Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Yanasaidia pia kuboresha ngozi, hamu ya kula, nguvu za mwili.. Mmeng'enyo wa chakula nknk
9 Reactions
181 Replies
2K Views
Wadau ivi nitumie njia gani kusaidia ngoz yangu iwe sawa maana inasumbuliwa na acne plus scars adi inakua kikwazo. Skincare tayari ila naona zinanikataa anyway nitumie njia gani au mafuta gani...
3 Reactions
8 Replies
291 Views
Nina mpenz wangu anapenda sana lotion, cream za kujichubua mfano calorite, carrotone nk ....mm hii tabia inanikera sana, nahitaji kufahamu ni zipi nzuri ambazo anaweza kupaka na isimchubue ngozi...
0 Reactions
59 Replies
16K Views
Tz hii sidhani kama kuna mkoa unaongoza kwa watu kujichubua kama Mbeya. Ukikuta mwanamke aliyejichubua kikweli anatisha. Sura inakuwa kama kokaragosi au kashetani hivi. Lakini si wakulaumu...
19 Reactions
81 Replies
8K Views
Naomba kujua ni lotion gani nzuri ya kukinga mionzi ya jua, jua likiwa kali uso wangu kwenye mashavu nakuwa mwekundu, mi napaka mafuta ya mgando mwili mzima, sasa nimeona nahitaji lotion au mafuta...
2 Reactions
47 Replies
20K Views
Ninaishi katika jiji lenye joto kali na halijoto hufikia 35°c kwa urahisi kwa hivyo karibu harufu yoyote ile huhisi kuudhi. Je, ni perfume gani inayoweza kuburudisha hisia hiyo? Kwasababu kwa...
1 Reactions
5 Replies
317 Views
Wale watu wa perfume uwa tuna code zetu tunapasiana. Mimi nimekwama kidogo so natafuta perfect ya isizidi 50K ya kiume inayonukia kishefa. Ukinitajia jina na location ya kuipata nitafurahi...
1 Reactions
3 Replies
219 Views
HABARI Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, soko gani nitapata mafuta ya nazi ya asili yale wanayotengeneza kwa kutumia nazi kienyeji?
2 Reactions
9 Replies
568 Views
Jaman mi ni kijana wa kiume ni miaka mingi huwa sipaki mafuta kweny uso wangu kwasabab nilikuwa natoka vipele nikipakaa usoni Sasa nliwahi kumuuliza muuza daku la urembo,nguo,mafuta ya kupakaa...
3 Reactions
39 Replies
931 Views
Jamani msaada kwa wanaojua mafuta ya kupaka kwenye nywele zile rafu. Yanaitwaje na proces zake.
0 Reactions
42 Replies
24K Views
Yeyote anayejua aina nzuri ya perfune yenye manukato yasiyokera mbele za watu isiwe zaidi ya 15,000 nahitaji kununua hata kama ina ujazo mdogo. Jinsia yangu ni mme Ahsanteni
9 Reactions
235 Replies
73K Views
Habarini wakuu! Nimekuwa mpenzi wa suruali za aina ya american jeans/cadet Naomba mwenye kufahamu zinauzwa wapi anisaidie Sehemu nilipokua nanunua mwenye duka alifunga biashara.
3 Reactions
8 Replies
520 Views
Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya. Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui...
66 Reactions
217 Replies
23K Views
Naomba anayefahamu mafuta mazuri ya kufanya nywele ziendelee kubaki nyeusi hasa zinapokua 🙏🏽
2 Reactions
7 Replies
892 Views
kataa ndoa uishi miaka mingi ya furaha Damka saa kumi na moja anza usafi wako wa ndani unapo lala deki choo chako vizuri sio kila siku kwa wiki ukifanya siku tatu sio mbaya Baada ya hapo tandika...
12 Reactions
50 Replies
1K Views
Leo nawaletea changamoto nyingine ninayokumbana nayo baada ya kuzungumzia gharama za maji ya kunywa na umeme. Safari hii ni kuhusu gharama za usafi wa nyumba na mwili: a) Usafi wa Nyumba (Eneo...
21 Reactions
68 Replies
3K Views
eti wakubwa mwongozo unasemaje huko kwenu?
1 Reactions
11 Replies
474 Views
Habarini wana Jamvi.. Sawa ndevu ni kero ila zinaheshima yake. Ukifika umri fulani ukawa hauna hii mambo bado utakuwa na wakati mgumu wa kupewa salamu hata na watoto wadogo. Umri unaenda harafu...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita. Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool...
56 Reactions
305 Replies
6K Views
Back
Top Bottom