Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wadau hamjambo nyoote? Leo nadhani nimepewa zawadi ya boxing day. Nilitoka na familia yangu mimi na mke wangu na mama mkwe ambaye kaja tu kusalimia nikaona si ubaya tukatoka tukaelekea Luguluni...
10 Reactions
21 Replies
984 Views
Habari zenu wapendwa. Nimekua nikihangaika nipake mafuta gani usoni yasiyo na kemikali nakosa jibu. Uso wangu Mimi una mafuta rangi yangu ni brown. Kwa ambaye ana ngozi na rangi Kama yangu...
1 Reactions
65 Replies
44K Views
Wanawake hoyeeeee, Wanawake juuu! Tupeni siri ya sketi za penseli jamani, yaani mimi huwa napenda sana mwanamke akivaa sketi ya penseli. Sijui kwanini. Kipindi hicho wakati nilipokuwa mdogo ndio...
12 Reactions
82 Replies
3K Views
DADA ANGU MWEMA pamoja na ubusy wako au kuwa na dada nyumbani kwako ila usiache kuingia jikoni kuhakiki chakula kabla hakijaja mezani. Hakikisha unakihakiki sio kipo mezani mumeo au watoto au...
0 Reactions
1 Replies
399 Views
Good morning jf..... Kama tujuavo tuko kwenye zama za misambwanda, mahaga, kitonga, wowowo na majina mengine kibao yatumikayo..... Wanawake wasiokuwa nayo wanajikuta katika wakati mgumu sana, nao...
6 Reactions
212 Replies
35K Views
Ndugu zangu watanzania wenzangu habari zenu. Nimechoka life la kuishi kikolabo na rafiki yangu katika utafutaji wa maisha Sasa naona kuwa wakati sahihi wa kwenda kuanza life langu nikijitegemea...
4 Reactions
18 Replies
588 Views
Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini.... Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk...
18 Reactions
239 Replies
70K Views
Kuna vingine sijawahi kujaribu, vingine nimejaribu vikanizidi uwezo.... 1: kupaka wanja kwenye nyusi Huu urembo ulinishinda tangu enzi za mwalimu, kila nikijaribu naona nakua Kama nyau hasa hasa...
43 Reactions
585 Replies
53K Views
Habari zenu wana JF Poleni sana na Swaumu naimani tunaendelea na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani Ndugu zangu nina miaka 25 Mzee wangu ana Uwaraza kwa Mbele hapa ule wanauita Upara wa Pesa. Sasa...
1 Reactions
34 Replies
16K Views
Kazi ya hiki ni nini? Hiki kimfuko kidogo
3 Reactions
50 Replies
2K Views
1.Haina miguu ila inasimama jibu ni......................(marks 20) 2.ina miguu minne ila haiendi..........(20marks)
2 Reactions
4 Replies
302 Views
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe...
11 Reactions
149 Replies
11K Views
Ukiwa jikoni halafu ukawa unapendwa sana na ukawa mshikaji wake unasogezewa mwiko unaambiwa onja chumvi kama iko sawa💕😀 Mpe kampani huko jikoni mkipiga stori za hapa na pale. Wanawake wanapenda...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Ungana nami hapa tujadili suala la vikwapa kwa kutumia sayansi. Je, wajua kwamba watu wa Asia ya mashariki huwa hawanuki vikwapa? Eneo la Asia ya mashariki linajumuisha nchi za China, Japan...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Wanangu fugeni Ndevu. Utafiti umeonesha Wanawake wanawapenda Wanaume wenye Ndevu kuliko wasio na Ndevu. Asilimia 70% ni kubwa so no way out Wanangu tufuge Ndevu. ======= Kumekuwa na mijadala...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Ni sabuni gani nzuri ya kuogea mwanaume kwa ngozi pia na yenye Harufu nzuri sana Nawasilisha
5 Reactions
60 Replies
21K Views
Nimekutana na mtu akatoa hii hoja binafsi niliipinga lakini alitumia nguvu kubwa na mifano ya watu wetu wa karibu kushinikiza hoja yake, je ana hoja au apuuzwe??
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Salaam wanajukwaa huru la urembo, mitindo na utanashati yaani lifestyles..... Mimi ni mwanaume mweusi (weusi wa chocolate yaani maji ya kunde), recently natamani sana nibakie kwenye weusi wangu...
5 Reactions
143 Replies
6K Views
Back
Top Bottom