Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari zenu ndugu zangu.... Anayefahamu mahali pazuri pa kupata nguo nzuri za kiume Mbeya anijulishe kwenye comments. Simaanishi sehemu yenye bei rahisi, namaanisha sehemu unayohisi umewahi...
2 Reactions
6 Replies
418 Views
Ngozi inaharibika sanaa ukizeeka pia Mbona kuna wabibi wana ngozi nzuri sanaa na wamezeeka tuache kutumia vipodozi vikali Mwanaume atakupenda tu hata ukiwa wa njano au mwekundu ukiona hajakupenda...
32 Reactions
396 Replies
12K Views
Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo. Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu...
7 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakuu, Sehemu gani naweza pata haya mafuta kwa ajiri ya kupaka Nimejaribu kuulizia kwa baadhi ya maduka ya vipodozi sijafanikiwa Asanteni
0 Reactions
2 Replies
228 Views
Wakuu emu nipeni uzoefu wenu nataka niigie kwenye massage parlour nikasingwe vip kunachochote naweza kutana nacho nijiandae
3 Reactions
52 Replies
7K Views
Mbao ngumu hupendeza machoni pia zina dumu kwa miaka mingi, wadudu si rahisi kushambulia mbao ngumu. Ni vizuri pia kuzilinda kutokana na kemikali pamoja na mwanga wajua pia maji ya mvua. Polish...
3 Reactions
3 Replies
307 Views
Wale waliosema black is beauty hawakukosea hata chembe na walikiona hicho wanachosifia katika uhalisia wake Wanawake weusi bila kupepesa ni warembo na wazuri hasa wanapokuwa natural na vipodozi...
57 Reactions
243 Replies
5K Views
WANAWAKE wengi watakiri kuwa nywele za sehemu za siri ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba. Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali...
11 Reactions
203 Replies
93K Views
Ni chimbo gani Dar nitapata kadeti za mtumba grade one? Ni manunuzi ya rejereja tu make sifanyi biashara
1 Reactions
3 Replies
434 Views
Wakuu nimenunua Kitenge kikali sana, na target yangu kubwa ni kushona shati ya Kitenge kali sana, Hivyo nipeni mwongozo na uzoefu ni mtindo gani wa Mashati ya Kitenge unabamba kwa sasa hapa Mjini..?
6 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari zenu? Nilipokuwa mdogo hadi Darasa la Saba nilikuwa mweupe sana hadi nikawa najipaka masizi ya mkaa maana watoto walitania sana kulingana na rangi yangu, wengine walidiriki kuniambia mweupe...
2 Reactions
60 Replies
7K Views
Kuna mitindo mbalimbali ya unyoaji wa nywele za kichwani. Kuna panki, kipara, mtindo wa nywele saizi ya brashi, kuna mtindo wa nywele za kuota (low cut) nk Tuambie wewe huwa unanyoa mtindo gani...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Nywele Zako (Mtindo Wa Nywele) Miwani Ya Macho Kiatu Unachovaa Saa Uliyovaa Ongeza Nyingine!!
14 Reactions
136 Replies
5K Views
Leo tunashabikia wanaume wenzetu mastejini na mitaani huku wakiwa wamejiweka katika viashiria vinavyoendana na mambo ya kike. Ndio maana mademu wanawadharau siku hizi maana mna act kama wao...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
/* insert salam here */ Wengi tumewahi kuishi au tunaishi kwenye single room. Leo tupeane tips z kufanya ghetto lako liwe safi na la kuvutia kwako na kwa wageni. [Tips zitatofautiana kutokana na...
12 Reactions
36 Replies
5K Views
Hello naitwa Jenipha napenda sana mambo ya modeling lakini Bado sijapata connection au njia rasmi ya kuweza kutimiza ndoto zangu nahitaji msaada wenu. 0713776534
2 Reactions
4 Replies
228 Views
Hili vazi la kijora ambalo huwa linazungumziwa sana na waswahili na watu wa pwani ni vazi la aina gani? Kijora kina utofauti gani na vazi la dera? Kijora kinavaliwa na watu wa aina gani zaidi?
9 Reactions
55 Replies
2K Views
Wa- mbulu na wa-Iraqi wote ni ndugu! Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi! Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa...
7 Reactions
82 Replies
2K Views
It's JEJUTz here! Ni kweli kabisa ni jambo zuri kuoneka mtanashati na mrembo popote uonekanapo.Ni jambo jema kuonekana wa kisasa na unaependeza kwa mpangilio wa mavazi yako l. Ila kuna hii issue...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Back
Top Bottom