Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kuna kambi kuu mbili juu ya nadhari la chimbuko la ujasiriamali. Kambi ya kwanza inaamini ujasiriamali ni hali au sifa mtu anazaliwa nazo wakati kambi ya pili inaamini kwamba mtu yeyote anaweza...
3 Reactions
44 Replies
11K Views
Wadau,huku Sa Hv Biashara Nyng Ndo Znachpukia,hasa Za Tv,radio Au Fenicha,so Alo Tayar Tupge Kaz Me Ntakuwa Wakala Wake Huku,me Kikaz Ni Ticha Ila Napenda Ujasiliamali
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Ninauza viwanja vinne vyenye heka 1 kila kimoja kwa sh. milioni 4 tu kwa kila heka. Tafadhali mwenye kuhitaji ani PM.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nauliizia ni taasisi gani ya fedha inayoweza kunipa mkopo kupitia ardhi ambayo haijapimwa hapa tz
0 Reactions
0 Replies
981 Views
ushauri wako unahitajika sana hasa kwa wenye uzoefu.nategemea ndani ya muda chini ya mwezi mmoja nifungue biashara ya bucha ya nyama na pia samaki wa maji baridi(sato na sangara wabichi).kama pia...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mimi ni Mwl Wa sekondari nipo Chalinze,nina Duka dogo la kawaida la nguo na vifaa vingine.Kikubwa kwangu natafuta mtu yeyote ambaye naweza kushirikiana naye kwa makubaliano maalumu kuuza laptops...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
napenda kuomba msaada kwa wanajasirimali wote, nataka kuaanza mradi mdogo wa kufuga kuku wa kienyeji watano(5) majike with in mind kuupanua pale jinsi ntakapokuwa nimepata experience ya kutosha i...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
WADUNGU KWA YEYOTE ANAYE HITAJI SAMAKI AINA YA SATO KUTOKA KANDA YA ZIWA KWA BEI YA JUMLA NA REJA REJA,BUTCHERY IPO MAENEO YA KINONDONI CORNER YA MWANANYAMARA KARIBU NA BANGO LA SM MKONO WA...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani wana JF kama kuna Mkaazi wa Zanzibar anaejishughulisha na zao la Mwani naomba ani PM Tuzungumze.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni wazi kuwa Watanzania wengi wana mtazamo HASI juu ya MAFANIKIO, PESA ama UTAJIRI, hauitaji Rocket Science kujua hilo, angalia michango mbalimbali juu ya FURSA za kujiongezea kipato ama...
4 Reactions
37 Replies
7K Views
Wadau, nataka kufanya biashara ya kuuza bia za jumla. Kwa mtu mwenye uzoefu na biashara hiyo naomba anisaidie kujua mambo kadhaa kama vile kreti ngapi zinatosha kuanzia, upatikanaji wa bia ie...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
habari wakuu,kuna hii biashara ya kuuza crips za viazi,ndizi au mihogo na tambi za dengu,naomba kufahamu juu ya faida na soko lake kwa ujumla kwa dsm.mashne za kutengenezea znapopatkana na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
We're going to use the A, B, C method from now on to break down everything you want to achieve into small, manageable steps. Here is the A, B, C method in simple terms. A = Action B =...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari! Nataka jua fuel taxations/duties inakuaje on both diesel and petrol. Please wadau munisaidie! Shukran sana
0 Reactions
0 Replies
943 Views
Habari za usiku huu ndugu zangu! Mimi ni mdada ambae maisha yangu yote natamani kuwa mjasiriamali ila sina idea ya biashara wala mtaji . Kushindwa kutimiza ndoto zangu kunaniumiza sana . Naomba...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
i am Going to Kingolwira Fish Farm on Satarday 30 April. Nimefanikiwa kuchimba bwawa la samaki .nahitaji contacts details za wahusika wa Kingolwira fish farm. kwa member aliyewahi kufika ktk hiki...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Nilikuwa naitumia ila sahivi nataka kusitisha kufanya hii biashara kutokana na kuwa bize na biashara nyingine,napatikana Tegeta.Anayehitaji anipm tuongee biashara
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mji wa Ruaha Mbuyuni mkoani Iringa, kwa sasa unapelekewa huduma ya umeme toka Ilula, naamini baada ya miezi michache ijayo mji ule utakuwa nuruni.Mji huu unakuja juu kibiashara, hasa biashara ya...
15 Reactions
42 Replies
8K Views
Mimi ni mtengenezaji wa batiki kama vikoi na vitambaa vya kushona kwa kutumia ubunifu wa hali ya juu mawasiliano 0717539573 au email: stanslausd@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani kwanza napongeza uongozi wa JF kwa kuweka kipengele hiki cha matangazo kwa watu wanyonge ambao kwenda media mbalimbali hatuwez hivyo basi nasema Mungu awabariki.Mimi napenda kusema kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Back
Top Bottom