Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wote tunafahamu kuwa Baking Soda hutumika katika uandaaji wa vyakula kama keki na mikate. Lakini huwa na matumizi mbalimbali ya nyumbani ikiwemo kuwa mbadala wa kusafishia kinywa kwa kuwa na uwezo...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Hili jiko limeboreshwa, wengi walioishi kwenye nyumba za serikali alizoacha mkoloni walikutana na majiko ya aina hii. Yale ya enzi zile haya kuş na sehemu ya umeme. Enzi zile waliotumia majiko...
10 Reactions
23 Replies
820 Views
Prom ni sherehe ya kumaliza mitihani ya NECTA. Nisiku ambayo vijana wanavaa mavazi wanayopenda na huwa wanapendeza sana. Kijana huyu pichani aliamua kuvaa suit ya skirt, kitendo hiki...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Leo dogo anakata keki, ilikuwa safari ndefu sana kwake, kwani alirudia madarasa kadhaa. Lakini hatimae amemaliza darasa la saba, familia tumejawa na furaha tele, kwani haikuwa rahisi. Wadau wa...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Inawezekana nimezeeka sana au nimepitwa na wakati. Je ni yapi maoni yako juu ya uwepo wa mavazi au viatu visivyo na jinsia yaani akivaa mwanaume ni sawa na akivaa mwanamke ni sawa.
0 Reactions
5 Replies
446 Views
Wakuu, Naombeni dawa ya kuotesha nywele, nina kipara cha hatari. Asanteni
7 Reactions
62 Replies
2K Views
Kuna jambo huenda watu wengi hawalifahamu . Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kusuka kichwa anautoa wapi? Umewahi kujiuliza mwanaume ujasiri wa kuvaa hereni masikioni au puani anautoa wapi...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Nimekuja kwenu ili nipate msaada nipate Tshirt plain hasa nyeupe ambazo nitazitumia kuprint tangazo kwa ya biashara yangu Mara ya kwanza nilichukua Hot basic manga sababu ni...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Ninafanya utafiti kwa hiyo naomba mfano nakumbuka travolta, viatu vya raizon, eh nyingine.
0 Reactions
55 Replies
33K Views
Mwenye kujua Kadeti Bora Zaidi ya Vicobss? Naomba anijuze, usinitajie kadeti zilizopo huko ulaya, najua kuna kali zaidi ya hizi, ila naangalia zile ambazo ni angalau kwa mazingira yetuu...
12 Reactions
99 Replies
6K Views
Wanamitindo kwema? Kuna mgeni wangu anakuja soon na atataka kusuka braid Zanzibar. Kuna msusi wa braid au unamjua msusi Zanzibar?
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Ndugu zangu natumai mko salama kabisa. Matumizi a. Baada ya kuoga/kuosha nywele paka mafuta yako kwa kutumia mkono. b. Pia unaweza kupaka mafuta haya hata kama hujaosha nywele/kwa nywele kavu...
6 Reactions
40 Replies
2K Views
Wadada, wembamba! Jitahidi kwenye kabati lako usikose cargo pants moja au mbili, mkivaa zinawapendeza sana. Ukijua kuipatia na shirt au jersey na chini raba mnapendeza kinoma. Kama una...
16 Reactions
53 Replies
2K Views
Nahitaji mafuta/dawa ya kukuzia ndevu Kama Kuna anayeuza tuwasiliane
0 Reactions
4 Replies
311 Views
https://milanofashionweek.cameramoda.it/en/ Fatilia live Milan fashion week event ndani ya Uzi huu Tue, Sep 17, 2024 – Mon, Sep 23, 2024
2 Reactions
6 Replies
336 Views
Wanawake wanaovaa Kanyelamumo, wanajisaidiaje washroom? Uzi tayari
12 Reactions
35 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavosema mie naomba tushare wote hapa kuhusu hili suala.. Hivi kuna zile nywele zinaotaga katikati ya makalio mawili na huzunguka ile njia ya haja kubwa nadhani...
29 Reactions
643 Replies
137K Views
Hapa namaanisha wazee kuanzia miaka 50 kuendelea. Wengi wao wanapenda kuvaa masuruali makubwa mapana akisimama linakuwa linatuna mbele na nyuma kama puto alaf limejikunja. Jamani vaeni suruali...
5 Reactions
18 Replies
687 Views
Hey There "No Pain No Gain" kama wanavyosema wana mazoezi kuongeza motisha. Watu wengi wamekuwa hawana uwelewa kuhusu mazoezi ya gym na aina ya wafanya mazoezi hao, wengi kibongobongo tunaita...
13 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom