Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wana jf napenda sana kuwa mwana mitindo(model)naombeni ushauri nianzie wapi ili niwe model? .
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Wakuu Kwema!... Tatizo la sisi wanaume wengi tunajishusha na kujidharau wenyewe mwisho kukosa dira ya mwanamke unayemtaka. point yangu hapa ni unadhifu na umaridadi wa akili na hata mwonekano...
10 Reactions
38 Replies
9K Views
Wakuu kwema? Nauliza kama ni sahihi kufanya kazi ukiwa na muonekano wa Rasta (dread). Je, kwa mazingira ya ofisi zetu hapa bongo (mfano mashirika ya umma, mashirika binafsi) wanaruhusu mwajiriwa...
1 Reactions
12 Replies
37K Views
Wakuu nimekuwa miongoni mwa mhanga wa matumizi mabaya ya unyunyu ni zaidi ya addicted kama mtu anaetumia mihadarati Ngumu mm kuacha kabisa cost me pesa nyingi kununua Kila kukicha hata kama...
6 Reactions
44 Replies
7K Views
Teenagers wengi bado ni wanafunzi wanahitaji sehemu ya kujisomea wakiwa nyumbani. Ni muhimu kuanza kumfundisha kusafisha na kupanga chumba chake kila mara hasa weekend. Haya ndiyo maandalizi ya...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
JINSI YA KUIFANYA NGOZI YAKO KUWA CHANGA NA KUPUNGUZA KUZEEKA KUZEEKA KWA NGOZI NA JINSI YA KUPUNGUZA KUZEEKA Kuzeeka ni utaratibu wa kawaida kwa mwili wa binadamu. Na hutokea kila siku kwa...
2 Reactions
56 Replies
72K Views
Huwa napenda Sana ziwe ndefu, but zikianza kuota kidogo tu zinawashaa I have to cut them.in my tribe long pubic hair is a symbol of fertility and long life I want to keep my pubic hair long...
4 Reactions
92 Replies
7K Views
Yamkini mko salama kabisa wanabodi hapa Kwa kawaida mapambo yote ya urembo kwa upande wa mwanamke faida yake kuu ni kujiona amependeza yeye mwenyewe kwanza, na kwa upande wa sisi wanaume ni...
2 Reactions
51 Replies
15K Views
Habari wadau wa JF. Nilikuwa naomba msaada wa haya mafuta yanatumikaje maana ninayo muda mrefu sijui matumizi yake, msaada please.
1 Reactions
30 Replies
14K Views
Hua unabadilisha mswaki baada ya muda gani? ====== Mada unayoshauriwa kusoma:Huwa unatumia Mswaki wako kwa muda gani kabla ya kubadilisha/kununua Mswaki mpya?
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu msaada ni home remedies gani naweza tumia ili kuota ndevu haraka. Mwenye kujua anisaidie please.
1 Reactions
71 Replies
14K Views
Mazoezi ya lisaa limoja kwa siku yanatosha kukufanya upate mwili unaopendeza. Mwili unaokubali kila nguo. Mazoezi yanasaidia kukuepusha na magonjwa mengi ya muda mrefu, mfano kisukari, magonjwa...
18 Reactions
38 Replies
5K Views
Habari zenu wandugu, niko mwanza nimejaribu kutafuta hii suppliment sijaipata labda Kuna mtu anaifahamu ilipo anisaidie Ni bei gani na kwa ujazo upi. Nina prefer kampuni ya Optimum Nutrition. Any...
0 Reactions
49 Replies
13K Views
Hallo Waungwana. Kwa wale wapenzi wa Colognes, linapokuja jina la Creed Aventus kila Mtu ananyosha mikono juu: namna hii cologne inavyosifika na kupendwa duniani kote. Wengi husema Creed Aventus...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Habari wadau.. Kiukweli mimi ni mkristo.. Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana.. Unamkuta mdada...
80 Reactions
179 Replies
78K Views
Habari wana jamvi, Tafadhali naombeni msaada wa kutambua kitu hiki na matumizi yake. Ukikishika kipo kama sponji. Asanteni
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Rejea kichwa Hapo juu.., Samahani wakuu me Nina tatizo dogo,nashindwa kutambua hizo ALAMA katika nguo maana binafsi zinanichanganya.juzi Kati nilienda kufanya k shopping kidogo,nikachagua package...
3 Reactions
20 Replies
11K Views
Unajua toka nimefungua magroup na pia kujiingiza kwenye hizi cosmetics hususani biashara, nimekuwa nikifiatwa na watu wakiulizia hayo mafuta matatu. 1. Perfect white 2. Dodo cream 3. Clinical...
0 Reactions
11 Replies
13K Views
  • Closed
Dear warembo wangu, I hope you all had a great day, If not poleni. Napenda sana urembo ukiwemo kunukia vizuri, usafi na pia kuwa na muonekano angalau presentable but above all napenda sana...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Miaka ya karibuni kumezuka hombwe la kufata mkumbo kutoka magharibi (utandawazi) ktk nyanja nyingi. Leo hii nitazungumzia nyanja moja tu ya urembo. Utaona wadada wetu wanajiremba na kujirembua kwa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…