Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari yenu wajuzi Je, ukinunua taulo jipya dukani au nguo za ndani kuna usalama wa kuzitumia moja kwa moja au inafaa ufue kwanza? Consideration Nguo za ndani na taulo zilizojaa madukani hutoka...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Kwa Wanaume. Unajuaje kama iyo style ya kunyoa inakunoga? Unaambiwaga na watu au unajiona mwenyewe kwenye kioo au ulimuachia kinyozi akuchagulie? Ushawahi jaribu nyoa para? Pank? Ushawahi...
6 Reactions
27 Replies
953 Views
Ni Ushauri tu maana Niko hapa Kisarawe wanaccm wameshalipasisha hili vazi Wenzetu wa Chadema Wana zile Gwanda zao kama Migambo Jumaa Mubarak 😀
5 Reactions
21 Replies
658 Views
Lazima tukubaliane maji sio ya kila mtu. Kuna watu hawapendi tu kuwa karibu na maji achilia mbali kuyatia mwili. Sasa kama wewe ni mmojawapo twende pamoja. Hakikisha una sabuni ya kuogea...
5 Reactions
11 Replies
670 Views
Salam, Kama title inavyojieleza huu uzi utakuwa wa kuelimishana na kushauriana juu ya fitness and healthy living. I'll put my two cents in naamini wadau wataendeleza ili watu wenye goals tofauti...
19 Reactions
416 Replies
53K Views
Mwaka 1993, Ndugu wawili wa familia moja, Richard Makalla (Easy Dope) na Robert Makalla (D Chief) wanaazisha kundi la muziki wa Rap huko Temeke. Kundi hilo linatoa burudani ya muziki kupitia...
7 Reactions
19 Replies
508 Views
1. Black orchid 2. Ombre leather 3. Oud wood Leta opinions, Ipi ni the best kwa experience yako.
0 Reactions
32 Replies
1K Views
Parachichi ni tunda ambalo limesheheni virutubisho muhimu kama potassium, amino acids, na protein, ambavyo ni muhimu kwa mwili wa binadamu. Leo, nitazungumzia umuhimu wa parachichi katika nywele...
1 Reactions
5 Replies
400 Views
Ngozi zetu zinakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazoweza kuathiri afya na muonekano wake. Hapa tutazungumzia baadhi ya matatizo ya ngozi kama ngozi ya magamba, ngozi ya mafuta, ukurutu, ngozi...
2 Reactions
9 Replies
454 Views
Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini? (A) Kila mmoja anafua underwear yake (B) Hakuna formula maalum (C) Mume anafua ya kwake na ya mke (D) Mke anafua ya kwake na ya mume (E) Dada/kaka wa kazi
13 Reactions
138 Replies
3K Views
Wanawake ni kundi lenye majukumu lukuki katika siku, pamoja na majukumu hayo usafi na urembo ni jambo muhimu pia. Wanawake wengi wamekuwa wakizingatia zaidi nywele na uso huku wakiacha miguu na...
12 Reactions
39 Replies
6K Views
Huwa naona watu wanatumia sabuni za aina mbili katika kufua, mtu analoweka nguo kwa sabuni ya unga kisha baadaye anatumia sabuni ya kipande wakati anazifua! Sasa hii maana yake huwa ni nini...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Nimetembea Dar, Mwanza, Mbeya, Dodoma, Tanga na Arusha yenyewe ambako kuna yanayoitwa majiji ya nchi yetu, niseme tu watu wa jiji la Arusha wanaongoza kwa unadhifu na usafi wa binadamu na...
26 Reactions
129 Replies
6K Views
Ngozi ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu. Ngozi husaidia kuulinda mwili, kutoa taka mwili, kuratibu joto, maji na chumvi, pamoja na kuhisi vichocheo kama vile joto, baridi, miguso na...
1 Reactions
4 Replies
455 Views
Choo ni moja ya sehemu muhimu zaidi katika nyumba inayohitaji kusafishwa mara kwa mara. Usafi wa choo unahusisha kuondoa uchafu na vijidudu vinavyoweza kusababisha magonjwa. Kwa kufanya hivyo...
1 Reactions
0 Replies
227 Views
Asali imekuwa ikitumika kwa karne nyingi kama tiba asilia ya magonjwa mbalimbali, lakini je, unajua kuwa ina faida za ajabu kwa ngozi yako? Kutoka kwa unyevu hadi sifa za kupambana na chunusi...
3 Reactions
3 Replies
721 Views
Habari wakuu... Hivi hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original... Mfano kuna jamaa anauza creed aventus mils 100 kwa 55k... Kuna aliyewahi tumia? Ubora upoje?
8 Reactions
158 Replies
9K Views
Soski zipo si haba idadi inatosha lakini cha ajabu mara nyingi hazipatikani ninapozihitaji yani nitaishia kupekua huku na kule mwisho naona isiwe taabu naamua kuvaa zozote zilizo hapo jirani...
5 Reactions
17 Replies
817 Views
Ndugu wajuvi, Ni wapi ninaweza kupata boxers zenye ubora hapa Dar? Nyingi zimekaa kiajabu, zinapauka mapema. Sasa, nimeona nijaribu hizi za Woolworth(tazama kiambatisho). Je, kuna mzoefu na...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Tunapoanza mwaka 2025, ni wakati mzuri wa kutafakari na kufanya mabadiliko muhimu katika utunzaji wa ngozi zetu. Ngozi yenye afya huathiriwa na mambo mengi ikiwemo lishe, mtindo wa maisha, na...
1 Reactions
7 Replies
841 Views
Back
Top Bottom