Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu...
8 Reactions
415 Replies
74K Views
Baadhi wanasema kuchomekea T-shirt sio sawa lakini mimi nafanya hivyo mara kwa mara na sioni kama ni tatzo. Wadau wa mitindo, je ni sawa kufanya hivyo au ni ushamba?
10 Reactions
117 Replies
3K Views
Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
4 Reactions
12 Replies
567 Views
Nakumbuka miaka hiyo style ya Afro ilibamba sana mitaani,na watu walikuwa wanapendeza sana yani kitu natural hair, Lakini sahizi hao wenye style za afro wanaweka dawa nywele mwanaume mzima nywele...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Jipatie bidhaa bora kabisa kutoka Óriflame kama mafuta ya kupaka(lotion) za watoto na wakubwa za kike na kiume ,lipstick, dawa za nywele ,after shave jelly na bidhaa nyinginezo kwa afya...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa anayetaka perfume original whatsap me 0754680580 Retail na wholesale.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
my take; hiyo ni ajali kazini tu.
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Kuna baadhi ya ofisi za serikali ukiingia umevaa suruali ya Jeans au kimini huruhusiwi kuingia.Sijaona kama ni tatizo lakini inakuaje hata kwa anaefata huduma tu kwenye ofisi hizo nae avae kama...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
1 Reactions
17 Replies
26K Views
unaweza kuiona kupitia www.duniayamitindo.co.tz
1 Reactions
2 Replies
7K Views
halafu unakuta mdada ame relax kweli, hata kuweka kitu kidogo ndani hamna!! sasa na hali ya hewa yenyewe ndio hii... upepo mwingi jamani!! lets talk about this guys, je kwa wanawake, ilishawahi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nataka nichukue hizi mbili, Dapper Man na Royalty Kama ushawahi kutumia hizi perfume za Ematscents nipe madini....
2 Reactions
5 Replies
724 Views
Kwa uzoefu wangu wa maisha ya mtaani, nimegundua wababa au wanaume wengi wakiwa nyumbani siku za mapumziko au siku yoyote, hawajiweki smart kama ambavyo wanafanya wakiwa wanatoka. Nyumbani ni...
13 Reactions
79 Replies
2K Views
Wadau habari za Jioni. Nisiwe na maelezo mengi sana Ningelipenda kufahamu ni Lotion gani nzuri kwa mwanaume ambayo itasaidia afya ya ngozi kuwa imara na kupunguza mabaka vipele na madoa madoa...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Kwa wewe Mwanaume unapendelea ipi kati ya hizi mbili A/B, nawewe Mwanamke unapenda mwenza wako avae ipi kati ya hizi mbili? Tiririka....
3 Reactions
12 Replies
964 Views
Nimekua nikitaka kubandika siku nyingi ila naogopa
1 Reactions
4 Replies
462 Views
Habari, nimepata taarifa kuwa mtu akioga maziwa fresh kutamsaidia sana kwenye afya yake ya ngozi. Maziwa ya wanyama kama Punda, Farasi, Ngamia, Mbuzi na Ng'ombe ni tiba nzuri ya ngozi. Pia kuna...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii ni miongozo kwa wanaopenda kuvaa kadeti, fanya haya ili isipauke mapema. ☆Tumia sabuni ya kipande unapoifua usitumie sabuni ya unga ☆Igeuze nje ndani unapoifua ☆Usiianike kwenye jua anika...
13 Reactions
45 Replies
8K Views
Natumai wote ni bukheri wa afya mimi pia nipo okay kuna mdau kwenye post moja kauliza atumie nini,ana uso wenye Mafuta mengi oily face mimi pia nina tatizo kama Hilo. Lakini now sio tatizo tena...
13 Reactions
93 Replies
73K Views
Tupia MISHONO ya nguo hapa iwe ya wadada wamama watoto vijana n.k
12 Reactions
441 Replies
15K Views
Back
Top Bottom