ya maelewano pita hapa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima zenu nyingi sana wakuu Kwanza nianze kwa kumshukuru Mungu aliyeniongoza mpaka nikajiunga JF hasahasa hili jukwaa letu tukufu maana nimejifunza mengi japo mengi yamenipita sababu wadau...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Ndugu wana jamvi Jf nimeshindwa kujizuia nikaona nitoe ya moyini. Mosi- Nawashukuru sana tena sana Wote Wana JF mnaotumia muda wenu na pesa kutuelimisha waTz juu ya mafanikio. Be blessed a lot...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom