Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
  • Sticky
Habari wakuu, Nimeona na mimi nitoe darasa kidogo kuhusu mavazi sababu na mimi ni kipaumbele changu katika maisha. 1.Epuka kuvaa marangirangi Wakati unamatch mavazi jitahidi kupunguza idadi ya...
99 Reactions
483 Replies
206K Views
  • Sticky
Wapendwa, Nimeona nifungue uzi huu maalum kwa wadada wanaopenda mitindo ya nywele. Katika uzi huu nitakuwa nikiweka mitindo mbalimbali ya nywele kila nitakapopata nafasi, lakini pia kwa wale...
14 Reactions
373 Replies
233K Views
Habari, Naomba kuuliza ni mafuta gani manzuri kwa ajiri ya massage, na yanauzwa sh ngapi?
6 Reactions
11 Replies
372 Views
Salaam. Wapenzi wa manukato nimewaandalia list ya Perfume maarufu (na zenye bei mbaya) na clones zake zinazofanana kwa asilimia 60 mpaka 90. Unaweza kuwa ni mpenzi wa perfume fulani lakini hali...
9 Reactions
74 Replies
2K Views
Ukiwaona wanawake wanaovaa kama hivi, huwa unawachukuliaje akilini mwako?? Dar Joto Sana.
12 Reactions
62 Replies
2K Views
Habari za humu wakuu, niko na swali hapa; Je, hivi inawezekana mtu kujifunza mwenyewe kunyoa nywele kwa kutumia mashine na je, yaweza kuchukua kama mda gani kwa mtu kujua hata za saizi moja?
2 Reactions
11 Replies
260 Views
Wanajukwaa la Mitindo. Kiatu kikali kinabadirisha muonekano wako kabisa. Sasa kwakua kila mtu ana fleva yake ya kiatu, unaweza share ulichovaa leo wengine tukaona labda tunaweza pata idea mpya...
21 Reactions
386 Replies
14K Views
Limeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie Mungu akituweka miaka mitano tutajionea...
22 Reactions
112 Replies
2K Views
Siku hizi imekuwa desturi kwa baadhi ya wanaume kuvamia fasheni na tabia za kike hadi inaleta wasiwasi. Unamkuta mwanaume kipande cha baba amevaa kipochi cha kike anazurura nacho mtaani hadi...
31 Reactions
128 Replies
4K Views
Kwa wale wanaume tunaopenda kuwa smart, nashauri tutumie hizi package zitakuweka smart sana bila kujali unafanya kazi gani na eneo gani. Dove Gel Body Wash Hakikisha ni Secret, ujue pia...
47 Reactions
357 Replies
9K Views
MHADHARA (103)✍️ Kwenye MAHUSIANO, MAPENZI, NA URAFIKI suala la usafi wa mwili ni jambo muhimu sana na linapaswa kupewa kipaumbele kwa kila mmoja wetu. Kuna watu wameachika kimya kimya kwenye...
2 Reactions
14 Replies
377 Views
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe...
31 Reactions
230 Replies
12K Views
Kumekuwa na uvaaji holela wa mavazi ya wanaume na wanawake. Ila naomba kujua haya kwa wanaume 1. Mkanda huwa utapita kulia kutokea kushoto au kushoto kutokea kulia 2. Shati/tshirt- urefu wa...
2 Reactions
1 Replies
392 Views
Hebu tujuzane hapa aina ya Perfume au Body spray unayotumia! Mimi natumia Knowledge Perfume, wewe je?
60 Reactions
3K Replies
622K Views
Wakuu “Maji ukichanganya kwenye chenga za barafu afu ukawa unaloweka uso umo kwa dk kadhaa na kutoa “ Hii inasaidia nn? naona watu wa fitness wengi kutoka nje wanafanya Watalaam wa skin na...
4 Reactions
17 Replies
354 Views
Huu ni uzi maalum wa kupeana ideas, uzoefu na elimu ya kupamba nyumba, namna ya kusafisha ndani na nje ya nyumba, pamoja na mpangilio wa vitu katika nyumba zetu.
7 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu tofauti na piko kuna mafuta ya kubadili rangi ya nywele kuwa nyeusi? Je yanaitwaje na ni bei gani???
0 Reactions
52 Replies
31K Views
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu? 1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia 2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia...
4 Reactions
4K Replies
1M Views
Jinsi ya Kutunza Ngozi yako (Ushauri wa Bure) Unajua ilivyo kazi kubaki na mwonekano mzuri wa ngozi throughout. Mara chunusi, mara ngozi kavu kama ya mamba, mara ngozi haina nuru yaani ile...
4 Reactions
4 Replies
238 Views
Tuna wakati mgumu kwa wasomi,wabunifu na n.k taifa ili la tanzania watu kujua wao nani. Leo nimekutana kwenye mtandao ambao unatoa mawazo ya ubunifu kwa kila lanyanja. Kitu kilicho nifumbua...
3 Reactions
3 Replies
303 Views
Back
Top Bottom