Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Salaam kwenu wapendwa, Mimi ni mkulima wa mazao ya nyanya na viazi mviringo. Kuna ugonjwa ambao unanitesa sana shambani kwangu na kwa wengine pia ugonjwa wenyewe ni mmea kunyauka pindi tu...
1 Reactions
6 Replies
625 Views
Baada ya kumaliza kula michembe na maziwa nimekaa zangu kwenye duka la Muha nikaona mdahalo unaoendelea muda huu kupitia TBC 1 ambapo wadau mbalimbali wanajadili masuala mbalimbali hususani...
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Wakuu nawasalimu, Heri ya sikukukuu ya Pasaka. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada nataka kuanza kilimo cha maharage na target yangu ni kupata gunia zisizopungua 100, naomba...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Jinsi ya kutengeneza kiuadudu cha asili kwa kutumia mbegu za mti wa mwarobaini. Okoa fedha na linda afya za walaji kwa kutumia viuadudu vya asili kudhibiti wadudu shambani kwako. Fuata hatua...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
UFUNGUZI Kutokana na teknolojia ya uchanganyaji wa vyakula kukua kwa kasi na kutuletea vyakula vyenye uwiano sahihi, kwa namna moja ama nyingine baadhi ya wafugaji wamekuwa wakilazimika kutumia...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu zangu awali nilileta uzi uliokuwa unasema Kilimo ni biashara pekee inayolipa 100%, wapo waliopinga na wapo walikubaliana nami, lengo la uzi nilikuwa nimewalenga hasa vijana waliomaliza vyuo...
16 Reactions
35 Replies
12K Views
Nataka kujua; 1. Sifa za kujiunga. 2. Gharama za kujiunga. 3. Faida za kujiunga. 4. Ofisi zao hapa mbeya
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nimekuwa nafuatilia sana Mimea mingi ya asili na Matunda pia nikagundua matunda ya asili tunayo yadharau sisi na kukumbatia ya kigeni nifurusa kwa wenzetu huko nje,na ndio hizo walipropagate na...
3 Reactions
3 Replies
485 Views
Habari, Kwasasa nipo mkoa X nafanya kazi pahala kwenye kampuni fulani. NAfikiria mwez wa 12 nitoe kama 500k ninunue mbuzi kama 5 huko Tabora kwa bibi yangu. Namna ninayowaza ya kuwafuga ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Poleni na majukumu wakulima, samahani ningependa kujua Chemba Dodoma kunafaa kilimo kipi..?? Je kumwagilia ni muhimu..?? Natanguliza Shuktani[emoji1666][emoji1666]
1 Reactions
9 Replies
963 Views
Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni. Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu. Kwenye Biashara Aina...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Hbr za leo wapendwa, Nauliza hvyo kwa sababu mm nimekula mweleka mara mbili bila kupata chochote. 2018 nilipeleka mbegu ivuna mkoa wa Songwe sijapata hata tunda Moja nikawa Kama nilitapeliwa...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea...
21 Reactions
55 Replies
15K Views
Kwenye Bible kuna maneno yana sema "Watu wangu wanaangami kwa kukosa maarifa" Binafisi huwa nakubaliana na hayo maneno kwa asilimia zote. Opontia ni mmea kutoka katika familia ya cactus kama...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Horned Melon au Kiwano ni tunda ambalo asili yake hasa ni Africa, ingawa kwa sasa limesambaaa sana Dunia nzima ila mbegu zake walichukua Africa, Horned Melon inalimwa sana Asia, huko Australia na...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Button Mushroom, ni aina ya uyoga ambao ni ghar saba sokoni ukilinganisha na varieties zingine kama Oysters.Shida ni kwamba wazalishaji wanaiogopa hii aina kwa sababu nazani ya process zake za...
0 Reactions
9 Replies
877 Views
Yaani ukisikia kufikiria mpaka kufika kwenye bar ndo huku Mwenzenu Nina heka nne za mahindi na Mungu kanisaidia mahindi yako vizuri natamani nipate mfuko mmoja wa MBOLEA nikuzie angalau hekta...
2 Reactions
4 Replies
498 Views
Hellow habari nahitaji anayeuza maharage ya jano mazuri ya jumla jumla anicheki kupitia 0788768480,ni vizuri kama hutatokea mikoa jirani kama Morogoro na Mbeya itakuwa poa sana napatikana dar es...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimesia Kiwano meloni ingawa nilipata tunda moja ambalo ndio nimekamua mbegu, ila sio mbaya sana, na natarajia hadi mwakani mwezi wa 3 nifanye Market testing ya haya matunda kwenye baadhi ya Super...
5 Reactions
8 Replies
542 Views
Back
Top Bottom