Pamoja na lengo zuri la Serikali na nia njema Kwa ajili ya kuboresha na kukigeuza Kilimo chetu kuwa ni Cha Kibiashara zaidi, lakini Kuna watu Kwa makusudi kabisa wanarudisha nyuma juhudi hizi za...
Ukikutana na wale wafundisha ujasiriamali utasikia anzia sokoni tafuta soko ukisha pata sasa nenda shambani kalimie.
Unakuta sasa wakulima tunaogopa sana kulima baadhi ya mazao kwa sababu...
Hapo juu hizo ni list za Machungwa ambazo unaweza pata kutoka kwetu, ni graftes na kama unataka kulima comercialy itapendeza sana hasa maeneo yenye full time jua.
1. Minneola- Hii ni cross kati...
Kutokana na ugumu wa maisha watu wanajaribu kUchangamkia fursa mbalimbali ikiwemo kilimo na ufugaji.
Baada ya FURSA hii kuonekana ndio kimbilio la wengi wamejitokeza watu wengine tena nao...
MIFUMO YA MASOKO YA MAZAO YA KILIMO
Masoko ya mazao na bidhaa za kilimo ni muhimu kwa ajili ya kuchochea uzalishaji na kuendeleza Sekta ya Kilimo. Aidha, ubora wa miundombinu wezeshi katika...
Habari za mchana wanajf
Leo nataka niwafahamishe kuhusu mnyama huyu aitwaye simbilisi au kwa kiswahili sanifu anaitwa nungu bandia
1. Anakula majani na vitu vyote alavyo binadamu yan...
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Wataalamu wa kilimo huo mwinuko ni rafiki wa mazao gani?
Mwinuko huo mnau weka katika kundi lipi low land au highland.
Lengo langu ni mazao yafuatayo
1. Mahindi...
Tarehe 27 tulifanikiwa wadau wachache kutembelea Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nairobi.
Maonyesho yale ni makubwa sana na very organised ukilinyanisha na zile Nane nane zetu,nilijifunza...
Sekta ya uvuvi imekuwa ni sekta pana inayoajiri asilimia kubwa ya Watanzania inayosaidia vijana kujiajiri na kutatua tatizo la upungufu wa ajira katika taifa letu kwa kiasi chake.
Taifa letu...
Jambo hili nimekuwa nikiulizwa sana na watu wengi iwapo mtu anaweza kufuga Nyuki wanaoudunga mwiba, (wengi wamezowea kusema Nyuki wanaouma) nyumbani, jibu lake ni ndiyo inawezekana.
Kivipi, hapa...
Uhitaji ya zao la parachichi unazidi kuongezeka siku hadi siku kutokana na kuwepo kwa viwanda vingi vinavyotumia zao hili la parachichi kama moja ya malighafi za kutengenezea bidhaa mbalimbali...
Maonyesho ya Kilimo ya Kimataifa ya Nairobi ni maonyeeho makubwa mno na ya quality sana, ni sawa na ilivyo sababa saba sasa ile Sababa saba iwe ni ya Kilimo tu pata picha.
Mkulima ni bora...
Heshima kwenu wakuu.
Ninaambiwa na watu kwamba kilimo cha tangawizi kinalipa sana kwa sababu soko la uhakika lipo na ni zuri. Nimeshaelekezwa sehemu ambayo hili zao linakubali uzuri.
Ombi langu...
Msimu huu tukalime
Mambo ya kukaa mjini tukitegemea wanakijiji waliojichokea ndio watulimie chakula, imepitwa na wakati.
Kila mmoja kama ataamua kulima, vyakula vitashuka bei na maisha yatakuwa...
Habari za usiku ndugu katika Jukwaa hili. Nimekuwa njia panda nikijaribu kufikiria kipi ni bora kukifanya kati ya hivyo viwili katika heading hapo.
Hebu tujaribu kupanuana mawazo katika hivi vitu...
Habar naimani wote wazima,
Binafsi n mwanafunz wa mwaka watatu naelekea kuhitimu masomo yangu ya degree ya Kwanza, Ninaa malengo makubwa na kilimo cha miti hususan MITIKI nimejarbu kufatilia...
Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaefanya kazi TAHA au mtu au kikundi ambacho ni mwanachama wa TAHA Tanzania, nataka kujiunga na hii taasisi nikiwa na lengo la kubase on long term agriculture yaani...
Nahitaji mbegu za mahindi DKC 777, DKC 90/89 lakini hazipatikani Karagwe, Ngara, Missenyi na Bukoba.
Aliye na taarifa zilipo naomba anifahamishe pamoja na bei.