Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Asali mbichi kutoka tabora inauzwa lita1tsh 12000 kwa atakae hitaji pls
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MWASENDA CHUO CHA MAABARA, KITAFUNGULIWA KWA MUHULA WA MASOMO 2014/15 KATIKA KOZI YA MEDICAL LABORATORY ASSISTANT. CHUO KIPO NYASAKA JIJINI MWANZA. MUDA WA KOZI NI MIAKA MIWILI (2). SIFA...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Kwa wale wanaohusika na shule za sekondari, napenda kuwajulisheni kwamba J&B Graphics and Data Processors inaendesha zoezi la usajili wa wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani yao mwishoni mwa...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Nahitaji kununu viti vya plastiki je ni viti gani bora na kama unajua bei ya kiwandani mimi naishi songea
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza simu jaman ina kama mwezi tu tangu inunuliwe... Mjin pagumu kufulia hakuishi iko poa kabisaaa mpya.470,000/= nakushuka chini.Wajanja na wadau Contacts 0718247575
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JamiiForums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job from home
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wana JF natamani kuingia rasm kwenye kilimo cha matunda na mboga mboga (Hotculture) Ningependa kupata japo kwa ufupi tu, namna ya uendeshaji wa kilimo cha Green Beans,Green Peper na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu, kuna dogo huko mkoani amegundua opportunity ya biashara ya usafirishaji kwa kutumia Bajaj. Amenipa specification mojawapo kuwa angependa Bajaj hiyo iwe ya aina ya TVS. Nadhani humu kuna...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wadau wajasiriamali ninawasalimu! Naomba kupewa ushauri wa ujasiriamali mdogo bisi. Huwa napenda sana kula bisi, kila nikipita wanakokaanga lazima ninunue nijilieeee, sasa kwa mapenzi haya...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
JamiiForums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job from home
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Its black in colour. Operated for almost two years... Price is 2 milion shillings. Not negotiable. Its black and in good condition. Those interested please call 0714282821 or 0753260975.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada wadau; Kujua ni benki ipi hapa kwetu tanzania inatoa mikopo kwa marejesho ya riba ya chini au nafuu kidogo? Naamini ntakuwa nimeeleweka,kama sijaeleweka kwa wale walionielewa...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wadau naomba kujuzwa tanki bora la kuwekekea maji kati ya 1. Sim tank lita 5000 hadi 10000 2. Kiboko tank Na mengine mnayoyajua na bei zake naomba kujuzwa wadau
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF natafuta wajenzi wa bwawa la samaki nipo dsm no 0787805036 Big
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari Jamiiforums. Mabibi na Mabwana, Ombi langu kwenu ni hili. Je Ninaweza kupanga mabanda ya Kufuga kuku Faida ikawepo? Kuku ninaotarajia kuwafuga ni Kienyeji(Asili) Mabanda kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima yenu manajamvi. Nimepata wazo la kufungua duka la kisasa la kuuza mboga mboga na matunda fresh mjini Tanga. Lakini changa moto nayoiona ni jinsi nitaka vyoweza kutunza hizo bidhaa bila...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama kuna mtu anaweza kucheck a talk show on ujasirimali live now on dstv chanel 284
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Wadau natafuta mtu anikoposhe kiboko water tank 10000 Lts nifanye biashara ya kuuza maji maana huku kwetu inalipa. Nitamlipa ndani ya miezi 10. Kama upo tayari tuwasiliane. 0718412041
0 Reactions
0 Replies
1K Views
https://www.jamiiforums.com//index.php?task=85153
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Back
Top Bottom