Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

vijana wakisasa, ni kijana mwenye kujituma na kuwaza mbali zaidi, social media zinasaidia katika kukuza network nakupata taarifa mpya, sio vinginevyo kama unashinda facebook kuangalia profile...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
katika harakati zangu za kuwa mjasiriamali nikajikusanyia ka mtaji ambako hadi sasa kamefikia milioni 4. nilikuwa najikusanyia kwa kudunduliza kamshahara na biashara za mkononi. wakati...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Umoja wa mataifa (UN) walifanya utafiti kuhusu tabia za watu matajiri duniani kote. Walijiuliza kwa nini kuna watu maskini na watu matajiri ktk kila nchi iwe nchi tajiri kama marekani na Uingereza...
3 Reactions
4 Replies
8K Views
Wadau nina iriki natafuta soko kwa anayehitaji "To know the enemy is half the victory"
1 Reactions
4 Replies
2K Views
KARIBU KATIKA NETWORK YA WAJASIRIAMALI TANZANIA. HII NI NETWORK YA WAJASIRIAMALI,VIJANA NA WATU WOTE AMBAO WANAPENDA KUWAJASIRIAMALI LAKINI HAWANA UWEZO WA KIFEDHA NA UTHUBUTU WA KUTIMIZA NDOTO...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajamvi. Naomba msaada anayejua contact za maxmalipo au walipo. Na namna ya kuweza kupata machine zao. Asante
0 Reactions
9 Replies
6K Views
1. Henry Ford Henry Ford failed twice in business before he finally went on to build the Ford Motor Company; and became one of the richest men in the world. He has this to say about...
7 Reactions
49 Replies
7K Views
Nina mpango wa kumfungulia mke wangu biashara. Mimi ni mtumishi na kwa kipato changu naweza kukopa benki mpaka Tsh 15 milioni. Je, zinatosha kwa duka la nguo za wanawake na watoto? Duka hilo...
3 Reactions
3 Replies
6K Views
Wadau nina kuku wangu wa kienyeji wana wiki wametoka dodoma, leo asubuhi wamekufa 2,,wanaumwa mafua makali mpaka wanashindwa kuhema vizuri,wanakua kama wanakoroma na kusinzia....naombeni ushauri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimejaribu kusoma post mbali mbali zinazoelezea kilimo cha umwagiliaji pamoja na gharama zake!vitu kama green house,drip irrigation systems n.k!kwa wajasiliamali wadogo wadogo wanaotaka kuanza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
habarin wakuu nimeamua kufungua blog kwa ajil ya kutoa taarifa mbalimbal za ujasiliamali sasa nilikuwa naomba mchango wenu vitu gan vya kuzingatia wakat wa ufunguz wa blog hyo na vp nitaweza ku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu, Wapi naweza kupata high quality service ya kuprint stika? Bei ikoje kwa stika moja? Stika ni kwa ajili ya kubandika kwenye madumu ya mafuta ya kula.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, nimehamia dodoma hiv majuzi,mzoefu wa mapishi ya kila haina ila napendelea sana kuchoma nyama za kuku na ngombe pamoja na kupika kiti moto,dodoma ni mgeni na natamani sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hamjambo wandugu, Nimejifunza kupamba kumbi za sherehe. Sina uzoefu sana. Kwa sasa napamba kwa gharama ndogo sana ili kupata uzoefu. Kama kuna mtu mwenye uzoefu na kazi hii, naomba kufuatana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MAFUTA YA UBUYU (BAOBAB SEED OIL) Ni mafuta yatokanayo na mbegu ya ubuyu {au kokwa}. Hukamuliwa kiini chake na kutoa mafuta. Utafiti huu umefanywa na Kampuni ya Essential Oil ya Afrika kusini...
7 Reactions
13 Replies
6K Views
ninahitaji vifaranga viwe vya asili, vya kisasa au chotara sivitaki anae fahamu vilipo anifahamishe
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Teach a Man to Fish | Home
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Turubai jipya la kuwekea kambi linauzwa kwa sh. 350,000/=. Ni kubwa lenye uwezo wa kulaza watu 5. Linauzwa lenyewe pamoja na begi lake na vifaa vyake vyote vya kulisimamishia. Pia wanauzwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CoNept Healthy Consultant Chemical free solution to: Asthma, peptic, stomach and duodenum ulcers, diabetes, ovarian cysts/ fibroids, gout, joint pain/inflammations, menstrual cramps, back pain...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndg WanaJF. Nahitaji Msaada Wa Kimawazo Juu Ya Kuanzisha Biashara Ya Mgahawa.
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom